Rahuuuum (@rahmamwita) 's Twitter Profile
Rahuuuum

@rahmamwita

TV Journalist/ Writer/BookAddict/ Founder @OYO_Tanzania / YALI-EAC Alumni/ GlobalGoalsChampionšŸŒ/youtu.be/zCk8WTSBsfc

ID: 3421680677

linkhttp://www.oyotanzania.org calendar_today14-08-2015 07:18:20

62,62K Tweet

69,69K Followers

2,2K Following

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

#JFKUMBUKIZI: Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Seleman Bungara (Bwege) kupitia #CUF akizungumzia thamani ya Maisha ya Mtu Mjadala jamii.app/BwegeKuuaWatu #JamiiForums #HumanRights #HakiZaBinadamu

Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Hongera Sana KM Ado Shaibu ACTWazalendo Kwa kuwapokea kwa mamia Wanachama wa Chadema,CCM, CUF, wa Same Mashariki Kujiunga na Act Wazalendo Chama Makini chenye dhamira ya Kuwakomboa Watanzania.

Hongera Sana KM Ado Shaibu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>  Kwa kuwapokea kwa mamia Wanachama wa Chadema,CCM, CUF, wa Same Mashariki Kujiunga na Act Wazalendo Chama Makini chenye dhamira ya Kuwakomboa Watanzania.
shangwe Ayo (@ayo_shangwe) 's Twitter Profile Photo

Labda nikutaarifu kupitia ukurasa huu, mkutano utafanyika viwanja vya stand ya zamani, maelekezo ulio toa tusipewe kiwanja sisi hatuyajui. Jana si Makala kafanya Jumapili ACT Wazalendo tutafanya na tuna kukaribisha wewe na polisi wote mje kututoa.

Labda nikutaarifu kupitia ukurasa huu, mkutano utafanyika viwanja vya stand ya zamani, maelekezo ulio toa tusipewe kiwanja sisi hatuyajui. Jana si Makala kafanya Jumapili ACT Wazalendo tutafanya na tuna kukaribisha wewe na polisi wote mje kututoa.
Isihaka Mchinjita (@mchinjitair) 's Twitter Profile Photo

Brother lema tusitishe wananchi. Ukombozi unahitaji ari, morali na ujasiri .zoezi la kuwaonesha wananchi kuwa ukatili wa polisi ni kitisho kisichodhibitika haliwezi leta tija. Tuna tatizo linalopaswa kukabiliwa na nguvu ya ummah na siyo hofu ya ummah. Ikiwa tutasalimu amri kwa

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Kesho Mei 24, 2025 KC Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe atazungumza na waandishi wa habari. Wapi? Kakonko. Kuna nini huko? Usiache kutufuatilia. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia ACTWazalendo

Kesho Mei 24, 2025 KC Mstaafu, Ndugu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> atazungumza na waandishi wa habari. Wapi? Kakonko. Kuna nini huko? Usiache kutufuatilia. 

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Wanachama 168 wa Chadema wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Godson John Mmbaga na Chama cha CUF wakiongozwa na aliyekuwa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Ndugu Ally Ramadhan Mngashwa wamejiunga na ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo,

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

WANACHAMA 168 WA CHADEMA NA CUF SAME MASHARIKI WAJIUNGA NA ACT WAZALENDO Wanachama 168 wa Chadema wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Ndugu Godson John Mmbaga na Chama cha CUF wakiongozwa na aliyekuwa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Ndugu Ally Ramadhan

WANACHAMA 168 WA CHADEMA NA CUF SAME MASHARIKI WAJIUNGA NA ACT WAZALENDO

Wanachama 168 wa Chadema wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Ndugu Godson John Mmbaga na Chama cha CUF wakiongozwa na aliyekuwa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Ndugu Ally Ramadhan
SATIVA17 (@sativa255) 's Twitter Profile Photo

Watanzania waishio MAREKANI wameweka kambi kwenye makao makuu ya IMF. Hapa ndio MIKOPO ile wanayoitegemea inatolewa. Sasa wabongo wameenda na Mabango yao kwa wingi wao kujulisha IMF kuwa zile pesa mnazowapa WAKOLONI WEUSI zinamaliza watanzania. Hii ndio njia sahihi ya