Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile
Bongo FM

@bongotzfm

Dunia Mpya ๐ŸŒŽ

ID: 1748014508705288192

calendar_today18-01-2024 16:09:16

106 Tweet

354 Followers

2 Following

Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Kwahiyo wanaume mmekubalianaje kuhusu kumsomesha mpenzi ambae bado hamjaoana? Maoni yako yanasomwa ndani ya Flyover ya @Bongo_FMtz โœ๏ธ & ๐Ÿ“ธ Said Pichadunia

Kwahiyo wanaume mmekubalianaje kuhusu kumsomesha mpenzi ambae bado hamjaoana?

Maoni yako yanasomwa ndani ya Flyover ya @Bongo_FMtz

โœ๏ธ &amp; ๐Ÿ“ธ <a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Tuambie unaweza kumvulimia mpenzi anaekoroma wakati amelala? Maoni yako yanasomwa ndani ya Flyover ya @Bongo_FMtz โœ๏ธ & ๐Ÿ“ธ Said Pichadunia

Tuambie unaweza kumvulimia mpenzi anaekoroma wakati amelala?

Maoni yako yanasomwa ndani ya Flyover ya @Bongo_FMtz

โœ๏ธ &amp; ๐Ÿ“ธ <a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Richard Slayman (62) kutoka Marekani amefanikiwa kupata figo mpya kutoka kwa nguruwe ambayo ilibadilishwa vinasaba ili kupunguza hatari ya kiungo hicho kukataa kufanya kazi. Je kwa upande wako unaweza kukubali kupandikizwa figo ya nguruwe? โœ๏ธ & ๐Ÿ“ธ Said Pichadunia

Richard Slayman (62) kutoka Marekani  amefanikiwa kupata figo mpya kutoka kwa nguruwe ambayo ilibadilishwa vinasaba ili kupunguza hatari ya kiungo hicho kukataa kufanya kazi.

Je kwa upande wako unaweza kukubali kupandikizwa figo ya nguruwe?

โœ๏ธ &amp; ๐Ÿ“ธ <a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

"Kama wamewahi kupata matokeo na sisi kupata matokeo ugenini uwezekano ni mkubwa sana inawezekana kupata matokeo Egypt na kama wameweza kushinda kwenu na sisi tunaweza kushinda kwako" Juma Mgunda Kocha wa Simba Queens akizungumzia matokeo ya Simba dhidi ya Ahly #BongoFM

Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

"Tulijua itakuwa Mechi ngumu Simba imetengeneza nafasi nyingi kuliko sisi" Sabry Magdy Sabry Balozi wa Misri nchini Tanzania ๐ŸŽค @irene_kilango09 ๐Ÿ“ท @joh_creator97 Oscar Nickson Nkembo #BongoFM #duniampya #hatuachikitu #pikakijanja #hatuazabimkubwa

Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

"Tumepoteza mchezo Simba SC tukiwa bora kweli kweli" ahmed ali Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC ๐ŸŽค @irene_kilango09 ๐Ÿ“ท @joh_creator97 @oscarnickson #BongoFM #duniampya #hatuachikitu #pikakijanja #hatuazabimkubwa

Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

"Sisi kwenye michuano ya kimataifa tunafanya vizuri away kuliko nyumbani tutakwenda kukutana kwao, kule wataenda kutujua" Ali Kamwe ๐ŸŽค @irene_kilango09 ๐Ÿ“ท @joh_creator97 Oscar Nickson Nkembo #BongoFM #duniampya #hatuachikitu #pikakijanja #hatuazabimkubwa

Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Tuambie unaona ni sawa mwanaume kulelewa na mwanamke? Maoni yako yanasomwa live ndani ya Kijora cha @Bongo_FMtz ๐Ÿ“ธ & โœ๏ธSaid Pichadunia

Tuambie unaona ni sawa mwanaume kulelewa na mwanamke?

Maoni yako yanasomwa live ndani ya Kijora cha @Bongo_FMtz

๐Ÿ“ธ &amp; โœ๏ธ<a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Unadhani ni nini sababu ya kuonekana kuongezeka kwa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume? Maoni yako yanasomwa live ndani ya Kijora cha @Bongo_FMtz ๐Ÿ“ธ & โœ๏ธSaid Pichadunia

Unadhani ni nini sababu ya kuonekana kuongezeka kwa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume?

Maoni yako yanasomwa live ndani ya Kijora cha @Bongo_FMtz 

๐Ÿ“ธ &amp; โœ๏ธ<a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Unadhani viongozi wanazaliwa na kipaji cha uongozi au wanatengenezewa? #POWERBANK @iam_braine Mc_Kisoli @djkiss_star @fredricknwaka @bru_nide โœ๏ธ & ๐Ÿ“ธ Said Pichadunia #Bongofm #bongofmdigital #DuniaMpya #hatuazabimkubwa

Unadhani viongozi wanazaliwa na kipaji cha uongozi au wanatengenezewa?

#POWERBANK @iam_braine <a href="/mckisoli/">Mc_Kisoli</a> @djkiss_star @fredricknwaka @bru_nide

โœ๏ธ &amp; ๐Ÿ“ธ <a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
#Bongofm #bongofmdigital #DuniaMpya #hatuazabimkubwa
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Eti, kwanini bado una namba ya Ex wako? Sikiliza Kipindi cha #KIJORA kila siku Jumatatu-Ijumaa Kuanzia saa 5:00-8:00 mchana hapa Bongo fm. Pia tufuatilie Kupitia mtandao wetu wa YOUTUBE ya Bongo FM kwa vipindi mbalimbali. ๐Ÿ“ธ Said Pichadunia

Eti, kwanini bado una namba ya Ex wako?

Sikiliza Kipindi cha #KIJORA kila siku Jumatatu-Ijumaa Kuanzia saa 5:00-8:00 mchana hapa Bongo fm.

Pia tufuatilie Kupitia mtandao wetu wa YOUTUBE ya Bongo FM kwa vipindi mbalimbali.
๐Ÿ“ธ <a href="/said_pichadunia/">Said Pichadunia</a>
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amewaambia wakazi wa Ngorongoro mkoani Arusha kuwa redio ya Bongo FM ipo kwa ajili ya vijana na mahitaji yao. "Tunazindua kituo kwa ajili ya Bongo FM, tumewalenga vijana. Kule ukienda ni mambo ya vijana masaa 24"

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amewaambia wakazi wa Ngorongoro mkoani Arusha  kuwa redio ya Bongo FM ipo kwa ajili ya vijana na mahitaji yao.

"Tunazindua kituo kwa ajili ya Bongo FM, tumewalenga vijana. Kule ukienda ni mambo ya vijana masaa 24"
Oscar Nickson Nkembo (@oscarnickson20) 's Twitter Profile Photo

Mipango na Mikakati yote ya Wazee wa Yanga SC itaanikwa kesho na Ali Kamwe Meneja Habari na mawasiliano wa Yanga Kuelekea mchezo wa watani wa Jadi baina ya Yanga SC dhidi ya Simba utakaopigwa Jumamosi hii Kiu ya maswali yote unaojiuliza itakatwa , una swali lolote shusha hapa

Mipango na Mikakati yote ya Wazee wa Yanga SC itaanikwa kesho na <a href="/AliKamwe/">Ali Kamwe</a> Meneja Habari na mawasiliano wa Yanga  Kuelekea mchezo wa watani wa Jadi baina ya Yanga SC dhidi ya Simba utakaopigwa Jumamosi hii 

Kiu ya maswali yote unaojiuliza itakatwa , una swali lolote shusha hapa
Oscar Nickson Nkembo (@oscarnickson20) 's Twitter Profile Photo

litajibiwa Don't Miss @baolaasubuhi hapa @bongo_fmtz kuanzia saa 12:00 asubuhi - 03:00 asubuhi, tutakuwa live kwenye YouTube yetu Bongo FM na tusikilize kupitia Radio Box na Radio Garden tafuta Bongo FM @dunia_mpya

Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe amesema amekoshwa na maandalizi ya miundombinu ya viwanja ikiwemo Benjamin Mkapa kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). #bongofm #bongofmupdates

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe amesema amekoshwa na maandalizi ya miundombinu ya viwanja ikiwemo Benjamin Mkapa kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN).

#bongofm #bongofmupdates
Bongo FM (@bongotzfm) 's Twitter Profile Photo

Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amesema hata wakitaka michuano ya CHAN ianze leo uwanja wa mkapa upo tayali kwa matumizi umefikia asilimia 70% na asilimia 30% zilizobaki ni marekebisho madogo madogo ambayo kabla ya siku 21 marekebisho yatakuwa yamekamilika