Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile
Olaigwanani-Olengurumwa, Adv

@olengurumwao

Human Rights Lawyer, Researcher and Policy Analyst- CEO THRDC. Regional Director East African Human Rights Institute. Defending human rights is not a crime

ID: 518315148

linkhttp://www.thrdc.tz calendar_today08-03-2012 08:35:22

12,12K Tweet

35,35K Followers

8,8K Following

WateteziTV (@watetezitv) 's Twitter Profile Photo

Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), ameonesha hofu juu ya mfumo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kurudisha majina matatu ya wagombea wa ubunge na udiwani unaweza kuathiri ujasiri wa wawakilishi wa wananchi, na

Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), ameonesha hofu juu ya mfumo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kurudisha majina matatu ya wagombea wa ubunge na udiwani unaweza kuathiri ujasiri wa wawakilishi wa wananchi, na
Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile Photo

This level of systemic human rights violations and harassment targeted to a certain members of the community is too extreme na aibu kubwa kwa Taifa. Treating fellow citizens like captives should not be allowed at any cost by any free society. This is uncalled for and should be

This level of systemic human rights violations and harassment targeted to a certain members of the community is too extreme na aibu kubwa kwa Taifa. Treating fellow citizens like captives  should not be allowed at any cost by any free society.  This is uncalled for and should be
Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile Photo

Zijue sababu tano za kujiuzulu kwa Balozi Humphrey Polepole: 1. Mwenendo wa CCM kukiuka misingi hasa kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi. Imekuwepo kauli ya CCM isemayo “Chama kwanza mtu baadaye”, mwanzoni mwa mwaka huu, alipoona kauli hii inafanyika vinginevyo, amejiuliza mara

Zijue sababu tano za kujiuzulu kwa Balozi Humphrey Polepole:

1. Mwenendo wa CCM kukiuka misingi hasa kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi. 
Imekuwepo kauli ya CCM isemayo “Chama kwanza mtu baadaye”, mwanzoni mwa mwaka huu, alipoona kauli hii inafanyika vinginevyo, amejiuliza mara
Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile Photo

Kila mtu anaweza kuwa mtetezi wa haki za binadamu. Ila kuna tofuauti ya utetezi wa haki unaotokana na wito na wale wanaokuwa watetez wa haki baada ya kuumizwa. Hawa waliokuwa watetez baada ya kuumizwa na haki zao binafsi kuguswa muda wowote wanaweza vua utetezi pale haki zao

Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile Photo

Misingi ya Dira Dira 2050 inaongozwa na misingi ifuatayo: 1. Demokrasia, Haki na Uhuru Kila mtu anafurahia uhuru, ulinzi wa maisha yake na haki zote za msingi zilizowekwa kikatiba, zinazosimamiwa na mahakama zilizo huru, zinazozingatia makundi yote ya jamii wakiwemo wanawake,

WateteziTV (@watetezitv) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amesema kuwa kukomesha vitendo vya utekaji kunahitaji uongozi madhubuti unaoweza kusimamia vyombo vya dola kwa kutoa maelekezo thabiti ya kutaka vitendo hivyo vikome mara moja. Polepole ametoa kauli hiyo leo kupitia

Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile Photo

Kabla ya kuteka, kutesa na kuua mtu labda kwa kulipwa , kuagizwa au kwa kujiamulia tambua unafanya dhambi zifuatazo: 1. Unatenda kosa la unyama dhidi ya binamu unayemteka au kumuua 2. Unatenda unyama kwa wote wanaomtegemea katika familia yake 3. Unafanya dhambi kubwa mbele

Kabla ya kuteka, kutesa na kuua mtu labda kwa kulipwa , kuagizwa au kwa kujiamulia tambua unafanya dhambi zifuatazo: 

1. Unatenda kosa la unyama dhidi ya binamu 
 unayemteka au kumuua 
2. Unatenda unyama kwa wote wanaomtegemea katika familia yake 
3. Unafanya dhambi kubwa mbele
Francis (@sharb84) 's Twitter Profile Photo

Olaigwanani-Olengurumwa, Adv Wanaowatuma na wanaokubali kutumwa kufanya huu uhuni,hawatakaa wawe na amani si wao wala familia zao. Ukisoma Waamuzi sura ya 9,utaona Abimeleck akivyoshirikiana na wajomba zake akauwa ndugu zake ili tu atawale. Mwishoni,yeye na wajomba zake waligeukana. Watalipia tu,ogopa damu.

Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile Photo

*THRDC Free Online Training Course – July Session* Topic: *Strengthening Tax and Regulatory Compliance for NGOs in Tanzania* 📅 Date: 30th July 2025 🕒 Time: 15:00 – 17:45EAT 📍 Platform:Online (Zoom Meeting) Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC), in collaboration

*THRDC Free Online Training Course – July Session*

Topic: *Strengthening Tax and Regulatory Compliance for NGOs in Tanzania*

đź“… Date: 30th July 2025
🕒 Time: 15:00 – 17:45EAT
📍 Platform:Online (Zoom Meeting)

Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC), in collaboration
Boniface Mwabukusi (@mwabuk2boniface) 's Twitter Profile Photo

Mimi Siyo CHADEMA, Wala Sifungamani na Msimamo wa CHADEMA katika utekelezaji wa majukumu yangu au mahusiano na rafiki zangu. Mimi ni mwanachama wa NCCR-Mageuzi, chama ambacho naamini katika misingi yake ya awali ya kupigania mageuzi ya kweli. Hata hivyo, sitakiwi kuwa mtumwa

Mimi Siyo CHADEMA, Wala Sifungamani na Msimamo wa CHADEMA katika utekelezaji wa majukumu yangu au mahusiano na rafiki zangu.

Mimi ni mwanachama wa NCCR-Mageuzi, chama ambacho naamini katika misingi yake ya awali ya kupigania mageuzi ya kweli. 

Hata hivyo, sitakiwi kuwa mtumwa
Olaigwanani-Olengurumwa, Adv (@olengurumwao) 's Twitter Profile Photo

Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), ameonesha hofu juu ya mfumo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kurudisha majina matatu ya wagombea wa ubunge na udiwani unaweza kuathiri ujasiri wa wawakilishi wa wananchi, na

Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), ameonesha hofu juu ya mfumo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kurudisha majina matatu ya wagombea wa ubunge na udiwani unaweza kuathiri ujasiri wa wawakilishi wa wananchi, na