
Flora Nducha
@oresia
Chief-Editor UN News Kiswahili
ID: 226759686
http://news.un.org/sw 15-12-2010 00:39:20
2,2K Tweet
1,1K Followers
473 Following


Ni kwa vipi tawen tanzania inasongesha #SDG5 nchini #Tanzania ? Flora Nducha alizungumza na Janet Zebedayo Mbene (Economist) ambaye ni Mwenyekiti wa shirika hilo la kiraia wakati alipofika Umoja wa Mataifa kushiriki #CSW69 United Nations CSW




Leo ni siku ya kimataifa ya ugonjwa wa Chagas, je wajua ๐ฟ Ugonjwa wa Chagas ni nini? kwa mujibu wa World Health Organization (WHO) ๐ฆ Husambazwa vipi? ๐ฉบ Dalili zake ni zipi? ๐ Je, unatibika? ๐ Na kwa nini ugonjwa huu ni hatari? Soma zaidi ๐ news.un.org/sw/story/2025/โฆ

๐๐๐ซ๐ข ๐ฒ๐ ๐๐๐ฌ๐๐ค๐ ๐๐ข๐ต๐ช๐ฃ๐ถ ๐๐ฌ๐ถ๐ถ ๐ธ๐ข ๐๐ฎ๐ฐ๐ซ๐ข ๐ธ๐ข ๐๐ข๐ต๐ข๐ช๐ง๐ข Antรณnio Guterres ๐ข๐ต๐ฐ๐ข ๐ฐ๐ฎ๐ฃ๐ช ๐ญ๐ข ๐ฎ๐ด๐ฉ๐ช๐ฌ๐ข๐ฎ๐ฐ ๐ฏ๐ข ๐ถ๐ฑ๐ฆ๐ฏ๐ฅ๐ฐ ๐ฅ๐ถ๐ฏ๐ช๐ข ๐ช๐ฌ๐ช๐ด๐ฉ๐ฆ๐ณ๐ฆ๐ฉ๐ฆ๐ฌ๐ฆ๐ข ๐ด๐ช๐ฌ๐ถ๐ฌ๐ถ๐ถ ๐บ๐ข ๐๐ข๐ด๐ข๐ฌ๐ข #Easter

United Nations yaomboleza ๐๐ถ๐ณ๐ผ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ฃ๐ฎ๐ฝ๐ฎ ๐๐ฟ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ถ๐ Apostolica Sedes Vacans โAlikuwa sauti ya kipekee kwa ajili ya amani, utu wa mwanadamu na haki ya kijamii. Anaacha urithi wa imani, huduma na huruma kwa wote hasa wale waliotengwa au waliofungwa na machungu ya migogoro."Antรณnio Guterres


United Nations yaomboleza ๐๐ถ๐ณ๐ผ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ฃ๐ฎ๐ฝ๐ฎ ๐๐ฟ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ถ๐ Apostolica Sedes Vacans Katika ziara yake mwaka 2015 kwenye makao makuu ya UN๐บ๐ธ โPapa Francis alielewa kuwa kulinda nyumba yetu ya pamoja (Dunia) ni jukumu la maadili ya kina na ni wajibu wa kila mtu.โ Antรณnio Guterres Katibu Mkuu wa UN


.United Nations yaomboleza ๐๐ถ๐ณ๐ผ ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ฃ๐ฎ๐ฝ๐ฎ ๐๐ฟ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ถ๐ Apostolica Sedes Vacans Papa Francis na Umoja wa Mataifa walikuwa chanda na pete Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, amefariki dunia leo Jumatatu Aprili 21 katika makazi yake huko Vatican, Roma nchini Italia, akiwa na umri wa miaka 88.

Leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa #Gaza na harakati za utekelezaji wa Azimio la UN kuhusu haki za watu wa asili. Makala inatoka makao makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani ni kutoka #Burundi. Msomaji ni Flora Nducha Flora Nducha news.un.org/sw/audio/2025/โฆ

Asanteni sana Habari za UN na Anold Kayanda ๐๐พ๐๐พ๐๐พ

Mwakilishi wa UN Women Tanzania Hodan Addou amefanya mazungumzo na Balozi Mikami Yoichi Yoichi Mikami kuhusu uendelezaji wa elimu ya sekondari kwa wasichana, na kutumia sanaa na utamaduni katika kupinga vitendo viovu ili kuwa na jamii yenye usawa nchini #Tanzania. UN Women

Chanzo muhimu cha chakula huko #Gaza chafikia ukomo huku misaada ikishindwa kuwafikia Wapalestina milioni 2.2 wenye uhitaji limeonya leo shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani World Food Programme Kuendelea kufungwa kwa mipaka kunazusha taharuki. news.un.org/sw/story/2025/โฆ

Bendera mpya ya #Syria yapandishwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa #NewYork ๐Tofauti ni idadi ya โญ ๐Bendera mpya ina nyota โญโญโญhuku ile ya zamani ilikuwa na nyota โญโญ

Fahamu tofauti za watu hawa wawili na mchambuzi ni Onni Sigalla kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa - BAKITA #Kiswahili #ElimikaWikiendi


๐บ๐ฌ HABARI NJEMA: Uganda yatangaza rasmi kumalizika mlipuko wa Ebola! โ Visa 14 viliripotiwa โ Watu 10 walipona โ Hatua za haraka na mshikamano wa kitaifa ume okoa maisha WHO yasifu uongozi wa Uganda. ๐ Asanteni mashujaa wa afya! #Ebola #Uganda World Health Organization (WHO) news.un.org/sw/story/2025/โฆ


Kupitia taarifa iliyotolewa leo Jumatano huko #Geneva, Uswisi na ofisi yake, Volker Tรผrk amesisitiza kuwa upanuzi wa mashambulizi ya #Israeli huko #Gaza bila shaka utasababisha ukimbizi zaidi, vifo, majeruhi na kuharibu miundombinu michache iliyosalia. news.un.org/sw/story/2025/โฆ

Leo jaridani tunakuletea kiongozi wa kijamii kutoka Jamii ya wafugaji wa Kimaasai mkoani Morogoro nchini Tanzania atazungumzia ushirikishwaji wao kwenye masuala mbalimbali. Pia utajifunza kiswahili kutoka Bakiza Zanzibar Msomaji ni Leah Mushi ๐๐๐๐ ๐๐ฆ๐ค๐๐ news.un.org/sw/audio/2025/โฆ