Dorothy Semu (@semudorothy) 's Twitter Profile
Dorothy Semu

@semudorothy

Party Leader, 2024- @ACTWazalendo
Mother. Physiotherapist.
Believer of a Prosperous Tanzania

ID: 372748361

linkhttp://www.actwazalendo.or.tz calendar_today13-09-2011 10:35:38

28,28K Tweet

13,13K Followers

3,3K Following

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Ahsante sana Wakili Msomi Jasper Kido kwa mchango wako wa kufanikisha Mkutano Mkuu wa ACTWazalendo; mkutano ambao ni hatua muhimu sana kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili

Ahsante sana Wakili Msomi <a href="/JasperKido/">Jasper Kido</a> kwa mchango wako wa kufanikisha Mkutano Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>; mkutano ambao ni hatua muhimu sana kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
#ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Land Dwellers (@land_dwellers) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita hii leo ametoa wito kwa serikali kuimarisha mfumo wa kielekroniki wa ukusanyaji fedha serikalini na kuhakikisha unafanya kazi muda wote na katika maeneo yote ili kuzuia mianya ya upotevu wa fedha hizo.

Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita hii leo ametoa wito kwa serikali kuimarisha mfumo wa kielekroniki wa ukusanyaji fedha serikalini na kuhakikisha unafanya kazi muda wote na katika maeneo yote ili kuzuia mianya ya upotevu wa fedha hizo.
The Chanzo (@thechanzo) 's Twitter Profile Photo

Damned If You Do, Damned If You Don’t: Misreading Silence as Complicity in Tanzanian Politics By Ayker-Adila Reading The Chanzo’s May 6, 2025, article, ACT Wazalendo’s Presidential Candidate Ahead of Tanzania’s 2025 Elections: A Silent Deal With CCM’s Samia?, reminded me of a

Damned If You Do, Damned If You Don’t: Misreading Silence as Complicity in Tanzanian Politics

By <a href="/AykerP/">Ayker-Adila</a> 

Reading The Chanzo’s May 6, 2025, article, ACT Wazalendo’s Presidential Candidate Ahead of Tanzania’s 2025 Elections: A Silent Deal With CCM’s Samia?, reminded me of a
president 2045 (@presidenttz3) 's Twitter Profile Photo

"Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24, imebainisha hoja za ubadhirifu unaotokana na upotevu fedha, ufisadi na ukiukwaji wa sheria za manunuzi zenye thamani ya shilingi trilioni 2.56" Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta

"Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24, imebainisha hoja za ubadhirifu unaotokana na upotevu fedha, ufisadi na ukiukwaji wa sheria za manunuzi zenye thamani ya shilingi trilioni 2.56"

Waziri Mkuu Kivuli
<a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a>

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
<a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>
Cash Money (@norasco_lazaro) 's Twitter Profile Photo

"Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24, imebainisha hoja za ubadhirifu unaotokana na upotevu fedha, ufisadi na ukiukwaji wa sheria za manunuzi zenye thamani ya shilingi trilioni 2.56" Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta

"Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24, imebainisha hoja za ubadhirifu unaotokana na upotevu fedha, ufisadi na ukiukwaji wa sheria za manunuzi zenye thamani ya shilingi trilioni 2.56"

Waziri Mkuu Kivuli
<a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a>

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
<a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Waziri Mkuu Kivuli kupitia ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita, leo ametolea maoni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka wa fedha 2023/24, akibainisha ubadhirifu wa kusikitisha wa Sh. 2.56 trilioni. Akiwa katika Makao Makuu ya chama hicho jijini

Waziri Mkuu Kivuli kupitia ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita, leo ametolea maoni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka wa fedha 2023/24, akibainisha ubadhirifu wa kusikitisha wa Sh. 2.56 trilioni.

Akiwa katika Makao Makuu ya chama hicho jijini
Waziri Mambo (@wazirij17168200) 's Twitter Profile Photo

"Tunasisitiza kwamba watumishi wote wanaohusika na kuwezesha kuwepo na kushamiri kwa vitendo vya ubadhirifu na upotevu wa mapato wakamatwe na hatua kali za kisheria na kiutawala zichukuliwe." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta

"Tunasisitiza kwamba watumishi wote wanaohusika na kuwezesha kuwepo na kushamiri kwa vitendo vya ubadhirifu na upotevu wa mapato wakamatwe na hatua kali za kisheria na kiutawala zichukuliwe."

Waziri Mkuu Kivuli
<a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a>

#MaduduNiYaleyale
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
<a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Waziri Kivuli wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia ACT Wazalendo, Kulthumu Mchuchuli, leo ametikisa Makao Makuu ya chama hicho kwa kutoa kauli kali dhidi ya Serikali ya CCM kuhusu namna ilivyoshindwa kusimamia ipasavyo mradi wa mabasi ya mwendokasi (DART), na kusababisha adha

Waziri Kivuli wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia ACT Wazalendo, Kulthumu Mchuchuli, leo ametikisa Makao Makuu ya chama hicho kwa kutoa kauli kali dhidi ya Serikali ya CCM kuhusu namna ilivyoshindwa kusimamia ipasavyo mradi wa mabasi ya mwendokasi (DART), na kusababisha adha
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Dorothy Semu, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amesema kuwa Chama hicho kitaitumia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuonesha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwamba wamechoka kuona fedha zinawanufaisha watu wachache waliokuwa madarakani , kuona miradi

Binti Msangi (@mrembowadunia) 's Twitter Profile Photo

"Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24, imebainisha hoja za ubadhirifu unaotokana na upotevu fedha, ufisadi na ukiukwaji wa sheria za manunuzi zenye thamani ya shilingi trilioni 2.56" Isihaka Mchinjita #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo ⁌⁌⁌

"Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24, imebainisha hoja za ubadhirifu unaotokana na upotevu fedha, ufisadi na ukiukwaji wa sheria za manunuzi zenye thamani ya shilingi trilioni 2.56"

<a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a>

#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
⁌⁌⁌
Gilly Bonny Tv (@gillybonnytv) 's Twitter Profile Photo

Waziri Kivuli wa Fedha kutoka ACTWazalendo , Kiza Mayeye, ametoa tamko kali dhidi ya kile alichokiita “mfumo wa kihujuma na wa kizembe unaoendeshwa na serikali ya CCM” katika mashirika ya umma, baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa

Waziri Kivuli wa Fedha kutoka <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> ,  Kiza Mayeye, ametoa tamko kali dhidi ya kile alichokiita “mfumo wa kihujuma na wa kizembe unaoendeshwa na serikali ya CCM” katika mashirika ya umma, baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa
Dorothy Semu (@semudorothy) 's Twitter Profile Photo

"Kama mataifa ya Ethiopia kupitia Ethiopian Airlines au China kupitia Huawei wameweza kuyaendesha mashirika yao ya umma kwa mafanikio na weledi, Tanzania pia inaweza. Kinachotakiwa ni uongozi makini,na si CCM iliyofilisika kisera na kifikra.” Waziri Kivuli wa Fedha Kiza Mayeye.

"Kama mataifa ya Ethiopia kupitia Ethiopian Airlines au China kupitia Huawei wameweza kuyaendesha mashirika yao ya umma kwa mafanikio na weledi, Tanzania pia inaweza. Kinachotakiwa ni uongozi makini,na si CCM iliyofilisika kisera na kifikra.”

Waziri Kivuli wa Fedha
<a href="/kizamayeye_/">Kiza Mayeye.</a>
Dorothy Semu (@semudorothy) 's Twitter Profile Photo

"Tunasisitiza kwamba watumishi wote wanaohusika na kuwezesha kuwepo na kushamiri kwa vitendo vya ubadhirifu na upotevu wa mapato wakamatwe na hatua kali za kisheria na kiutawala zichukuliwe." Waziri Mkuu Kivuli Isihaka Mchinjita #MaduduNiYaleyale ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta

"Tunasisitiza kwamba watumishi wote wanaohusika na kuwezesha kuwepo na kushamiri kwa vitendo vya ubadhirifu na upotevu wa mapato wakamatwe na hatua kali za kisheria na kiutawala zichukuliwe."

Waziri Mkuu Kivuli
<a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a>

#MaduduNiYaleyale
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
<a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo Mei 18, 2025 Katibu Mkuu Kiongozi wa Wasemaji wa Kisekta, Ndugu Idrisa Kweweta amechukua fomu ya kugombea Ubunge w Jimbo la Kilwa Kusini. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ndugu Twahir Bingwe. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia ACTWazalendo

Leo Mei 18, 2025 Katibu Mkuu Kiongozi wa <a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a>, Ndugu <a href="/idrisa_kweweta/">Idrisa Kweweta</a> amechukua fomu ya kugombea Ubunge w Jimbo la Kilwa Kusini. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Jimbo la Kilwa Kusini, Ndugu Twahir Bingwe.

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Kesho Makamu Mwenyekiti Bara ndugu Isihaka Mchinjita atazungumza na waandishi wa habari. Wote mnakaribishwa. #Taifalawote #Maslahiyawote #OpareshenilindaDemokrasia

Kesho Makamu Mwenyekiti Bara ndugu <a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a> atazungumza na waandishi wa habari. Wote mnakaribishwa.

#Taifalawote
#Maslahiyawote
#OpareshenilindaDemokrasia