shangwe Ayo (@ayo_shangwe) 's Twitter Profile
shangwe Ayo

@ayo_shangwe

Naibu Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma na Waziri Kivuli wa Utumishi wa Umma na Utawala Bora @ACTWazalendo

ID: 1579562120018120705

calendar_today10-10-2022 19:59:05

37,37K Tweet

2,2K Followers

270 Following

Isihaka Mchinjita (@mchinjitair) 's Twitter Profile Photo

Leo nimechukua uamuzi na kupiga hatua kubwa. Nimechukua fomu ya kugombea nafasi katika Bunge la Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania ili kuomba ridhaa ya chama changu ACT-Wazalendo (ACTWazalendo) kunipa nafasi ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Lindi Mjini katika uchaguzi mkuu ujao.

Leo nimechukua uamuzi na kupiga hatua kubwa. Nimechukua fomu ya kugombea nafasi katika Bunge la Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania ili kuomba ridhaa ya chama changu ACT-Wazalendo (<a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>) kunipa nafasi ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Lindi Mjini katika uchaguzi mkuu ujao.
KONCEPT TV (@koncept_tv) 's Twitter Profile Photo

ā€œACT Wazalendo kimepokea tariff kuwa Jeshi la Polisi kupitia makamanda wa Polisi (ODC’s) na maofisa wengine waandamizi wapolisi wameanza kufanya mawasiliano na viongozi wetu kuwataka kuwasilisha majina ya wagombea wa Ubunge na Udiwaniā€ Ado Shaibu, Katibu Mkuu wa ACTWazalendo

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

RUVUMA: Kiongozi Mstaafu wa #ACTWazalendo, #ZittoKabwe amesema Chama hicho hakitavumilia majaribio ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu 2025 kwa kuingiza Kura bandia, amesema hayo Julai 10, 2025, Tunduru Kaskazini katika mwendelezo wa Operesheni Majimaji ya Chama hicho, ambapo ametoa

Isihaka Mchinjita (@mchinjitair) 's Twitter Profile Photo

Aksante Mkinga. Operesheni Majimaji imetufikisha Mkoa wa Tanga. Mkoa wa Tanga unafaa kutumika kama ushahidi wa namna ⁦Chama Cha Mapinduzi⁩ ilivyohujumu maendeleo ya Nchi yetu. Huku unakutana na magofu ya viwanda vilivyokuwa hai wakati nchi inapata uhuru . Leo ni magofu

Aksante  Mkinga. Operesheni Majimaji imetufikisha Mkoa wa Tanga. Mkoa wa Tanga unafaa kutumika kama ushahidi  wa namna ⁦<a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a>⁩ ilivyohujumu maendeleo ya Nchi yetu. Huku unakutana na magofu ya viwanda vilivyokuwa hai wakati nchi inapata uhuru . Leo ni magofu
Isihaka Mchinjita (@mchinjitair) 's Twitter Profile Photo

Aksante Mkinga. Operesheni Majimaji imetufikisha Mkoa wa Tanga. Mkoa wa Tanga unafaa kutumika kama mfano wa namna Chama Cha Mapinduzi ilivyohujumu maendeleo ya Nchi yetu. Huku unakutana na magofu ya viwanda vilivyokuwa hai wakati nchi inapata uhuru . Leo ni magofu

Aksante  Mkinga. Operesheni Majimaji imetufikisha Mkoa wa Tanga. Mkoa wa Tanga unafaa kutumika kama mfano wa namna <a href="/ccm_tanzania/">Chama Cha Mapinduzi</a> ilivyohujumu maendeleo ya Nchi yetu. Huku unakutana na magofu ya viwanda vilivyokuwa hai wakati nchi inapata uhuru . Leo ni magofu
Idd Mkanza (@mkanzaidd) 's Twitter Profile Photo

Leo Julay/11/2025 nimepata fursa ya kuwahutubia wana MKINGA katika mkutano wa ndani wa Viongozi wa Jimbo,Watia nia, na Viongozi wa kata zote jimbo la Mkinga na kuwahamasisha kushiriki uchaguzi na kulinda kura October. #Oparation #Majimaji Yu Zhang #Linda

Leo Julay/11/2025 nimepata fursa ya kuwahutubia wana MKINGA katika mkutano wa ndani wa Viongozi wa Jimbo,Watia nia, na Viongozi wa kata zote jimbo la Mkinga na kuwahamasisha kushiriki uchaguzi na kulinda kura October. 

#Oparation #Majimaji
<a href="/October/">Yu Zhang</a> #Linda
Ismail Jussa (@ismailjussa) 's Twitter Profile Photo

#Zanzibar #Elections - A robust observation mission will enable future generations to look back on the 2025 election not as another chapter of frustration but instead as a turning point toward democratic commitment and enduring stability. Mail & Guardian mg.co.za/thought-leader…

Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

"Chama cha Mapinduzi. Hakitaki kusikia wala hakijafanya jitihada zozote kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na kuaminika. Sisi tunawaambia kuwa tumejipanga. Tunakwenda kwenye uchaguzi tukiwa na mikakati." Kiongozi wa ACTWazalendo Dorothy Semu Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

"Aksante Mkinga. Operesheni Majimaji imetufikisha Mkoa wa Tanga. Mkoa wa Tanga unafaa kutumika kama mfano wa namna CCM ilivyohujumu maendeleo ya Nchi yetu. Huku unakutana na magofu ya viwanda vilivyokuwa hai wakati nchi inapata uhuru. Leo ni magofu" Isihaka Mchinjita Mkinga, Tanga.

"Aksante  Mkinga. Operesheni Majimaji imetufikisha Mkoa wa Tanga. Mkoa wa Tanga unafaa kutumika kama mfano wa namna CCM ilivyohujumu maendeleo ya Nchi yetu. Huku unakutana na magofu ya viwanda vilivyokuwa hai wakati nchi inapata uhuru. Leo ni magofu" <a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a> 

Mkinga, Tanga.
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Chama chetu pendwa @ACTWazalendo kinazidi kupata nguvu mpya! Kupitia Operesheni Majimaji inayoendelea kwa kasi nchi nzima. Wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi mikutano ya ndani & hadhara kuunga mkono maono ya #MuhuniHasusiwi na #OktobaLindaKura mabadiliko yanakaribia!

Chama chetu pendwa @ACTWazalendo kinazidi kupata nguvu mpya! Kupitia Operesheni Majimaji inayoendelea kwa kasi nchi nzima.

Wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi mikutano ya ndani &amp; hadhara kuunga mkono maono ya #MuhuniHasusiwi na #OktobaLindaKura mabadiliko  yanakaribia!
Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

5/5 Nimemsikia nyumbu mmoja wa vijana wa kutanua vidoleāœŒļøakisema eti kijijini kwao hakuna mwanachama anayemjua wa ACTWazalendo! Hivi anaijua vizuri ACTWazalendo kweli yule? Anaijua vizuri ACTWazalendo? Chama hiki kiko kila mahali nchi hii, Bara na Zanzibar. OKTOBA #LindaKura

5/5

Nimemsikia nyumbu mmoja wa vijana wa kutanua vidoleāœŒļøakisema eti kijijini kwao hakuna mwanachama anayemjua wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>! Hivi anaijua vizuri <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> kweli yule? Anaijua vizuri <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>?
Chama hiki kiko kila mahali nchi hii, Bara na Zanzibar.
OKTOBA #LindaKura
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

DISPATCHES FROM MAJI MAJI TOUR - 10 Justice for Cashew Farmers: Ending Exploitation Tandahimba, Mtwara July 11, 2025 Today, I stand with you in Tandahimba, Mtwara Region, as we continue our 30-day Maji Maji Operation tour to awaken Tanzanians to the power of their votes. Here,

DISPATCHES FROM MAJI MAJI TOUR - 10
Justice for Cashew Farmers: Ending Exploitation

Tandahimba, Mtwara
July 11, 2025

Today, I stand with you in Tandahimba, Mtwara Region, as we continue our 30-day Maji Maji Operation tour to awaken Tanzanians to the power of their votes. Here,