Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile
Joseph Mbilinyi

@therealjongwe

Businessman/Legendary African Hiphop Artist/Former Member of Parliament for Mbeya Urban/Central Committee Member - CHADEMA/Zonal Chairman-CHADEMA Nyasa.

ID: 1017809409748107265

calendar_today13-07-2018 16:34:08

859 Tweet

428,428K Followers

161 Following

Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Kwa MAJIVUNO makubwa naazimisha miaka 15 kwenye chama changu. 25 June 2010, mimi, G Solo na Mkoloni tulikabidhiwa KADI na JJ Mnyika na kuwa WANACHAMA rasmi. Nitaendelea kukitumikia chama hiki kilichonipa FURSA ya kuonyesha kipaji changu cha SIASA, kwa uwezo wangu wote. #NRNE

Kwa MAJIVUNO makubwa naazimisha miaka 15 kwenye chama changu. 25 June 2010, mimi, G Solo na Mkoloni tulikabidhiwa KADI na JJ Mnyika na kuwa WANACHAMA rasmi. Nitaendelea kukitumikia chama hiki kilichonipa FURSA ya kuonyesha kipaji changu cha SIASA, kwa uwezo wangu wote.
#NRNE
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Na yeyote anayesema Mwenyekiti wetu Tundu Antiphas Lissu anyongwe/auwawe naye MATAKO yake pia… NB: Hata kama ni Sheikh wa CCM kama huyu! #NoReformsNoElection #FREELISSU

Na yeyote anayesema Mwenyekiti wetu <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> anyongwe/auwawe naye MATAKO yake pia… 
NB: Hata kama ni Sheikh wa CCM kama huyu! 
#NoReformsNoElection 
#FREELISSU
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Elewa sentensi hii… ‘SI KILA MTU’! NB: Uzuri wa mwanangu huyu huwa hana KIFUA kabisa sio kama Bwana MUDI wa Rufiji, huyu hawezi kabisa kukaa na jambo KIFUANI , kumbuka kauli yake alipokuwa Mwanza kuhusu Mwendazake?!😎 #NoReformsNoElection

Elewa sentensi hii… ‘SI KILA MTU’!

NB: Uzuri wa mwanangu huyu huwa hana KIFUA kabisa sio kama Bwana MUDI wa Rufiji, huyu hawezi kabisa kukaa na jambo KIFUANI , kumbuka kauli yake alipokuwa Mwanza kuhusu Mwendazake?!😎
#NoReformsNoElection
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Ujumbe huu sio wangu na sikuandika Mimi , hata kama CONTENT yake ina UKWELI… Lakini nakubaliana na msimamamo wa sasa wa Ndugu Polepole kwani hoja zake zina UKWELI mtupu pia. NB: Acheni kutumia jina langu kwenye haya makanjanja kila siku, MATAKO YENU!😎 #NoReformsNoElection

Ujumbe huu sio wangu na sikuandika Mimi , hata kama CONTENT yake ina UKWELI… 
Lakini nakubaliana na msimamamo wa sasa wa Ndugu Polepole kwani hoja zake  zina UKWELI mtupu pia.
NB: Acheni kutumia jina langu kwenye haya makanjanja kila siku, MATAKO YENU!😎
#NoReformsNoElection
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Mahakamani kwenye kesi ya kubumba ya Mwenyekiti wetu @tunduantiphaslissu leo… NB: We the LEADERS shall safeguard the PARTY to the end✌🏾🔥 #NoReformsNoElection #FREELISSU

Mahakamani kwenye kesi ya kubumba ya Mwenyekiti wetu @tunduantiphaslissu leo… 

NB: We the LEADERS shall safeguard the PARTY to the end✌🏾🔥
#NoReformsNoElection
#FREELISSU
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa akisalimiana na Maofisa wa Ubalozi wa US, ambao walikuwepo Mahakama ya Kisutu jana kufuatilia kesi ya kubumba ya Mwenyekiti wetu wa Taifa Tundu Antiphas Lissu #NoReformsNoElection #FREELISSU

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa akisalimiana na Maofisa wa Ubalozi wa US, ambao walikuwepo Mahakama ya Kisutu jana kufuatilia kesi ya kubumba ya Mwenyekiti wetu wa Taifa <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> 
#NoReformsNoElection 
#FREELISSU
Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Watu wananitumia hii clip,wanasema wamemiss hizi SWAGGA mjengoni. Mimi nawakumbusha kuwa mpaka kufika hapo,kuna watu WALIKUFA na wengine VILEMA mpaka leo kwa kupambana ili NITANGAZWE! NB:Siko tayari tena kwa Ubunge wenye DAMU za watu.Hata kama NAKUBALIKAJE! #NoReformsNoElection

Joseph Mbilinyi (@therealjongwe) 's Twitter Profile Photo

Hahaha walipitisha mgombea Urais kwa ‘spirit’ bila kufuata utaratibu wa chama chao? Hata ukiangalia walioshangilia ni wachache kuliko waliokaa. Meza kuu wote nyuso zimejaa HOFU! NB:Yuko wapi Jaji Mutungi na Sisty wake?Au jukumu lao ni kukwamisha CHADEMA tu?! #NoReformsNoElection