Mimi naamini Mungu ni mmoja tu, ila kuna;
-Ukristo
-Uislam
-Uyahudi
-Bahai
-Dini ya Kiasili ya Kichina
-Ubuddha
-Uhindu
-Ushinto
-Dini za kiasili za Kiafrika
-Urastafari
-Na kadhalika
Wewe unahisi dini gani ina Mungu wa kweli?
Ila madem sijui wana shida gani muda mwingine
Nimekuja restaurant hapa kupata breakfast
Kuna muhudumu nimeona ana🤰 Nikamwambia hongera sana, Mungu akujalie ujifungue salama
Kanijibu—natamani hata hii mimba ingekuwa yako💀🤡
Kauli imenikata sana, hata supu yenyewe nimeacha
CAF Na Wizara Ya Michezo Nadhani Wameona Jinsi Viti Vilivyon'golewa Na Waarabu Wakishirikiana Na Mashabiki Wa Yanga Sisi Tumewaachia Wenye Dhamana Na Mamlaka Wachukue Hatua Kali Dhidi Ya Wahuni Kwa Kuharibu Miondombinu Halafu Nilitaka Kusahau Wamechangia Kumpiga Refa Pia.😎
HAYA HUTAFUNDISHWA DARASANI
1.Rafiki yako unayeheshimiana naye, usiwe na namba ya simu ya mkewe ili kuepuka kutembea naye.
2.Mtu akikusaidia mara moja, usimgeuze kitega uchumi cha kumuomba mara kwa mara. Kumbuka yeye pia ana majukumu yake binafsi.
Kuna demu aliwahi kuninyima nikiwa uchi, moja ya siku ambazo nikikumbuka nahuzunika sana, ile siku nlivaa nguo nikiwa mnyonge sana. 😂
Wanawake wana roho mbaya sana wakiamua🚮
Tomeza njaa mashuleni, Wagonjwa wawe na uhakika wa kula, Wananchi tusahau njaa…
Mchague Hashim Rungwe kuwa Rais wa Tanzania.
#CHAUMMA Chama cha Ukombozi wa Umma
Watu wanalipwa kuongelea na kusifia wanasiasa, wewe upo upo tu kama mwehu unajifanya mzalendo kunufaisha matumbo ya watu…
Bora muamini kwenye chama kitakachokutoa kwenye njaa #CHAUMMA2025 ✅