𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ (@_zack255) 's Twitter Profile
𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

@_zack255

Simba SC&Liverpool Fan | Mkulima | Alhamdulillah

ID: 1135266084100235265

calendar_today02-06-2019 19:25:01

195,195K Tweet

93,93K Followers

40,40K Following

MR BEN (@eric__bernard) 's Twitter Profile Photo

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema kuanzia Machi 2021 hadi Machi 2025, kiasi cha gesi asilia kilichozalishwa nchini kimefikia futi za ujazo bilioni 301.33, ambapo awali ilikuwa futi za ujazo bilioni 57.16 kwa mwaka. Kiasi hicho ni kutoka Kitalu cha Mnazi

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema kuanzia Machi 2021 hadi Machi 2025, kiasi cha gesi asilia kilichozalishwa nchini kimefikia futi za ujazo bilioni 301.33, ambapo awali ilikuwa futi za ujazo bilioni 57.16 kwa mwaka.

Kiasi hicho ni kutoka Kitalu cha Mnazi
𝐉𝐫 ο£Ώ (@imaajr_) 's Twitter Profile Photo

Tanzania ni ardhi ya amani, siyo uwanja wa vurugu chini ya uongozi thabiti wa Mama Samia, hatutatoa nafasi kwa wavurugaji. Amani yetu ni hazina, na tutailinda kwa nguvu zote.

The Manywele (@manywele_ze) 's Twitter Profile Photo

Watanzania tuzidi kusimama imara kuwapinga vibaraka wote na watovu wa nidhamu Rais Samia ni mtu imara na Tanzania sio ya kuchezea hata kidogo

cousin 420 (@420cousin) 's Twitter Profile Photo

Hayati Mzee Mwinyi aliwahi kusema yafuatayo: β€œTabia ya wakati ni kama ile ya bahari. Β Bahari inakupwa na kujaa mpaka ukingoni mwa maji. Β Baadae maji hukupwa polepole,mpaka kufika wakati ikawa maji yote yamekwishaondoka ufukweni. Β Samaki werevu huondoka nayo hayo maji, yaani

𝐃𝐫.π™πšπœπ€β„’πŸ‡ΉπŸ‡Ώ (@_zack255) 's Twitter Profile Photo

Samia The Game Changer UZINDUZI WA SERA YA MAMBO YA NJE YA MWAKA 2001 (TOLEO LA 2024) MGUU KWA MGUU 20 β˜… WA RAIS MHE. OK. SAMIA Tunaona mtiririko wa Wanaharakati kuja kuingilia mambo yetu, wameshavuruga nchini kwao nchi pekee ambayo haijavurugwa ni Tanzania niwaombe Vyombo

Samia The Game Changer

UZINDUZI WA SERA YA MAMBO YA NJE YA MWAKA 2001 (TOLEO LA 2024)

MGUU KWA MGUU 20

β˜…

WA RAIS MHE. OK. SAMIA

Tunaona mtiririko wa Wanaharakati kuja kuingilia mambo yetu, wameshavuruga nchini kwao nchi pekee ambayo haijavurugwa ni Tanzania niwaombe Vyombo
Anna Mwalongo (@annamwalong) 's Twitter Profile Photo

Nacheka sana na harakati za Maria za Simu na Makaratasi ya kuombea Fedha! Naona sasa hivi ni Wanaharakati wanapambania wanaharakati wenzao, Chadema imeshakufa sasa πŸ˜†. Nawaonea huruma wanachama wa Chadema wanapitia mateso hawa watu wameporwa chama Chao πŸ˜†