WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile
WLAC

@wlactanzania

The Women's Legal Aid Centre stands in solidarity with Tanzanian women & children by providing legal aid services & a wide-ranging mix of public programming.

ID: 1688196685

linkhttp://www.wlac.or.tz/ calendar_today21-08-2013 12:15:31

383 Tweet

287 Followers

208 Following

WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

Sheria ya ardhi imebainisha haki sawa kwa mwanamke na mwanaume kumiliki ardhi. Changamoto inayozikabili jamii nyingi ni mfumo kandamizi unaowanyima fursa wanawake kumiliki na kunufaika na ardhi. Ardhi ni Mali kwa pamoja tujenge jamii inayolinda haki za umiliki wa ardhi.

Sheria ya ardhi imebainisha haki sawa kwa mwanamke na mwanaume kumiliki ardhi. Changamoto inayozikabili jamii nyingi ni mfumo kandamizi unaowanyima fursa wanawake kumiliki na kunufaika na ardhi.

Ardhi ni Mali kwa pamoja tujenge jamii inayolinda haki za umiliki wa ardhi.
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

Elimika kisheria kupitia machapisho. Fahamu masuala ya kisheria kupitia vitabu ambavyo vimeandikwa kwa lugha nyepesi na kuweza kuongeza uelewa wa masuala ya Kisheria.

Elimika kisheria kupitia machapisho. Fahamu masuala ya kisheria kupitia vitabu ambavyo vimeandikwa kwa lugha nyepesi na kuweza kuongeza uelewa wa masuala ya Kisheria.
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

Kuandika Wosia ni muhimu kwa sababu hupunguza migogoro miongoni mwa warithi na familia kwa ujumla. #zuiaukatilikwawajanenawatotowakike #tusiwadhulumuwajane

WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

WLAC imetoa elimu ya Haki ya Mwanamke kumili, kutumia na kunufaika na Ardhi katika kijiji cha KISHURO kata ya NGENGE-MULEBA Stand4herlandtz #lindaardhiyamwanamke #ardhinimali

WLAC imetoa elimu ya Haki ya Mwanamke kumili, kutumia na kunufaika na  Ardhi  katika  kijiji cha KISHURO kata ya NGENGE-MULEBA
<a href="/stand4herlandtz/">Stand4herlandtz</a>

#lindaardhiyamwanamke
#ardhinimali
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

WLAC participated on PSEA Network Meeting held on the 31st October 2023 with the Under Secretary-General Saunders. @unwomen @unfpatanzania @wildaftz @sematanzania

WLAC participated on PSEA Network Meeting held on the 31st October 2023 with the Under Secretary-General Saunders. @unwomen @unfpatanzania @wildaftz @sematanzania
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

WLAC imeshiriki katika mazungumzo na waandishi wa habari kupitia Mtandao wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (MKUKI) chini ya uratibu wa @wildaf na @maendeleoyajamiitz katika mazungumzo na waandishi wa habari kuhusu siku 16 za uanaharakati dhidi ya ukatili wa kijinsia.

WLAC imeshiriki katika mazungumzo na waandishi wa habari kupitia Mtandao wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (MKUKI) chini ya uratibu wa @wildaf na @maendeleoyajamiitz katika mazungumzo na waandishi wa habari kuhusu siku 16 za uanaharakati dhidi ya ukatili wa kijinsia.
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

WLAC imetoa mafunzo ya sheria ya ndoa na mirathi katika kongamano la wajane lililoandaliwa na kanisa la Elim New Covenant Church Tanzania. "Thamani ya Mwanamke mjane katika ngazi ya jamii na taifa"

WLAC imetoa mafunzo ya sheria ya ndoa na mirathi katika kongamano la wajane lililoandaliwa na kanisa la Elim New Covenant Church Tanzania. "Thamani ya Mwanamke mjane katika ngazi ya jamii na taifa"
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

Tumeshiriki Mkutano wa Kitaifa wa wadau utekelezaji wa uboreshaji wa Usalama wa Milki za Ardhi uliofanyika Dodoma. Kauli Mbiu: Usawa wa Kijinsia katika umiliki wa ardhi kwa ustawi wa Jamii. WIZARA YA ARDHI @ofisi_ya_rais_tamisemi

Tumeshiriki Mkutano wa Kitaifa wa wadau utekelezaji wa uboreshaji wa Usalama wa Milki za Ardhi uliofanyika Dodoma.
Kauli Mbiu: Usawa wa Kijinsia katika umiliki wa ardhi kwa ustawi wa Jamii.
<a href="/wizara_ya_ardhi/">WIZARA YA ARDHI</a> 
@ofisi_ya_rais_tamisemi
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

Tunashiriki wiki ya sheria wilayani Muleba, Mkoa wa Kagera. Mwanasheria Felicia Isimula akitoa msaada wa sheria # Msaada wa sheria ni Haki ya Binadamu # Wiki ya sheria 2024 Wizara ya Katiba na Sheria

Tunashiriki wiki ya sheria wilayani Muleba, Mkoa wa Kagera. Mwanasheria Felicia Isimula akitoa msaada wa sheria 
# Msaada wa sheria ni Haki ya Binadamu
# Wiki ya sheria 2024
<a href="/Sheria_Katiba/">Wizara ya Katiba na Sheria</a>
WLAC (@wlactanzania) 's Twitter Profile Photo

Tunampongeza Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Manyara, Mheshimiwa Queen Cuthbert Sendiga kwa kusimamia haki ya Mama aliyepokonywa vitu usiku kisa wizi wa mumewe na kuamuru arudishiwe vitu vyake. Haki za Wanawake ni Haki za Binadamu. Queen Sendiga