
TARI Tanzania official page
@tanzaniatari
TARI is an institution responsible for all agriculture research activities in Tanzania
ID: 1422081969165324294
http://tari.go.tz 02-08-2021 06:29:17
884 Tweet
5,5K Followers
63 Following


Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kupitia kituo cha TARI Mikocheni imegawa Miche bora ya Minazi aina ya EAST AFRICAN TALL kwa Wakulima 278 katika Mikoa ya Tanga, Lindi na Mtwara. instagram.com/p/DIi7g_aoKpU/… Wizara ya Kilimo Hussein M Bashe ikulu_Tanzania


Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar atembelea Banda la TARI maadhimisho miaka 61 ya Muungano instagram.com/p/DI4aBVEu2NW/… Wizara ya Kilimo Hussein M Bashe


TARI tunakutakia Heri katika kuadhimisha Miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye kaulimbiu; Muungano wetu ni Dhamana, Heshima na Tunu ya Taifa; Shiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 @wizara_ya_kilimo bashe hussein @ikulu_habari @ikulu_mawasiliano @samia_suluhu_hassan


Wadau wa Pamba chini ya mradi wa Cotton Victoria wameanza kujengewa uwezo kuhusu kuongeza tija kwenye zao la pamba kupitia udhibiti wa visumbufu ikiwemo wadudu waharibifu. instagram.com/p/DI_jVPpI_11/… Wizara ya Kilimo Cory Brown Hussein M Bashe



TARI tunakutakia Heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani- 2025. @wizara_ya_kilimo Hussein M Bashe ikulu_Tanzania




TARI Tengeru yashauri Wakulima kupata Mbegu za mboga, Miche ya migomba,Parachichi kituoni hapo instagram.com/p/DJdnziQo8Kd/… Hussein M Bashe Wizara ya Kilimo



Wakulima nchini wameshauriwa kulima zao la kibiashara la karafuu ambalo ni maarufu katika visiwa vya Pemba na Ugunja lakini pia linatajwa kufanya vizuri katika baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Tanzania Bara. instagram.com/p/DJi6fbVo8tA/… Hussein M Bashe Wizara ya Kilimo


Wakulima washauriwa kutumia Teknolojia bora za Kilimo ili kujiongezea tija kimapato na kuboresha afya @wizara_ya_kilimo ITV Tanzania

Wakulima wa Mpunga wameshauriwa kutumia Mbegu bora za Mpunga zilizofanyiwa Utafiti ili kujiongezea tija. instagram.com/p/DJmm98no9oT/… Hussein M Bashe Wizara ya Kilimo


Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kupitia kituo cha Utafiti cha TARI Hombolo kilichopo Dodoma imeanza Utafiti wa zao la mitende nchini kama moja kati ya Mazao yanayostahimili kanda kame ili kuongeza tija na kipato kwa Wakulima. instagram.com/p/DJqj0ITocn1/… Hussein M Bashe


#BajetiYaWakulima #BajetiYaWakulima2025/2026 #TwenzetuShambani Hussein M Bashe Wizara ya Kilimo Msemaji Mkuu wa Serikali


instagram.com/reel/DKJgiyOIU… Hussein M Bashe Wizara ya Kilimo