Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile
Nukta Africa

@nuktaafrica

We are a digital media company specialising in research, training and development of digital and data-driven news and tools. We ❤ data & digital storytelling.

ID: 1035839955870904320

linkhttp://www.nuktaafrica.co.tz calendar_today01-09-2018 10:41:05

2,2K Tweet

1,1K Followers

655 Following

Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

"AI imerahisisha sana upatikanaji wa data (Takwimu). AI inasaidia katika kukusanya, kuchambua na kuwasilisha data kwa njia rahisi na iliyo bora," - Nuzulack J. Dausen, CEO Nukta Africa #WPFD2025 x.com/i/spaces/1yoJM…

World Press Freedom Day (2025) (@wpfd_tz) 's Twitter Profile Photo

"Kila chombo cha habari kinahitaji kuwa na miongozo wezeshi ya matumizi ya AI inayoakisi miongozo ya maadili na kanuni za uandishi wa habari ya chombo husika." - Victor Amani. #WPFD2025 x.com/i/spaces/1yoJM…

Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

"Hizi AI nyingi ziko kwenye majaribio, uhakiki wa data zake ni muhimu wa sababu tuna wajibu wa kuwapatia walaji takwimu sahihi kwa ajili ya kuboresha maisha yao,"- Nuzulack J. Dausen, Afisa Mtendaji Mkuu Nukta Africa #AIMedia #WPFD2025

"Hizi AI nyingi ziko kwenye majaribio, uhakiki wa data zake ni muhimu wa sababu tuna wajibu wa kuwapatia walaji takwimu sahihi kwa ajili ya kuboresha maisha yao,"- <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a>, Afisa Mtendaji Mkuu <a href="/NuktaAfrica/">Nukta Africa</a> 
#AIMedia #WPFD2025
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

"Maendeleo ya teknolojia kama ilivyo kwa AI yanakuja ili kurahisisha na kuondoa dhana hiyo, haina haja ya kutumia Akili, nguvu na muda mwingi. AI ni kifaa kinachotakiwa kutambua matumizi bora ambayo wewe unatakiwa kutambua jinsi ya kutumia," Esau Ezra Ng'umbi, Mhariri Nukta Habari

"Maendeleo ya teknolojia kama ilivyo kwa AI yanakuja ili kurahisisha na kuondoa dhana hiyo, haina haja ya kutumia Akili, nguvu na muda mwingi. AI ni kifaa kinachotakiwa kutambua matumizi bora ambayo wewe unatakiwa kutambua jinsi ya kutumia,"  <a href="/Esau_Ngumbi/">Esau Ezra Ng'umbi</a>, Mhariri <a href="/NuktaTanzania/">Nukta Habari</a>
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

"Miaka 10 ijayo, vyombo vingi vya habari vitakuwa vinatumia #AI katika mfumo mzima wa uchakataji na usambazaji wa habari. AI inaenda katika ngazi ya chini ya jamii, tuangalie fursa tutoke tunayo," Nuzulack J. Dausen, Afisa Mtendaji Mkuu Nukta Africa. #WPFD2025 #AIinMedia

"Miaka 10 ijayo, vyombo vingi vya habari vitakuwa vinatumia #AI katika mfumo mzima wa uchakataji na usambazaji wa habari. AI inaenda katika ngazi ya chini ya jamii, tuangalie fursa tutoke tunayo," <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a>, Afisa Mtendaji Mkuu <a href="/NuktaAfrica/">Nukta Africa</a>.
#WPFD2025 #AIinMedia
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

FURSA! Mafunzo ya Uchambuzi na Uwasilishaji wa Takwimu za Miradi ya Serikali Ingia hapa kwa maelezo zaidi >>> shorturl.at/gkWTW #data #dataviz

Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

Want to stay updated on the latest from Nukta Africa? Follow and bookmark the page where we publish: 📚 Training opportunities (ours & from our partners) 💼 Job offers 📢 Calls for tender applications Don’t miss out!👉 shorturl.at/65kTL

Want to stay updated on the latest from Nukta Africa?

Follow and bookmark the page where we publish:
📚 Training opportunities (ours &amp; from our partners)
💼 Job offers
📢 Calls for tender applications

Don’t miss out!👉 shorturl.at/65kTL
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

As we celebrate this remarkable day, May the spirit of unity and togetherness continue to inspire progress, peace, and prosperity for our great nation. Happy Union Day! #happyunionday

As we celebrate this remarkable day, May the spirit of unity and togetherness continue to inspire progress, peace, and prosperity for our great nation.

Happy Union Day!

#happyunionday
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi mtendaji wa Nukta Africa: "Kama vyombo vya habari havitakuwa na ujuzi wa kutumia Akili Mnemba (AI), walaji wa habari watakosa kupata maudhui sahihi na bora. Waandishi wanapaswa kujifunza matumizi ya Akili Mnemba (AI)" #WorldPressFreedomDay2025

Mkurugenzi mtendaji wa Nukta Africa: 
"Kama vyombo vya habari havitakuwa na ujuzi wa kutumia Akili Mnemba (AI), walaji wa habari watakosa kupata maudhui sahihi na bora. Waandishi wanapaswa kujifunza matumizi ya Akili Mnemba (AI)"

#WorldPressFreedomDay2025
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

ARUSHA: Mkurugenzi mtendaji wa Nukta Africa Nuzulack J. Dausen "Kutumia Akili Mnemba (AI) kunapunguza gharama na muda wa kutengeneza maudhui, lakini vyombo vya habari vinapaswa kujifunza mbinu za kupata kipato kupitia Akili Mnemba (AI)". #WorldPressFreedomDay #wpfd2025

ARUSHA: Mkurugenzi mtendaji wa Nukta Africa <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a> 
"Kutumia Akili Mnemba (AI) kunapunguza gharama na muda wa kutengeneza maudhui, lakini vyombo vya habari vinapaswa kujifunza mbinu za kupata kipato kupitia Akili Mnemba (AI)".

#WorldPressFreedomDay #wpfd2025
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

Bado hujajiandikisha katika mafunzo ya uchambuzi na uwasilishaji wa takwimu za miradi ya Serikali, fanya hivyo leo kupitia kiunganishi hiki >>> shorturl.at/65kTL Mwisho ni Mei 1, 2025. Kwa nini ujiunge na mafunzo haya? Tazama video hii ⤵️⤵️

Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi wa Nukta Africa Nuzulack J. Dausen amesema "Changamoto kubwa kwa wahakiki taarifa ni uzushi kutoka kwa watu. Pia serikali kuchelewa na kuwa wazito kuchukua hatua, hivyo kupelekea taarifa potofu kusambaa". #WPFD2025 #worldpressfreedomday

Mkurugenzi wa Nukta Africa <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a>  amesema "Changamoto kubwa kwa wahakiki taarifa ni uzushi kutoka kwa watu. Pia serikali kuchelewa na kuwa wazito kuchukua hatua, hivyo kupelekea taarifa potofu kusambaa".

#WPFD2025 #worldpressfreedomday
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

Mkurugenzi Mtendaji wa Nukta Africa Nuzulack J. Dausen Amesema "Watu hutumia vibaya vyanzo vya taarifa, hivyo elimu kwa Umma na Waandishi wa habari ni muhimu. Pia, Serikali ishirikiane na wadau wa habari katika kutengeneza sheria rafiki za uhakiki wa taarifa". #WPFD2025

Mkurugenzi Mtendaji  wa Nukta Africa <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a>  Amesema "Watu hutumia vibaya vyanzo vya taarifa, hivyo elimu kwa Umma na Waandishi wa habari ni muhimu. Pia, Serikali ishirikiane na wadau wa habari katika kutengeneza sheria rafiki za uhakiki wa taarifa".

#WPFD2025
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

Nuzulack Dausen amesema "Ongezeko la taarifa potofu, ambazo husambazwa mara nyingi vyanzo vyake huwa sababu za kiuchumi, au kwa makusudi kabisa ya kubadili fikra za watu hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi, au kwa bahati mbaya kutokana na ukosefu wa ujuzi. #WPFD2025

Nuzulack Dausen amesema "Ongezeko la taarifa potofu, ambazo husambazwa mara nyingi vyanzo vyake huwa  sababu za kiuchumi, au kwa makusudi kabisa ya kubadili fikra za watu hasa wakati huu wa kuelekea uchaguzi, au kwa bahati mbaya kutokana na ukosefu wa ujuzi.

#WPFD2025
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

On this Labour Day, be proud of your journey and the courage it takes to continue. Happy International Labour Day! #HappyLabourDay2025

On this Labour Day, be proud of your journey and the courage it takes to continue.

Happy International Labour Day!

#HappyLabourDay2025
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

Missed The Pulse Newsletter – April 2025 Edition? No worries! You can access it here >> shorturl.at/ac8dg SUBSCRIBE to our monthly newsletter for media, communication, and market updates and insights—delivered straight to your fingertips ➡️ shorturl.at/VeY2U

Missed The Pulse Newsletter – April 2025 Edition? 
No worries! You can access it here &gt;&gt; shorturl.at/ac8dg 

SUBSCRIBE to our monthly newsletter for media, communication, and market updates and insights—delivered straight to your fingertips ➡️ shorturl.at/VeY2U