assumpta massoi (@assumpta_massoi) 's Twitter Profile
assumpta massoi

@assumpta_massoi

A proud Tanzanian mother of two girls serving the community through @UN. #SDGKeeper #Hodophile .......Retweets not endorsements! 2K @unraf Alumni

ID: 165450827

linkhttp://news.un.org/sw calendar_today11-07-2010 16:17:25

6,6K Tweet

819 Followers

406 Following

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi, msemaji wa UNICEF James Elder amenukuu mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13 huko #DRC aliyebakwa na kupata ujauzito. news.un.org/sw/story/2025/โ€ฆ

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi, msemaji wa <a href="/UNICEF/">UNICEF</a> <a href="/1james_elder/">James Elder</a> amenukuu mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13 huko #DRC aliyebakwa na kupata ujauzito.

news.un.org/sw/story/2025/โ€ฆ
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

. United Nations yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€ Pope Leo XIV Katika ziara yake mwaka 2015 kwenye makao makuu ya UN๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ โ€œPapa Francis alielewa kuwa kulinda nyumba yetu ya pamoja (Dunia) ni jukumu la maadili ya kina na ni wajibu wa kila mtu.โ€Antรณnio Guterres Katibu Mkuu wa United Nations

. <a href="/UN/">United Nations</a> yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€ <a href="/Pontifex/">Pope Leo XIV</a>

Katika ziara yake mwaka 2015 kwenye makao makuu ya UN๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ โ€œPapa Francis alielewa kuwa kulinda nyumba yetu ya pamoja (Dunia) ni jukumu la maadili ya kina na ni wajibu wa kila mtu.โ€<a href="/antonioguterres/">Antรณnio Guterres</a> Katibu Mkuu wa <a href="/UN/">United Nations</a>
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

.United Nations yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€ Pope Leo XIV "Ni kiongozi aliyedhihirisha unyenyekevu, huruma na amani. Alitetea maskini, akakubali mazungumzo, na akatutaka tutunze nyumba yetu ya pamoja." Amina J Mohammed Naibu Katibu Mkuu United Nations

.<a href="/UN/">United Nations</a> yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€ <a href="/Pontifex/">Pope Leo XIV</a>

"Ni kiongozi aliyedhihirisha unyenyekevu, huruma na amani. Alitetea maskini, akakubali mazungumzo, na akatutaka tutunze nyumba yetu ya pamoja." <a href="/AminaJMohammed/">Amina J Mohammed</a> Naibu Katibu Mkuu <a href="/UN/">United Nations</a>
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

.United Nations yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€Pope Leo XIV โ€œNinatuma rambirambi zangu za dhati kwa familia na marafiki wa Papa, kwa nchi yake #Argentina, na kwa Wakatoliki pamoja na watu wengine duniani waliovutiwa na maisha yake ya sala na utumishi.โ€ Philemon Yang UN GA President

.<a href="/UN/">United Nations</a> yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€<a href="/Pontifex/">Pope Leo XIV</a>

โ€œNinatuma rambirambi zangu za dhati kwa familia na marafiki wa Papa, kwa nchi yake #Argentina, na kwa Wakatoliki pamoja na watu wengine duniani waliovutiwa na maisha yake ya sala na utumishi.โ€ Philemon Yang <a href="/UN_PGA/">UN GA President</a>
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

.United Nations yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€Pope Leo XIV "Nimesikitishwa sana na kifo cha Baba Mtakatifu Francis.Alikuwa sauti ya unyenyekevu lakini yenye nguvu ya hekima na ubinadamu.Ulimwengu wetu wenye matatizo unahitaji viongozi zaidi kama yeye"Tedros Adhanom Ghebreyesus Mkuu wa World Health Organization (WHO)

.<a href="/UN/">United Nations</a> yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€<a href="/Pontifex/">Pope Leo XIV</a>

"Nimesikitishwa sana na kifo cha Baba Mtakatifu Francis.Alikuwa sauti ya unyenyekevu lakini yenye nguvu ya hekima na ubinadamu.Ulimwengu wetu wenye matatizo unahitaji viongozi zaidi kama yeye"<a href="/DrTedros/">Tedros Adhanom Ghebreyesus</a> Mkuu wa <a href="/WHO/">World Health Organization (WHO)</a>
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

.United Nations yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€ Pope Leo XIV โ€œPapa Francis alikuwa mtetezi asiyechoka wa amani na mshirika wetu wa kudumu. Alitetea kwa moyo wote elimu na sayansi ili zichangie kuheshimu utu wa mwanadamu na kulinda mazingira.โ€Audrey Azoulay Mkuu wa UNESCO ๐Ÿ›๏ธ #Education #Sciences #Culture ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ณ

.<a href="/UN/">United Nations</a> yaomboleza ๐—ž๐—ถ๐—ณ๐—ผ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ฃ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€ <a href="/Pontifex/">Pope Leo XIV</a>

โ€œPapa Francis alikuwa mtetezi asiyechoka wa amani na mshirika wetu wa kudumu. Alitetea kwa moyo wote elimu na sayansi ili zichangie kuheshimu utu wa mwanadamu na kulinda mazingira.โ€<a href="/AAzoulay/">Audrey Azoulay</a> Mkuu wa <a href="/UNESCO/">UNESCO ๐Ÿ›๏ธ #Education #Sciences #Culture ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ณ</a>
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Bendera mpya ya #Syria yapandishwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa #NewYork ๐Ÿ“ŒTofauti ni idadi ya โญ ๐Ÿ“ŒBendera mpya ina nyota โญโญโญhuku ile ya zamani ilikuwa na nyota โญโญ

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Mazishi ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, #PopeFrancis Papa Francis yanafanyika leo Jumamosi asubuhi huko Vatican, jijini Roma nchini #Italy na tayari Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antรณnio Guterres tayari yuko mjini humo kuhudhuria tukio hilo.

Mazishi ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, #PopeFrancis  Papa Francis yanafanyika leo  Jumamosi asubuhi huko Vatican, jijini Roma nchini #Italy na tayari Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa <a href="/antonioguterres/">Antรณnio Guterres</a>  tayari yuko mjini humo kuhudhuria tukio hilo.
Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

๐Š๐ˆ๐Ž๐๐‰๐Ž ๐๐€ ๐Œ๐”๐‡๐“๐€๐’๐€๐‘๐ˆ ๐Ÿ“ŒKinengunengu au kilelezi FAO in Tanzania ๐Ÿ“ŒMkutano wa #peacekeeping #Berlin Antรณnio Guterres ๐Ÿ“ŒHuko #Gaza watoto wakumbwa na unyafuzi WHO in occupied Palestinian territory ๐Ÿ“Œ Ukata utokanao na kukatwa ufadhili watishia mustakabali wa wanawake na wasichana UN Women

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Uhamishaji wa idadi kubwa ya watu wasio raia wa #Marekani katika miezi ya hivi karibuni, hasa kwa kuwapeleka katika nchi ambazo si za asili yao, umeibua wasiwasi mkubwa kuhusu haki za binadamu,Volker Tรผrk. news.un.org/sw/story/2025/โ€ฆ

Habari za UN (@habarizaun) 's Twitter Profile Photo

Mustakabali wa ulinzi wa amani umepewa kipaumbele leo #Berlin Ujerumani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antรณnio Guterres alipotoa wito kwa nchi wanachama kufanya juhudi zaidi kuunga mkono walinda amani #BlueHelmets na kuzuia athari mbaya zaidi za ukata. news.un.org/sw/story/2025/โ€ฆ