Abdul Nondo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@abdulnondo2) 's Twitter Profile
Abdul Nondo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@abdulnondo2

National Chairperson -ACT Wazalendo Youth League.

Am a Novus Homo.

ID: 908058232484233219

calendar_today13-09-2017 20:02:08

26,26K Tweet

125,125K Followers

2,2K Following

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa Katibu wa Idara ya Fedha ya ACTWazalendo, Ndugu Rachel Kimambo. Tunamtakia umri mrefu, afya njema na mafanikio katika shughuli zake za kila siku.๐Ÿ™๐Ÿฟ

Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa Katibu wa Idara ya Fedha ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/RachelKimambo/">Rachel Kimambo</a>. Tunamtakia umri mrefu, afya njema na mafanikio katika shughuli zake za kila siku.๐Ÿ™๐Ÿฟ
Abdul Nondo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ (@abdulnondo2) 's Twitter Profile Photo

Heri ya kuzaliwa Katibu wa Fedha wa chama chetu ACTWazalendo na Kijana mpambanaji (Hardworking),mwenye kadi namba moja ya Ngome ya Vijana,mchapakazi,muelevu ,mcheshi,mwenye upendo na nidhamu kwa kila mtu.Madam Rachel Kimambo.Mungu akupe afya njema na umri mrefu wenye mafanikio.

Heri ya kuzaliwa Katibu wa Fedha wa chama chetu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> na Kijana mpambanaji (Hardworking),mwenye  kadi namba moja ya Ngome ya Vijana,mchapakazi,muelevu ,mcheshi,mwenye upendo na nidhamu kwa kila mtu.Madam <a href="/RachelKimambo/">Rachel Kimambo</a>.Mungu akupe afya njema na umri mrefu wenye mafanikio.
Rahuuuum (@rahmamwita) 's Twitter Profile Photo

DJ Fetty amesoma Mass Comm kama Sheria inavyotaka na bado kafungiwa kufanyia kazi taaluma yake. Hiki kinachoendelea ni kikubwa sana zaidi hata ya kigezo cha elimu na waandishi mnaosupport hili kuhisi mko salama mnajidanganya sana.

DJ Fetty amesoma Mass Comm kama Sheria inavyotaka na bado kafungiwa kufanyia kazi taaluma yake. Hiki kinachoendelea ni kikubwa sana zaidi hata ya kigezo cha elimu na waandishi mnaosupport hili kuhisi mko salama mnajidanganya sana.
The Citizen Tanzania (@thecitizentz) 's Twitter Profile Photo

ACT-Wazalendo national chairperson, Mr Othman Masoud Othman, has declared 2025 a pivotal year for Zanzibarโ€™s political future, urging citizens to reject corrupt leadership and restore integrity to public office. thecitizen.co.tz/tanzania/zanziโ€ฆ

ACT-Wazalendo national chairperson, Mr Othman Masoud Othman, has declared 2025 a pivotal year for Zanzibarโ€™s political future, urging citizens to reject corrupt leadership and restore integrity to public office.

thecitizen.co.tz/tanzania/zanziโ€ฆ
Julius Joseph Massabo. (@juliusmassabo) 's Twitter Profile Photo

Jamaa kesho watakua Zoom sijui whatsaap call wakijadili Katiba ya chama chao mara zote Kiongozi anapimwa kwa namna anavyofanya maamuzi yake tuna kila sababu ya kuiondoa CCM kwenye Uongozi wa nchi yetu This people have failed us big time #OktobaLindaKura

Jamaa kesho watakua Zoom sijui whatsaap call wakijadili Katiba ya chama chao mara zote Kiongozi anapimwa kwa namna anavyofanya maamuzi yake tuna kila sababu ya kuiondoa CCM kwenye Uongozi wa nchi yetu This people have failed us big time #OktobaLindaKura
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Alliance for Change and Transparency (ACT) โ€“ Chama kinachoongoza harakati za upinzani nchini Tanzania kwa sasa. Karibu ujiunge nasi katika vuguvugu la mageuzi ya kweli na kuikomboa Tanzania kutoka kwa utawala dhalimu wa CCM. Wakati ni huu. #MuhuniHasusiwi #OktobaLindaKura

Alliance for Change and Transparency (ACT) โ€“ Chama kinachoongoza harakati za upinzani nchini Tanzania kwa sasa. Karibu ujiunge nasi katika vuguvugu la mageuzi ya kweli na kuikomboa Tanzania kutoka kwa utawala dhalimu wa CCM. Wakati ni huu. 

#MuhuniHasusiwi 
#OktobaLindaKura