Night king๐Ÿ‘‘ (@triple_8118) 's Twitter Profile
Night king๐Ÿ‘‘

@triple_8118

master Planning

Free nationa C.E.O

ID: 1400875437660717062

calendar_today04-06-2021 18:02:34

6,6K Tweet

1,1K Followers

689 Following

๐—ฃ ๐—” ๐—• ๐—Ÿ ๐—ข ๐Ÿฆ (@kingpablotz) 's Twitter Profile Photo

Tarehe 30 Desemba 2006, asubuhi ya Sikukuu ya Eid, Saddam Hussein alisimamishwa juu ya jukwaa la kifo. Alivaa koti la rangi nyeusi, suruali ya kijeshi, na shati jeupe. Alikuwa mtulivu, lakini macho yake yalionyesha dharau. Saddam alifungwa mikono yake kwa nyuma huku miguu

Tarehe 30 Desemba 2006, asubuhi ya Sikukuu ya Eid, Saddam Hussein alisimamishwa juu ya jukwaa la kifo. 

Alivaa koti la rangi nyeusi, suruali ya kijeshi, na shati jeupe. Alikuwa mtulivu, lakini macho yake yalionyesha dharau. 

Saddam alifungwa mikono yake kwa nyuma huku miguu
BlackMan๐Ÿฆ (@lusekeloworld) 's Twitter Profile Photo

Bro to bro Mtunze Mwanamke Wako. Acha Tu Kumkaribisha Maghetoni Kwa Sex TU ๐Ÿ†๐Ÿ˜ซ๐Ÿ‘โ˜บ๏ธ Mfundishe Ku_drive ๐Ÿš— Mfundishe Ku_apply Kazi Mu_encourage Asome ๐Ÿ“š Mpatie Pesa Hata Kama Hajakuomba ๐Ÿ’ฐ Pia Usisahau Kumsupport Dream Zake Be a Real Man ๐Ÿ‘ž๐Ÿ’ช๐Ÿพ๐Ÿ˜

Night king๐Ÿ‘‘ (@triple_8118) 's Twitter Profile Photo

Kwani tanesco mna maaan gani? Au mnataka kutunguzia vifa vyetyu alafu ni kilasiku mda huu mnakat umem na kuirudisha kama mchezo flani ivi achen bhana hii mambo

Kwani tanesco mna maaan gani? 
Au mnataka kutunguzia vifa vyetyu alafu ni kilasiku mda huu mnakat umem na kuirudisha kama mchezo flani ivi achen bhana hii mambo
Aliiii๐Ÿ (@lil_gallery) 's Twitter Profile Photo

Graphited T shirts Good quality price: ksh 1300 location: Drive in Thika road Delivery countrywide 0714711540 Garnacho Mt kenya Cain Bible April fools

Graphited T shirts
Good quality
price: ksh 1300
location: Drive in Thika road
Delivery countrywide
0714711540

Garnacho Mt kenya Cain Bible April fools
Mfalme๐Ÿ‘‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@mfalmewax1) 's Twitter Profile Photo

UJUZI 20 UNATAKIWA KUWA NAO MAISHANI: 1. Kujipenda 2. Kujali afya yako 3. Kuvaa vizuri 4. Heshima 5. Kuongea umenyooka na kujiamini 6. Malengo ya Maisha 7. Tabia njema 8. Tabasamu 9. Kujiamini 10. Kuongea ukweli 11. Utambuzi 12. Kukubaliana na hali 13. Elimu 14. Kuwa na

Mfalme๐Ÿ‘‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@mfalmewax1) 's Twitter Profile Photo

VITU 4 VYA KUMVUTIA MWANAMKE YEYOTE UZI HALISI ๐Ÿงต Kuna wasichana wanavutiwa na mwanaume fulani na wanaweza kufanya chochote kumfurahisha mwanaume, KWANINI? Kabla hatujazama ndani, nikupe Tahadhari huu UZI upo kinyume na Mambo unayofundishwa Kama njia za kupata WANAWAKE. โคต๏ธ

VITU 4 VYA KUMVUTIA MWANAMKE YEYOTE

UZI HALISI ๐Ÿงต

Kuna wasichana wanavutiwa na mwanaume fulani na wanaweza kufanya chochote kumfurahisha mwanaume, KWANINI?

Kabla hatujazama ndani, nikupe Tahadhari huu UZI upo kinyume na Mambo unayofundishwa Kama njia za kupata WANAWAKE. โคต๏ธ
BROTHER (@0101dubu) 's Twitter Profile Photo

Maisha ya mwanamke huanza akiwa na miaka 18. Maisha ya mwanaume huanza akiwa na miaka 30. Mwanamke huzaliwa na thamani. Mwanaume huzaliwa bila thamani. Mwanamke anatakiwa kulinda thamani yake. Mwanaume unatakiwa kujijengea thamani yako.

Mfalme๐Ÿ‘‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@mfalmewax1) 's Twitter Profile Photo

KANUNI 12 ZA UHAKIKA ZA MAFANIKIO 1. Amini nafsi yako. Kujiamini ni msingi wa mafanikio. Lazima uamini thamani yako na ujisikilize. 2. Tengeneza bahati yako. Mafanikio hutokana na mipango makini. Kumbuka: ukishindwa kupanga, umepanga kushindwa. 3. Jiweke karibu na watu

Mfalme๐Ÿ‘‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@mfalmewax1) 's Twitter Profile Photo

Mfalme kwa Mfalme: Lazima upitie kipindi maishani mwako ambapo utakuwa na: - Huna mpenzi - Huna malaya - Marafiki wachache Ni wewe tu na juhudi zako. Hicho kipindi kinaitwa Ghost Mode, wengi wanajipata hapa.