Silent Killer.. (@a_matimbwi) 's Twitter Profile
Silent Killer..

@a_matimbwi

Don't Overshare,PrivacY is PoWer..

ID: 1890614308863635456

calendar_today15-02-2025 04:09:54

8,8K Tweet

820 Followers

3,3K Following

Kibwana Shomari (@kibwanashomar15) 's Twitter Profile Photo

Ahsanteni sana Alliance Schools kwa Upendo wenu huu. Ahsanteni sana Wana Mwanza na Mikoa ya jirani kwa kuja Mpaka Wakati Mwingine. 🫡🤝 Nilikuwa Captain kwenye hii mechi na Tukashinda.. 😃🫡

Ahsanteni sana Alliance Schools kwa Upendo wenu huu. Ahsanteni sana Wana Mwanza na Mikoa ya jirani kwa kuja Mpaka Wakati Mwingine. 🫡🤝

Nilikuwa Captain kwenye hii mechi na Tukashinda.. 😃🫡
KAPETO🇹🇿 (@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

Watu wanaofuatiliwa sana kwa Sasa. 1. Adventure 2. Sativa 3. MalkiaNyuki 4. Kigogo2014 5. Lubasha 6. Neypaul Nani Hujamuona Kwenye List hapaaa...?

Çhøpër (@chopawang) 's Twitter Profile Photo

Bro kwa Bro: Wewe unatumia Mbinu Gani kutengeneza pesa? Comment yako inaweza kumsaidia bro mwingine kwenye comment section. Tupe mbinu zako, hata kama ni ndogo ila kila idea ni muhimu! 💪🏾

KAPETO🇹🇿 (@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

NUKUU YA FURAHIDAY Wewe ni Bora kuliko MAPITO yako ndio maaana MAPITO yanapita WEWE Unabaki. Hakuna Muda wa Kulaumu na Kujilaumu muda wote PAMBANA zaidi kwa ajili ya Kesho yako BORA. Good Morning 🙏🙏

Tell me her name 💫🤍 (@angelelsie8) 's Twitter Profile Photo

Penda kumshukuru Mungu hata kwa majaribu unayopitia kwa sababu kuna watu wanapitia makubwa kuliko yako. Kiwango chako cha kumshukuru Mungu kiwe kikubwa kuliko lawama..🙏

Big_Nicky✊️ (@big_nicky01) 's Twitter Profile Photo

Kama hampati ujauzito nendeni wote mkapimwe wenye shida sio wanawake tu unaweza ukawa mwanaume unapiga show vizuri lakini unamwaga upepo ....✍️

Dr. Mishy🇲🇫 (@sharonmontana20) 's Twitter Profile Photo

Kama umelelewa na mama na Baba yako na ulikua unaona Baba yako anatoka siku anarudi Hana kitu mama anamuelewa mnalalia uji na Amani ipo Tu, basi mwanaume wako hawezi kwambia Hana hela ukashindwa kumuelewa🫵ila kama umelelewa na mama Tu ah! Anyway

The champ👑 (@fintanjr_) 's Twitter Profile Photo

Ukiwa hapa ferry ndio utajua hela ndio furaha yenyewe, tofauti ni 300 tu kati ya Azam tax na Mv changanyikeni lakini azam kuna royal treatment😊