Rachel Kimambo (@rachelkimambo) 's Twitter Profile
Rachel Kimambo

@rachelkimambo

National Secretary for Finance and Resources| Secretary of The Board of Trustees @ACTWazalendo

ID: 1400015021271404547

calendar_today02-06-2021 09:03:40

1,1K Tweet

869 Followers

174 Following

shangwe Ayo (@ayo_shangwe) 's Twitter Profile Photo

11 years later 📌 The Bible says in Psalm 118:22, and I quote: “The stone the builders rejected has become the cornerstone.” I love when the Word of God gives answers in its own time. Great day ahead, folks. 🙏✨

11 years later 📌

The Bible says in Psalm 118:22, and I quote:

“The stone the builders rejected has become the cornerstone.”

I love when the Word of God gives answers in its own time.

Great day ahead, folks. 🙏✨
Rahmer Salum (@rahmer255) 's Twitter Profile Photo

HISTORIA IMEANDIKWA LEO JUNI 5, 2025. Mpambanaji, Msimamia haki, Anayejali Maslahi ya Wote, Anayetanguliza mbele Utu na si Kitu. Leo amejiunga na chama chenye kujali na kusimamia #TaifaLaWote kwa #MaslahiYaWote ACTWazalendo

HISTORIA IMEANDIKWA LEO JUNI 5, 2025. 

Mpambanaji, Msimamia haki, Anayejali Maslahi ya Wote, Anayetanguliza mbele Utu na si Kitu. Leo amejiunga na chama chenye kujali na kusimamia #TaifaLaWote kwa #MaslahiYaWote <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Hivi ndivyo viongozi na makada wa ACT Wazalendo ACTWazalendo wakiongozwa na viongozi waaandamizi Dorothy Semu Dorothy Semu (Kiongozi wa Chama), Isihaka Mchinjita Isihaka Mchinjita (Makamu Mwenyekiti Bara), Ado Shaibu Ado Shaibu (Katibu Mkuu) na wengineo walivyompokea na

Selemani Misango (@selemanimisango) 's Twitter Profile Photo

Ni furaha kubwa kwetu leo. Tunakukariibisha Sheikh Ponda Issa Ponda ndani ya ACTWazalendo. Ni heshima kubwa kuwa na mwanaharakati mashuhuri aliyejitolea kwa muda mrefu kusimamia haki, uhuru na usawa. Karibu nyumbani Sheikh. #ACTWazalendo #KaribuSheikhPonda

Ni furaha kubwa kwetu leo.

Tunakukariibisha  Sheikh Ponda Issa Ponda ndani ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>.
Ni heshima kubwa kuwa na mwanaharakati mashuhuri aliyejitolea kwa muda mrefu kusimamia haki, uhuru na usawa.
Karibu nyumbani Sheikh.
#ACTWazalendo #KaribuSheikhPonda
Swahili Times (@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

Kiongozi wa chama cha ACT – Wazalendo, Dorothy Semu amesema hatua ya Sheikh Ponda Issa Ponda kujiunga na chama hicho itasaidia kuongeza nguvu kwenye kampeni ya kupigania haki na kulinda demokrasia.

Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

"Taifa letu linastahili kuongozwa kwa misingi ya Sheria, ambapo kila mtu bila kujali cheo chake, dini yake, au kabila lake, yuko chini ya sheria." Sheikh Ponda Shekh Ponda Issa Ponda Mwanachama ACTWazalendo 05 Juni, 2015.

"Taifa letu linastahili kuongozwa kwa misingi ya Sheria, ambapo kila mtu bila kujali cheo chake, dini yake, au kabila lake, yuko chini ya sheria." Sheikh Ponda <a href="/SheikhPonda/">Shekh Ponda Issa Ponda</a> 
Mwanachama <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> 
05 Juni, 2015.
Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

"Ndugu zangu mimi naamini amani ya kweli haiwezi kustawi pale ambapo kura zinaibiwa, sauti za wananchi zinakandamizwa na sheria zinatumika kuwanyamazisha wale wanaosema ukweli." Shekh Ponda Issa Ponda Wanachama ACTWazalendo #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #OperesheniLindaDemokrasia

"Ndugu zangu mimi naamini amani ya kweli haiwezi kustawi pale ambapo kura zinaibiwa, sauti za wananchi zinakandamizwa na sheria zinatumika kuwanyamazisha wale wanaosema ukweli."  <a href="/SheikhPonda/">Shekh Ponda Issa Ponda</a>
Wanachama <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> 

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote 
#OperesheniLindaDemokrasia
Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

"Ndugu zangu, uzalendo unatutaka tupinge mifumo kandamizi na isiyowajibika na kuhakikisha kuwa sheria zinalinda haki mbalimbali za wananchi." Shekh Ponda Issa Ponda Mwanachama wa ACTWazalendo #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #OperesheniLindaDemokrasia

"Ndugu zangu, uzalendo unatutaka tupinge mifumo kandamizi na isiyowajibika na kuhakikisha kuwa sheria zinalinda haki mbalimbali za wananchi." <a href="/SheikhPonda/">Shekh Ponda Issa Ponda</a> 
Mwanachama wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> 

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
#OperesheniLindaDemokrasia
Ismail Jussa (@ismailjussa) 's Twitter Profile Photo

"Mimi naamini amani ya kweli haiwezi kustawi pale ambapo kura zinaibiwa, sauti za wananchi zinakandamizwa, na sheria zinatumika kuwanyamazisha wale wanaosema ukweli." Mwanachama wa ACTWazalendo Sheikh Ponda Issa Ponda #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

"Mimi naamini amani ya kweli haiwezi kustawi pale ambapo kura zinaibiwa, sauti za wananchi zinakandamizwa, na sheria zinatumika kuwanyamazisha wale wanaosema ukweli."

Mwanachama wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> 
Sheikh Ponda Issa Ponda

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo ACTWazalendo Ado Shaibu Ado Shaibu amesema kuwa hawapingi harakati za CHADEMA kwakuwa Ndio njia waliyochagua. #hapaninyumbani #kasrilakikeke #crowndigital

Ndolezi (@ndolezi_petro) 's Twitter Profile Photo

Naunga Mkona sera ya Michezo ya ACT WAZALENDO kwa Vitendo Ndolezi Cup 2025 imekuwa ni burudani iliyowaleta watu pamoja na kuleta furaha. Jana 10 Juni, 2025 imechezwa fainali Kigoma Kusini iko salama Until next time Asanteni sana