Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile
Suphian Juma Nkuwi

@suphianjuma

●Mgombea Ubunge Singida Magharibi 2020.

● Mkurugenzi Mtendaji @TAA_Tanzania

●MWANZILISHI- SINGIDA MPYA YA KIJANI INAWEZEKANA

ID: 3363017128

calendar_today06-07-2015 19:52:43

94,94K Tweet

156,156K Followers

6 Following

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Huwezi kutoka nchi ya jirani ukaja kuisigina amani yetu tukakuchekea; Akina Lissu mbona hawakuja Kenya wakati mna vurugu na kumwita Rais Ruto Dikteta⁉️ Akina Maria Sarungi walioratibu ujio wenu watawaponza. Tanzania nchi huru, mahakama zetu zitaamua kesi. MIND YOUR STEPS‼️

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Mnahangaika sana. Ipo hivi; Chama Cha Mapinduzi tunapendwa na wananchi kutokana na maendeleo tunayowaletea kupitia Mwenyekiti na Rais wetu Dkt Samia Suluhu, na tutashinda kwa kishindo kikuu.

Mnahangaika sana.

Ipo hivi; 

<a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> tunapendwa na wananchi kutokana na maendeleo tunayowaletea kupitia Mwenyekiti na Rais wetu Dkt <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>, na tutashinda kwa kishindo kikuu.
Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

MKOME‼️ Akina Maria Sarungi Tsehai, Chadema Tanzania na wanaharakati wao wa Kenya akina The People’s Watchman wamegeuka piltoni baada ya mipango kufeli na kupata hili ONYO kali. BEHAVE‼️ Ahsante Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu kwa hotuba nzito, hakuna kuwadekeza hawa viumbe watuharibie nchi.

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Hey Willis Evans Otieno &co. Mnamkosea adabu makusudi halafu mnataka awachekee? Sawa na uje kwangu uniibie halafu uniambie nikukamate kwa adabu... Mlimchukulia poa kisa mpole, tulieni dawa iwaingie. Mama yangu Samia Suluhu tunaomba uendelee kushikilia msimamo wako hadi wanyooke.

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Ushamba wa grade A+ ni kudukua akaunti ya Taasisi halafu unapotosha jambo ambalo kivyovyote vile hakuna Mtanzania hata wa "vidudu" atakuamini.. Hawa viumbe na mtandao wao wakamatwe wanyooshe iwe somo. IPO HIVI; Rais Dkt Samia Suluhu atashinda kwa zaidi ya 80%, JISUMBUENI.

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Vijana wa Kenya muwe na ADABU. Mind your mouths. Msifikiri tutashindwa kuwashughulikia kisheria hata mkiwa huko kwenu. BEHAVE before it's too late‼️

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Baada ya Uchaguzi Mkuu huu 2025 vyama vikuu vya Upinzani vitakuwa katika mtiririko huu... 1) ACTWazalendo 2) CHAUMMA Tanzania 3) CHADEMA TANZANIA N:B Namba moja inaweza kuwa aidha ACT wazalendo ama CHAUMMA. N:B nyingine; CHADEMA hadi 2030 itazidiwa hata na TLP ya sasa iliyozimia.

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Nafurahi kuona ndoto sasa imekuwa halisi kuanzisha Taasisi (TAA) na kuajiri vijana wenzangu, na kuleta mchango wangu kustawisha jamii yangu--utunzaji mazingira. Ahsante Rais Dkt Samia Suluhu kwa kusaidia kutimiza ndoto hii, kama kijana najivunia mno uongozi wako bora.

Nafurahi kuona ndoto sasa imekuwa halisi kuanzisha Taasisi (<a href="/TAA_Tanzania/">TAA</a>) na kuajiri vijana wenzangu, na kuleta mchango wangu kustawisha jamii yangu--utunzaji mazingira. 

Ahsante Rais Dkt <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kwa kusaidia kutimiza ndoto hii, kama kijana najivunia mno uongozi wako bora.
Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Fanya yote ila usimkeji, kumdharau na kumvunjia utu, Rais wetu kipenzi cha Watanzania, mpenda UTU, UMOJA, UPENDO na HAKI, Dkt Samia. OTHERWISE we will deal with you perpendicularly whether inside or outside our territory. I mean by ANY MEANS NECESSARY‼️

Fanya yote ila usimkeji, kumdharau na kumvunjia utu, Rais wetu kipenzi cha Watanzania, mpenda UTU, UMOJA, UPENDO na HAKI, Dkt Samia. 

OTHERWISE we will deal with you perpendicularly whether inside or outside our territory. 

I mean by ANY MEANS NECESSARY‼️
Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Tumeanza kuwa na tabia za kimaskini sana; tunapenda kuona viongozi wetu wasiwe na mali, mnataka wateseke na sisi hawa hawa tukikutana nao mtaani tunataka kuwapiga mizinga, na wakionekana hawana kitu tunawacheka. Kila mtu ana haki ya utajiri. Umasikini sio sifa, TUBADILIKE.

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Hii akaunti nyingine ya Mange Kimambi huko Instagram ifungwe kama ile ya zamani; anachokifanya huyu msimbe si uhuru wa Kujieleza bali chuki, wivu na utovu wa maadili uliopotiliza dhidi ya nchi yetu akidhani anamkomoa Rais Dkt Samia Suluhu Kiufupi ni MHAINI; siku yake imekaribia.

Suphian Juma Nkuwi (@suphianjuma) 's Twitter Profile Photo

Kinachomuumiza Askofu Bishop Josephat Gwajima PhD hadi kubwabwaja vile ni vitu viwili; 1) Hakuteuliwa Uwaziri na Mama, nje ya mategemeo. 2) Kuna Kiongozi Mkubwa (Hayupo duniani sasa) alimwahidi atakuwa Kiongozi mkubwa baada ya uchaguzi mkuu 2025 AMEJIMALIZA KISIASA kwa upofu wake wa madaraka.