Richard Hamisi (@richardhamisi1) 's Twitter Profile
Richard Hamisi

@richardhamisi1

Emotional controller
#IpoSiku

ID: 1085570307040124928

calendar_today16-01-2019 16:11:44

89,89K Tweet

1,1K Followers

408 Following

Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Ni Furahi-Day πŸ₯³ Guess who is behind the Mic today πŸ˜œπŸ˜… Mood ndo kama hii ndani ya #JamboKenya Karibu tuburudike pamoja Vincent Ateya #JamboKenya #RadioNumberOne

Ni Furahi-Day πŸ₯³ Guess who is behind the Mic today πŸ˜œπŸ˜…

Mood ndo kama hii ndani ya #JamboKenya 
Karibu tuburudike pamoja 
<a href="/VincentAteya/">Vincent Ateya</a> 
#JamboKenya 
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Hii bag ya Vincent Ateya ikona nini ? Amesema haiweki chini liwe liwalo... either amebeba pesa ama lunch πŸ˜‚ . Unasikiliza #JamboKenya ukiwa wapi ?. MelodySinzore1 #JamboKenya #RadioNumberOne

Hii bag ya <a href="/VincentAteya/">Vincent Ateya</a> ikona nini ? Amesema haiweki chini liwe liwalo... either amebeba pesa ama lunch πŸ˜‚ .  Unasikiliza #JamboKenya ukiwa wapi ?.
<a href="/MelodySinzore1/">MelodySinzore1</a> 

#JamboKenya
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Masaa ni ya mibibi na mijizee, upo? Hewani ni show ya #GoodEveningKenya na Jina Kubwa, Kamau Munyua. Siku yako imekuwaje? #RadioNumberOne

Masaa ni ya mibibi na mijizee, upo? 
Hewani ni show ya #GoodEveningKenya na Jina Kubwa, Kamau Munyua. Siku yako imekuwaje?

#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Je, ni jambo lipi kuhusiana na ndoa/mahusiano huwa linakutatiza na huna yeyote ambaye unaweza ukauliza ? Leo hii ndani ya #RahaKaraha tunakupa fursa ya kuuliza swali hilo . Geoffrey Mwamburi Mwanahamisi Hamadi Mamati Patisi Kadzo Ndhundhi #RahaKaraha #RadioNumberOne

Je, ni  jambo lipi kuhusiana na ndoa/mahusiano huwa linakutatiza na huna yeyote ambaye unaweza ukauliza ? Leo hii ndani ya #RahaKaraha tunakupa fursa ya kuuliza swali hilo . 
Geoffrey Mwamburi  Mwanahamisi Hamadi Mamati Patisi Kadzo Ndhundhi 

#RahaKaraha 
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Leo hii ndani ya #RahaKaraha tunajadili je, ni kweli kwamba bila pesa mwanamume hapendeki ? Yashawai kutokea ama ushawai yashuhudia popote ? Zungumza nasi Geoffrey Mwamburi Mwanahamisi Hamadi Mamati Patisi Kadzo Ndundhi #DriveOnReloaded #RadioNumberOne

Leo hii ndani ya #RahaKaraha tunajadili je, ni kweli kwamba bila pesa mwanamume hapendeki ? Yashawai kutokea ama ushawai yashuhudia popote ? Zungumza nasi 
Geoffrey Mwamburi  Mwanahamisi Hamadi Mamati Patisi Kadzo Ndundhi 

#DriveOnReloaded
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Sasa kupigwa picha ni kitu ya kufanya Vinny Vincent Ateya aharibu sura kweli? πŸ˜…πŸ€¦β€β™‚οΈ Ni #JamboKenya Furahi-Day members day. Jitambulishe tukutambueπŸ‘ŒπŸ₯³ #RadioNumberOne

Sasa kupigwa picha ni kitu ya kufanya Vinny <a href="/VincentAteya/">Vincent Ateya</a> aharibu sura kweli? πŸ˜…πŸ€¦β€β™‚οΈ

Ni #JamboKenya Furahi-Day members day. 
Jitambulishe tukutambueπŸ‘ŒπŸ₯³
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Fred Obachi Machoka OGW the blackest man in black africaπŸ˜„πŸ”₯ ndani ya #RogaRoga Wawawaaaa πŸŽ‰ karibu kwa burudani kamili kitoka Rhumba deepstate command centre πŸ’―πŸ”₯ #RadioNumberOne

<a href="/fredomachoka/">Fred Obachi Machoka OGW</a> the blackest man in black africaπŸ˜„πŸ”₯ ndani ya #RogaRoga 

Wawawaaaa πŸŽ‰ karibu kwa burudani kamili kitoka Rhumba deepstate command centre πŸ’―πŸ”₯ 
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Leo ndani ya #RahaKaraha unaulizwa Kipi kilichoua hisia zako kwa mtu ambaye ulimpenda sana ? Tuelezee hapa ndani ukiwa naye Mkalla Mwambodze Mwanahamisi Hamadi Kadzo ndhundhi na Mamati Patisi #RahaKaraha #RadioNumberOne

Leo ndani ya #RahaKaraha unaulizwa Kipi kilichoua hisia zako kwa mtu ambaye ulimpenda sana ? Tuelezee hapa ndani ukiwa naye <a href="/MwambodzeMkalla/">Mkalla Mwambodze</a> <a href="/mwanahamisi254/">Mwanahamisi Hamadi</a> <a href="/KNdhundhi/">Kadzo ndhundhi</a> na Mamati Patisi

#RahaKaraha
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Hapo ulipo uko tayari kupata kipindi ukipendacho cha #RahaKaraha? Karibu kwenye show kubwa, show ya wapendanao! Ungana naye Mkalla Mwambodze Mwanahamisi Hamadi Kadzo ndhundhi na Mamati Patisi #RahaKaraha #RadioNumberOne

Hapo ulipo uko tayari kupata kipindi ukipendacho cha #RahaKaraha? Karibu kwenye show kubwa, show ya wapendanao! 
Ungana naye <a href="/MwambodzeMkalla/">Mkalla Mwambodze</a> <a href="/mwanahamisi254/">Mwanahamisi Hamadi</a> <a href="/KNdhundhi/">Kadzo ndhundhi</a> na Mamati Patisi

#RahaKaraha
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Leo ndani ya #GoodEveningKenya tunaungwa naye DR Francis Kagwe akitufunza kuhusu tatizo la Mwanaume Kukosa Kizazi. Ungana naye Kamau Munyua akiweza kuendeleza mahojiano haya Je uko tayari? #DarubiniYaAfya #GoodEveningKenya #RadioNumberOne

Leo ndani ya #GoodEveningKenya tunaungwa naye DR Francis Kagwe akitufunza kuhusu tatizo la Mwanaume Kukosa Kizazi.
Ungana naye Kamau Munyua akiweza kuendeleza mahojiano haya 
Je uko tayari?
#DarubiniYaAfya
#GoodEveningKenya
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Je, Wanaume Wasiooa na Wanawake Waliochoka Kungoja: Tatizo ni Nani ? Leo ndani ya #RahaKaraha nikumoto! Tupe maoni yako Mkalla Mwambodze Kadzo ndhundhi Mwanahamisi Hamadi na Mamati Patisi #RahaKaraha #RadioNumberOne

Je, Wanaume Wasiooa na Wanawake Waliochoka Kungoja: Tatizo ni Nani ?
Leo ndani ya #RahaKaraha nikumoto! Tupe maoni yako 
<a href="/MwambodzeMkalla/">Mkalla Mwambodze</a> <a href="/KNdhundhi/">Kadzo ndhundhi</a> <a href="/mwanahamisi254/">Mwanahamisi Hamadi</a> na Mamati Patisi
#RahaKaraha
#RadioNumberOne
Radio Citizen (@radiocitizenfm) 's Twitter Profile Photo

Karibu katika kipindi chako #RahaKaraha ukiwa nami Mkalla Mwambodze Mwanahamisi Hamadi, Mamatipatisi na Kadzo Ndhundhi na leo hii nakuuliza je, ni tabia gani hizi zinazoharibu uhusiano / ndoa za kisasa ? Tupe maoni yako #RahaKaraha #RadioNumberOne

Karibu katika kipindi chako #RahaKaraha ukiwa nami <a href="/MwambodzeMkalla/">Mkalla Mwambodze</a> <a href="/mwanahamisi254/">Mwanahamisi Hamadi</a>, <a href="/Mamatipatisi1/">Mamatipatisi</a> na Kadzo Ndhundhi na leo hii nakuuliza je, ni tabia gani hizi zinazoharibu uhusiano / ndoa za kisasa ? Tupe maoni yako 

#RahaKaraha
#RadioNumberOne