Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile
Ruqayya Mahmoud Nassir

@ruqayyanassir

Proud Member @ACTwazalendo |Binti Mzalendo | Deputy SG ACT Wazalendo Youth Wing | Shadow Deputy Minister of Health.

ID: 736404582935449600

linkhttp://www.actwazalendo.or.tz calendar_today28-05-2016 03:51:49

4,4K Tweet

2,2K Followers

1,1K Following

Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile Photo

Jana tarehe 23/5/2025 nilichukua fomu ya kuomba ridhaa kwenye chama changu ACTWazalendo ya kua mgombea wa jimbo la Kinondoni. Ninagombea sababu nina deni la kuleta maendeleo katika jamii iliyonilea.

Jana tarehe 23/5/2025 nilichukua fomu ya kuomba ridhaa kwenye chama changu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ya kua mgombea wa jimbo la Kinondoni. Ninagombea sababu nina deni la kuleta maendeleo katika jamii iliyonilea.
Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile Photo

Eeh Mungu tunaomba saidia bara letu la Africa liwe salama, lirudishe amani iliyotoweka, irudishe upendo baina yetu na kuleta umoja tuliokua tunautaka miaka yote. Happy Africa Day

Eeh Mungu tunaomba saidia bara letu la Africa liwe salama, lirudishe amani iliyotoweka, irudishe upendo baina yetu na kuleta umoja tuliokua tunautaka miaka yote.  
Happy Africa Day
Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile Photo

ACT Wazalendo ni jukwaa muhimu la kunganisha vijana wote wenye shauku ya kuleta mabadiliko katika Taifa letu. Safari ya mageuzi itawezekana endapo vijana tukiamua kuungana ambapo wenye umri chini ya miaka 36 ni 77% ya Watanzania hii inatuonyesha kwamba maamuzi yako mikononi mwetu

ACT Wazalendo ni jukwaa muhimu la kunganisha vijana wote wenye shauku ya kuleta mabadiliko katika Taifa letu. Safari ya mageuzi itawezekana endapo vijana tukiamua kuungana ambapo wenye umri chini ya miaka 36 ni 77% ya Watanzania hii inatuonyesha kwamba maamuzi yako mikononi mwetu
Ngome ya vijana_Official (@ngomeyavijana) 's Twitter Profile Photo

GENERATION OMO 2025 Katibu wa Ngome ya vijana_Official Taifa Bussara Jr. akiambatana na Viongozi wengine amefanya ziara Mkoa wa Chakechake Pemba kichama leo 1/6/2025 nakufanya kikao na Vijana maalum wa majimbo yote ya mkoa huo #Ngomeipokazini #2025OMOanatosha #GenerationOMO

GENERATION OMO 2025

Katibu wa <a href="/NgomeyaVijana/">Ngome ya vijana_Official</a> Taifa <a href="/BussaraJr/">Bussara Jr.</a> akiambatana na Viongozi wengine amefanya ziara Mkoa wa Chakechake Pemba kichama leo 1/6/2025 nakufanya kikao na Vijana maalum wa  majimbo yote ya mkoa huo

#Ngomeipokazini 
#2025OMOanatosha 
#GenerationOMO
Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile Photo

Kuvizia wanachama ni moja ya ujenzi wa chama pia, ila na nyie mliotoka CDM pia mbona kama hamna ushawishi maana si nyomi lile la jana pale Furahisha 😂😂😂. Kwa lugha rahisi ni Furahisha iliwafurahisha

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Shukrani sana Sheikh kwa uamuzi wako wa kuingia mstari wa mbele kabisa wa Siasa za Ukombozi. Ujio wako kwenye Chama chetu ACTWazalendo tunauthamini sana. Uamuzi wako tutauenzi. Heshima ulotupa IS SECOND TO NONE. Asante sana

Shukrani sana Sheikh kwa uamuzi wako wa kuingia mstari wa mbele kabisa wa Siasa za Ukombozi. Ujio wako kwenye Chama chetu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> tunauthamini sana. Uamuzi wako tutauenzi. Heshima ulotupa IS SECOND TO NONE. Asante sana
Ruqayya Mahmoud Nassir (@ruqayyanassir) 's Twitter Profile Photo

Siasa ni Mapambano. Tutapambana Tukishiriki! Tutashiriki Tukipambana! Pori kwa Pori. Mtaa kwa Mtaa. Kijiwe kwa Kijiwe. Nyumba kwa Nyumba. Mtu kwa Mtu. Mpaka Kieleweke. Muhuni Hasusiwi!

Siasa ni Mapambano. Tutapambana Tukishiriki! Tutashiriki Tukipambana! Pori kwa Pori. Mtaa kwa Mtaa. Kijiwe kwa Kijiwe. Nyumba kwa Nyumba. Mtu kwa Mtu. Mpaka Kieleweke. Muhuni Hasusiwi!
Ndolezi (@ndolezi_petro) 's Twitter Profile Photo

Ndolezi Cup 2025 Final Kijiji Cha Nyangabo Vs Kijiji Cha Bweru Tarehe 10 Juni, 2025 It was the most epic moment, I ever had in our District Uvinza.

Ndolezi Cup 2025 Final 

Kijiji Cha Nyangabo Vs Kijiji Cha Bweru

Tarehe 10 Juni, 2025

It was the most epic moment, I ever had in our District Uvinza.