TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile
TBC DIGITAL

@tbconlinetz

Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). TBC kiganjani mwako, usipitwe #ukwelinauhakika

ID: 2306274450

linkhttp://www.tbc.go.tz calendar_today23-01-2014 09:37:16

27,27K Tweet

132,132K Followers

16 Following

TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah akikaribishwa nchini Tanzania kwa kukabidhiwa maua, ikiwa ni ishara ya upendo wa Watanzania kwa Rais huyo ambaye ameanza ziara yake ya kiserikali ya siku mbili hapa nchini 📸 Said Pichadunia

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah akikaribishwa nchini Tanzania kwa kukabidhiwa maua, ikiwa ni ishara ya upendo wa Watanzania kwa Rais huyo ambaye ameanza ziara yake ya kiserikali ya siku mbili hapa nchini

📸 <a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Netumbo Nandi -Ndaitwah akionesha ishara ya kuwashukuru watu mbalimbali waliojitokeza katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) kumlaki ikiwa ni siku yake ya kwanza ya ziara yake nchini. 📸 Said Pichadunia

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Netumbo Nandi -Ndaitwah akionesha ishara ya kuwashukuru watu mbalimbali waliojitokeza katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) kumlaki ikiwa ni siku yake ya kwanza ya ziara yake nchini.

📸 <a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema ili kudhibiti janga la njaa na umasikini pamoja na kuharakisha maendeleo vijijini, ni vema mataifa kushirikiana kwa kuwa masuala hayo ni janga la linalovuka mipaka ya nchi.

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema ili kudhibiti janga la njaa na umasikini pamoja na kuharakisha maendeleo vijijini, ni vema mataifa kushirikiana kwa kuwa masuala hayo ni janga la linalovuka mipaka ya nchi.
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Huduma zetu China zimekuwa kwa kasi kubwa. Simba wa Bahari tunazidi kurahisisha huduma kwa mteja wetu kila siku. Haya ni mawasiliano yetu ukifika Airport. Ukipiga namba hizi, utapokelewa Aiport, na address zetu za kutufikishia mizigo katika Warehouse zetu +255 746 813 813

Huduma zetu China zimekuwa kwa kasi kubwa.  Simba wa Bahari tunazidi kurahisisha huduma kwa mteja wetu kila siku. 

Haya ni mawasiliano yetu ukifika Airport. Ukipiga namba hizi, utapokelewa Aiport, na address zetu za kutufikishia mizigo katika Warehouse zetu

+255 746 813 813
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Dakika 45 za kipindi cha kwanza mchezo wa fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika zimemalizika huku Simba wakiwa mbele kwa bao moja. HT:Simba SC 1-0 RS Berkane (Agg: 1-2) Unawashauri nini kuelekea dakika 45 za kipindi cha pili?.

Dakika 45 za kipindi cha kwanza mchezo wa fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika zimemalizika huku Simba wakiwa mbele kwa bao moja. 
   
HT:Simba SC 1-0 RS Berkane (Agg: 1-2)

Unawashauri nini kuelekea dakika 45 za kipindi cha pili?.
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Kocha Eric ten Hag ametua Bayer 04 Leverkusen, akirithi mikoba ya Xabi Alonso. Ten Hag amesaini mkataba wa miaka miwili ambapo ataitumikia timu hiyo mpaka mwaka 2027. Ikumbukwe Hag anachukua mikoba ya Xabi Alonso aliyetimkia Real Madrid.

Kocha Eric ten Hag ametua Bayer 04 Leverkusen, akirithi mikoba ya Xabi Alonso. 

Ten Hag amesaini mkataba wa miaka miwili ambapo ataitumikia timu hiyo mpaka mwaka 2027.

Ikumbukwe Hag anachukua mikoba ya Xabi Alonso aliyetimkia Real Madrid.
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) linakuletea matangazo mbashara ya kongamano la vijana kuhusu hifadhi na usimamizi wa mazingira, linalofanyika katika ukumbi wa mikutano wa maktaba mpya ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam leo Juni 3, 2025.

Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) linakuletea matangazo mbashara ya kongamano la vijana kuhusu hifadhi na usimamizi wa mazingira, linalofanyika katika ukumbi wa mikutano wa maktaba mpya ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam leo Juni 3, 2025.
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 3, 2025, amepanda mti katika maeneo ya ukumbi wa mikutano wa maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ikiwa ni ishara ya kuunga mkono juhudi za uhifadhi wa mazingira.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 3, 2025, amepanda mti katika maeneo ya ukumbi wa mikutano wa maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ikiwa ni ishara ya kuunga mkono juhudi za uhifadhi wa mazingira.
TBC DIGITAL (@tbconlinetz) 's Twitter Profile Photo

Wadau mbalimbali wakiwemo vijana, wakishiriki katika kongamano la vijana kuhusu hifadhi na usimamizi wa mazingira, linalofanyika katika ukumbi wa mikutano wa maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Juni 3, 2025.

Wadau mbalimbali wakiwemo vijana, wakishiriki katika kongamano la vijana kuhusu hifadhi na usimamizi wa mazingira, linalofanyika katika ukumbi wa mikutano wa maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Juni 3, 2025.