@yashdaddy__
Just like other men
ID: 1849823693720952834
calendar_today25-10-2024 14:42:03
82 Tweet
574 Followers
1,1K Following
5 hours ago
🔥The 9th Round of Easy Loan, Earn $40 Reward is in progress❗️ ⏰ Promotion Period: January 15th - Feburary 15th, 2025 👉 Register now and check more details at gate.io/campaigns/358
2 months ago
Deliveries countrywide 💪💪
18 days ago
Unakaa idle adi unadiem mtu ati "washa notifications", Kwani unapost news!!
17 days ago
Dem unaamua kutembelea boy wako kwao ushagoo bila kumwambia unapata kumbe anatembeanga na panga kwa kijiji😈
Your cousin is started vomiting and she said we should call you.
16 days ago
Re-union with my uncle in shagz was the highlight of holiday.
Mac Muga ni Kama ilikuwa true story,fate na destiny 😂
15 days ago
Skill no.11 Jiji kama ulikuja Jiji kazi fanya hiyo kazi mind your own business
14 days ago
Siezi hire gari ati naenda kwa akina girlfriend,heri niende na baiskeli yangu buana juu itanisave alot.
13 days ago
Dem anakuambia ati moyo wake hausukumi damu,unasukuma tu upendo wako. Na wewe unaamini😃
Sitawai 🙌24hrs kwa duvet ati ndio zishuke noo.
Ukipatikana ukiwa treesome na highschoolers unaukumiwa miaka ngapi nikae nikijua
10 days ago
Mazishi haswaa ya wanawake wakongwe huogopesha sana
7 days ago
Unashangaa mbona huwanga unamake weird decisions kumbe ni mapenzi ilikufanya mjinga
5 days ago
Hapa kwa wenyewe nimeomba ugali nimalizie mboga wakacheka.
4 days ago
Najua haiwahusu lakini jueni a woman in love is a woman in business.
So far hakuna mtu amepostiwa ama bado tuko Jana?😂
3 days ago
Leo ukizima tunauza Wig nishasema.
Unaambia mtu siri zako alafu akilewa anakuangalia anatingiza kichwa anacheka.