TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@presidentsamia

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐ŸŒฟโ˜€๏ธPresident Samia Fansโ˜€๏ธ๐ŸŒฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐ŸŸฉ๐ŸŸจ๐ŸŸฉ๐ŸŸจ๐ŸšงBuilding a Better Tanzania.๐Ÿšง ๐ŸŸจ๐ŸŸฉ

ID: 1686972698805624833

calendar_today03-08-2023 05:30:38

654 Tweet

72 Followers

112 Following

Mama yuko Kazini (@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐Œ๐ˆ๐€๐Š๐€ ๐Ÿ“๐ŸŽ ๐๐„๐‚๐“๐€๐Ÿ“ Dar es Salaam Amesisitiza kuwa upimaji wa haki utawezesha kupata nguvu kazi sahihi katika ujenzi wa Taifa. #MamaYukoKazini

Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

It is with deep sadness we have received the news of the passing of Sheikh Nawaf Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah, the Emir of the State of Kuwait. On behalf of all Tanzanians, I send my sincere condolences to the Royal Family, the government and the people of Kuwait.

It is with deep sadness we have received the news of the passing of Sheikh Nawaf Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah, the Emir of the State of Kuwait. On behalf of all Tanzanians, I send my sincere condolences to the Royal Family, the government and the people of Kuwait.
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Vipingamizi vya Kisiasa: โ€œBaadhi ya wanasiasa wanatamani kukwamisha miradi hiiโ€ฆโ€ - Aeleza Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa, Waziri Ofisi ya Raisi - TAMISEMI #VipingamiziVyaKisiasa Chama Cha Mapinduzi CHAMA CHA MAPINDUZI - Zanzibar

TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Mahusiano baina ya Tanzania na China ni ya manufaa kwa pande zote. Rais Samia, Balozi Xia Huang, na Waziri January wanaendelea kuimarisha msingi imara wa ushirikiano wa kihistoria. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ Chama Cha Mapinduzi CHAMA CHA MAPINDUZI - Zanzibar #DiplomasiaYaSamia January Makamba

Mahusiano baina ya Tanzania na China ni ya manufaa kwa pande zote. Rais Samia, Balozi Xia Huang, na Waziri January wanaendelea kuimarisha msingi imara wa ushirikiano wa kihistoria. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ณ 
<a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> <a href="/ccm_zanzibar/">CHAMA CHA MAPINDUZI - Zanzibar</a> #DiplomasiaYaSamia <a href="/JMakamba/">January Makamba</a>
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Leo, Disemba 17, 2023, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, ameanzisha ziara ya ukaguzi wa miradi ya Regrow/Utalii Kusini katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. #Mikumi Angellah Kairuki

Leo, Disemba 17, 2023, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, ameanzisha ziara ya ukaguzi wa miradi ya Regrow/Utalii Kusini katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi. #Mikumi <a href="/AngellahKairuki/">Angellah Kairuki</a>
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, akimwakilisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameongoza hafla Kigamboni ya kutoa vifaa kwa makundi mbalimbali (wazee, wanawake, vijana nk). Kaulimbiu "Kigamboni Salama na Mama Samia." #MamaYukoKazini #KaziIendelee Chama Cha Mapinduzi CHAMA CHA MAPINDUZI - Zanzibar

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, akimwakilisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameongoza hafla Kigamboni ya kutoa vifaa kwa makundi mbalimbali (wazee, wanawake, vijana nk). Kaulimbiu "Kigamboni Salama na Mama Samia." #MamaYukoKazini #KaziIendelee <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> <a href="/ccm_zanzibar/">CHAMA CHA MAPINDUZI - Zanzibar</a>
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph, amekemea kufyekwa kwa mahindi shambani kwa Nestory Nzungu na Mzee Kameme. Amesema ni kinyume cha sheria za Manispaa, akitoa rai ya kusubiri mavuno kabla ya kuchukua hatua. Amewaonya watendaji kutoleta migogoro isiyo ya lazima.

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph, amekemea kufyekwa kwa mahindi shambani kwa Nestory Nzungu na Mzee Kameme. Amesema ni kinyume cha sheria za Manispaa, akitoa rai ya kusubiri mavuno kabla ya kuchukua hatua. Amewaonya watendaji kutoleta migogoro isiyo ya lazima.
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

โ€œSerikali hii ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan haitamvumilia mtumishi yeyote ambaye atashindwa kusimamia miradi kwa uadilifu. Tutachukua hatua kwa watendaji watakaocheza na fedha za miradi โ€ฆ.โ€ - Naibu Waziri Ofisi ya Raisi - TAMISEMI

โ€œSerikali hii ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan haitamvumilia mtumishi yeyote ambaye atashindwa kusimamia miradi kwa uadilifu. Tutachukua hatua kwa watendaji watakaocheza na fedha za miradi โ€ฆ.โ€ - Naibu Waziri Ofisi ya Raisi - TAMISEMI
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki, amezindua Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Wanyamapori 2023 - 2033 na Mpango wa Usimamizi wa Tembo Tanzania 2023 - 2033. Mkakati huo una lengo la kukabiliana na changamoto za uhifadhi wa wanyamapori.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. <a href="/AngellahKairuki/">Angellah Kairuki</a>, amezindua Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Wanyamapori 2023 - 2033 na Mpango wa Usimamizi wa Tembo Tanzania 2023 - 2033. Mkakati huo una lengo la kukabiliana na changamoto za uhifadhi wa wanyamapori.
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Raisi Samia ameahidi kwamba ifikapo katikati ya mwaka 2024, malalamiko kuhusu umeme yatapungua.Hii ni kutokana na uzinduzi wa vinu viwili kwenye bwawa la Julius Nyerere, hivyo kutoa uhakika wa umeme wa kutosha nchini. Pongezi kwa Raisi Samia Suluhu kwa kusimamia mradi wa Nyerere!

Raisi Samia ameahidi kwamba ifikapo katikati ya mwaka 2024, malalamiko kuhusu umeme yatapungua.Hii ni kutokana na uzinduzi wa vinu viwili kwenye bwawa la Julius Nyerere, hivyo kutoa uhakika wa umeme wa kutosha nchini. Pongezi kwa Raisi <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kwa kusimamia mradi wa Nyerere!
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Jitihada za Raisi Samia za kupunguza gharama serikalini zinaonyesha kujitolea kwake kwa ustawi wa umma. Kupunguza gharama kutafanikisha lengo lake la kuboresha maisha na kuleta faida za kiuchumi kwa jamii. Ahsante Mama! #MamaYukoKazini

TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Pongezi kwa Raisi Samia kwa neema ya ajira 500 kwa Watanzania nchini Saudia, juhudi zake za kuifungua nchi zinazaa matunda. Pamoja na fursa ya ajira, ameimarisha uhusiano wetu wa kidiplomasia. Hii ni fursa ya kipekee itakayosaidia kukuza uchumi na kuboresha maisha ya Mtanzania.

Pongezi kwa Raisi Samia kwa neema ya ajira 500 kwa Watanzania nchini Saudia, juhudi zake za kuifungua nchi zinazaa matunda. Pamoja na fursa ya ajira, ameimarisha uhusiano wetu wa kidiplomasia. Hii ni fursa ya kipekee itakayosaidia kukuza uchumi na kuboresha maisha ya Mtanzania.
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

President Samia Tanzania is a visionary leader who has captured the hearts and minds of her people and the world. She is a woman of dignity and strength,who has overcome many challenges and tribulations. She is the pride and joy of Tanzania, a nation of wonders and opportunities.

President Samia Tanzania is a visionary leader who has captured the hearts and minds of her people and the world. She is a woman of dignity and strength,who has overcome many challenges and tribulations. She is the pride and joy of Tanzania, a nation of wonders and opportunities.
TEAM Samia ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@presidentsamia) 's Twitter Profile Photo

Dear President Samia Suluhu , Your steadfast leadership and unwavering commitment to Tanzania are truly inspiring. In the face of challenges, you've guided with grace, strength, and unity. Your efforts bring hope to many. Keep leading with courage. Tanzania stands with you.