Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile
Umoja wa Mataifa

@umojawamataifa

Akaunti rasmi ya Umoja wa Mataifa. Kwa amani, utu & usawa katika ulimwengu wenye ustawi.

ID: 67706757

linkhttps://news.un.org/sw/ calendar_today21-08-2009 20:15:32

34,34K Tweet

29,29K Followers

691 Following

Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

"Kwenye lango la Amazon, mataifa yamefikia makubaliano yanayoonesha bado yanaweza kuungana kukabiliana na changamoto ambazo hakuna nchi inayoweza kuzishinda peke yake." - António Guterres akihitimisha #COP30. Zaidi: news.un.org/sw/story/2025/…

Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

“Sasa ni wakati wa uongozi na maono.” - António Guterres kwenye #G20 Afrika Kusini. Dunia inahitaji viongozi wanaoweza kutumia ushawishi wao kusukuma amani, uwakilishi wenye usawa, na hatua madhubuti za kiuchumi na za tabianchi. news.un.org/sw/story/2025/…

“Sasa ni wakati wa uongozi na maono.”

- <a href="/antonioguterres/">António Guterres</a> kwenye #G20 Afrika Kusini.

Dunia inahitaji viongozi wanaoweza kutumia ushawishi wao kusukuma amani, uwakilishi wenye usawa, na hatua madhubuti za kiuchumi na za tabianchi.

news.un.org/sw/story/2025/…
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Wengi wanajua mifuko, chupa, na mirija ina plastiki, lakini vifaa vingi vingine vya kila siku pia vina plastiki. UN Development imebaini vitu 10 vinavyotumiwa kila siku ambavyo vina plastiki nyingi, lakini hatugundui: stories.undp.org/hiding-in-plai… #BeatPlasticPollution

Wengi wanajua mifuko, chupa, na mirija ina plastiki, lakini vifaa vingi vingine vya kila siku pia vina plastiki.

<a href="/UNDP/">UN Development</a> imebaini vitu 10 vinavyotumiwa kila siku ambavyo vina plastiki nyingi, lakini hatugundui: stories.undp.org/hiding-in-plai…  #BeatPlasticPollution
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Mkutano wa 11 wa UNIDO wa mawaziri kutoka nchi masikini zaidi duniani LDCs kujadili maendeleo ya viwanda unaendelea Saudia ambapo ✏️Tamko la Mawaziri limepitishwa  ✏️Mkakati wa Uendeshaji umeidhinishwa  ✏️Ushirikiano umeimarishwa  ✏️Na sera zimekubaliwa  news.un.org/sw/story/2025/…

Mkutano wa 11 wa <a href="/UNIDO/">UNIDO</a> wa mawaziri kutoka nchi masikini zaidi duniani LDCs kujadili maendeleo ya viwanda unaendelea Saudia ambapo
✏️Tamko la Mawaziri limepitishwa 
✏️Mkakati wa Uendeshaji umeidhinishwa 
✏️Ushirikiano umeimarishwa 
✏️Na sera zimekubaliwa 
news.un.org/sw/story/2025/…
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

“Kwa wale wote walioandamana, kujadiliana, kushauri, kuripoti na kuhamasisha, msikate tamaa. Historia iko upande wenu, na #UN uko nanyi.” Baada ya #COP30 kumalizika #Brazil, António Guterres ameahidi kuendelea kusukuma mbele uwajibikaji wa tabianchi. bit.ly/4oYvvtL

“Kwa wale wote walioandamana, kujadiliana, kushauri, kuripoti na kuhamasisha, msikate tamaa. Historia iko upande wenu, na #UN uko  nanyi.”

Baada ya #COP30 kumalizika #Brazil, <a href="/antonioguterres/">António Guterres</a> ameahidi kuendelea kusukuma mbele uwajibikaji wa tabianchi. bit.ly/4oYvvtL
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Afya ni haki ya kila mtu. Jumatatu Siku ya Watoto Pacha Walioungana Duniani, inahamasisha kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watoto wanaozaliwa wakiwa wameungana, ili kila mtu, popote alipo, apate huduma wanazohitaji. Zaidi: un.org/en/observances…

Afya ni haki ya kila mtu.

Jumatatu Siku ya Watoto Pacha Walioungana Duniani, inahamasisha kuimarisha ustawi na ujumuishwaji wa watoto wanaozaliwa wakiwa wameungana, ili kila mtu, popote alipo, apate huduma wanazohitaji.

Zaidi: un.org/en/observances…
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Mawaziri na viongozi kutoka nchi 44 maskini zaidi duniani wameaahidi kuharakisha ujenzi wa viwanda jumuishi na kuimarisha uthabiti mbele ya changamoto za kimataifa, katika mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa uliofanyika #Riyadh. UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳 news.un.org/sw/story/2025/…

Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

"Ninalaani vikali mashambulizi ya kikatili yaliyofanywa na kundi la ADF nchini DRC, ambayo yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 89." - António Guterres akisema UN inaendelea kujitolea kuunga mkono mamlaka ya nchi hiyo kupitia operesheni ya MONUSCO. news.un.org/sw/story/2025/…

"Ninalaani vikali mashambulizi ya kikatili yaliyofanywa na kundi la ADF nchini DRC, ambayo yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 89."

- <a href="/antonioguterres/">António Guterres</a> akisema UN inaendelea kujitolea kuunga mkono mamlaka ya nchi hiyo kupitia operesheni ya <a href="/MONUSCO/">MONUSCO</a>. news.un.org/sw/story/2025/…
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Ukatili wa kidijitali unaenea kwa kasi ya kutisha, na wanawake ndio wanaoathirika zaidi. Hata hivyo, karibu nusu ya wanawake na wasichana duniani bado hawana ulinzi wa kisheria dhidi ya unyanyasaji wa mtandaoni. Zaidi kutoka UN Women: unwomen.org/en/news-storie…

Ukatili wa kidijitali unaenea kwa kasi ya kutisha, na wanawake ndio wanaoathirika zaidi.

Hata hivyo, karibu nusu ya wanawake na wasichana duniani bado hawana ulinzi wa kisheria dhidi ya unyanyasaji wa mtandaoni.

Zaidi kutoka <a href="/UN_Women/">UN Women</a>: unwomen.org/en/news-storie…
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

“Lazima tuchague heshima ya binadamu na haki za binadamu.” - António Guterres kwa viongozi wa dunia hivi karibuni akisisitiza kwamba kulinda haki za binadamu ni muhimu ili watu waishi kwa amani na ustawi. “Haki za binadamu si mapambo ya amani, ni msingi wake wa kweli.

“Lazima tuchague heshima ya binadamu na haki za binadamu.”

- <a href="/antonioguterres/">António Guterres</a> kwa viongozi wa dunia hivi karibuni akisisitiza kwamba kulinda haki za binadamu ni muhimu ili watu waishi kwa amani na ustawi.

“Haki za binadamu si mapambo ya amani, ni msingi wake wa kweli.
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Nigeria: "Hakuna mzazi anayepaswa kuishi kwa hofu ya kumkosa mtoto wake. Utekaji huu wa mara kwa mara ni jeraha kwa familia na taifa na lazima ukome." - @VolkerTurk Takribani watu 402 wametekwa wiki iliyopita, wengi wao wakiwa ni wanafunzi wa shule. ohchr.org/en/press-brief…

Nigeria:  "Hakuna mzazi anayepaswa kuishi kwa hofu ya kumkosa mtoto wake. Utekaji huu wa mara kwa mara ni jeraha kwa familia na taifa na lazima ukome." 
 - @VolkerTurk 

Takribani watu 402 wametekwa wiki iliyopita, wengi wao wakiwa ni wanafunzi wa shule.

ohchr.org/en/press-brief…
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Katika dunia ambayo tayari takribani mwanamke mmoja kati ya watatu hupitia ukatili wa kimwili au kingono, kuenea kwa teknolojia za Akili Mnemba AI, kumeongeza kwa kiasi kikubwa wigo, kasi na ukali wa ukatili unaofanyika mtandaoni. news.un.org/sw/story/2025/…

Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Kuomba hifadhi ni haki ya msingi ya binadamu kwa watu wanaokimbia vurugu, mateso, vita au majanga. Kila mtu ana haki ya kutafuta hifadhi. UNHCR, the UN Refugee Agency inafanya kazi duniani kote kusaidia watu waliolazimika kukimbia makwao.

Kuomba hifadhi ni haki ya msingi ya binadamu kwa watu wanaokimbia vurugu, mateso, vita au majanga.

Kila mtu ana haki ya kutafuta hifadhi.

<a href="/Refugees/">UNHCR, the UN Refugee Agency</a> inafanya kazi duniani kote kusaidia watu waliolazimika kukimbia makwao.
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Zaidi ya maafisa 5,600 wa jeshi na polisi kutoka #Bangladesh wanatoa huduma kwa ajili ya amani katika misheni saba za UN Peacekeeping duniani, wakiwaacha familia zao ili kuwalinda walio hatarini zaidi. Tunawashukuru wanawake na wanaume hawa jasiri kwa huduma na kujitolea kwao.

Zaidi ya maafisa 5,600 wa jeshi na polisi kutoka #Bangladesh wanatoa huduma kwa ajili ya amani katika misheni saba za <a href="/UNPeacekeeping/">UN Peacekeeping</a> duniani, wakiwaacha familia zao ili kuwalinda walio hatarini zaidi.

Tunawashukuru wanawake na wanaume hawa jasiri kwa huduma na kujitolea kwao.
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Lugha ya haki za binadamu ni ya ulimwengu mzima. Haina mipaka. Haina vizuizi. Haijalishi unatoka wapi au wewe ni nani, katika kila kona ya dunia, haki hizi ni zako na haziwezi kujadiliwa wala kubadilishwa. #StandUp4HumanRights

Lugha ya haki za binadamu ni ya ulimwengu mzima.
Haina mipaka.
Haina vizuizi.

Haijalishi unatoka wapi au wewe ni nani, katika kila kona ya dunia, haki hizi ni zako na haziwezi kujadiliwa wala kubadilishwa.

#StandUp4HumanRights
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Vijana wafunguka kwenye mkutano wa UNIDO Riyadh wataka 📌Kupewa fursa zaidi kuonesha ubunifu wao 📌Kushirikishwa katika maamuzi 📌kukumbatia fursa na kujenga viwanda vya kesho 📌Kushikwa mkono katika mawazo na ubunifu wao 📌Selikali kuwekeza kwa vijana news.un.org/sw/story/2025/…

Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Ukatili una maumbile tofauti na yote yakiwa na madhara yenye kupindukia. Katika #16days, fahamu zaidi kutoka kwa UN Women jinsi ya kupaza sauti na dhidi ya ubakaji: bit.ly/2ORvWnJ

Ukatili una maumbile tofauti na yote yakiwa na madhara yenye kupindukia.

Katika #16days, fahamu zaidi kutoka kwa <a href="/UN_Women/">UN Women</a> jinsi ya kupaza sauti na dhidi ya ubakaji: bit.ly/2ORvWnJ
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Mchakato wa kumchagua Katibu Mkuu mpya wa #UmojawaMataifa umeanza rasmi. "Uteuzi huu utakuwa ujumbe wenye nguvu kuhusu sisi ni nani na kama kwa kweli tunawatumikia watu wote wa dunia, ambao nusu yao ni wanawake na wasichana." - Annalena Baerbock Fahamu zaidi: un.org/pga/80/2025/11…

Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

“Kwa wale wote walioandamana, kujadiliana, kushauri, kuripoti na kuhamasisha, msikate tamaa. Historia iko upande wenu, na #UmojaWaMataifa uko pamoja nanyi.” - António Guterres akiahidi kuendelea kusukuma mbele uwajibikaji wa hali ya hewa na mshikamano wa kimataifa.

“Kwa wale wote walioandamana, kujadiliana, kushauri, kuripoti na kuhamasisha, msikate tamaa. Historia iko upande wenu, na #UmojaWaMataifa uko pamoja nanyi.”

- <a href="/antonioguterres/">António Guterres</a> akiahidi  kuendelea kusukuma mbele uwajibikaji wa hali ya hewa na mshikamano wa kimataifa.
Umoja wa Mataifa (@umojawamataifa) 's Twitter Profile Photo

Uongo unaua. Ukweli unaokoa maisha. Tunahitaji ukweli kuliko wakati wowote ule. Tunahitaji uandishi wa habari huru kuliko wakati wowote ule. Onesha mshikamano wako na vyombo vya habari. #PressFreedom UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳

Uongo unaua. Ukweli unaokoa maisha. 

Tunahitaji ukweli kuliko wakati wowote ule. 

Tunahitaji uandishi wa habari huru kuliko wakati wowote ule.

Onesha mshikamano wako na vyombo vya habari. #PressFreedom 

<a href="/UNESCO/">UNESCO 🏛️ #Education #Sciences #Culture 🇺🇳</a>