SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile
SANUKAnaCHAPO

@chapo255

| Father and Husband| THE WALKING MEDIA🎶| Ndugu wa BARAKA MAVIATU | STORYTELLER | DM for paid promotions only | Sapiosexual |

ID: 4748156458

linkhttps://www.clubhouse.com/@chapo255 calendar_today08-01-2016 21:26:27

150,150K Tweet

439,439K Followers

2,2K Following

Sean 🎖️ (@iboysean) 's Twitter Profile Photo

Join KodeUni as a Coding Instructor in Dodoma (2) or Arusha (2)! Teach kids 5-18 Blockly & Python. No teaching exp needed! Email [email protected] or WhatsApp 0745000555. #KodeUniJobs #KodeUni

Join KodeUni as a Coding Instructor in Dodoma (2) or Arusha (2)! Teach kids 5-18 Blockly & Python. No teaching exp needed! Email jobs@kodeuni.com or WhatsApp 0745000555. #KodeUniJobs #KodeUni
SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

WALEVI WA ILE BAR wamenipigia simu usiku usiku kuwa Tembo🐘🎶🌍 anakaribia kutoa album yake inayoenda kwajina la ‘World Cup’. Inadaiwa wimbo wa kawaida kabisa humo ndani ni aliofanya na P-Square kifupi ni miwa juu ya miwa. Alitaka kuachia Juni hii ila NRNE ikakwamisha mchongo.

WALEVI WA ILE BAR wamenipigia simu usiku usiku kuwa Tembo🐘🎶🌍 anakaribia kutoa album yake inayoenda kwajina la ‘World Cup’.

Inadaiwa wimbo wa kawaida kabisa humo ndani ni aliofanya na P-Square kifupi ni miwa juu ya miwa.

Alitaka kuachia Juni hii ila NRNE ikakwamisha mchongo.
KodeUni (@kodeunikids) 's Twitter Profile Photo

Jonathan (15) presenting an AI project they did in Python. Your child can create too in our next bootcamp, July 07-July 18, ages 5-18. Coding classes gives kids a new way of thinking! 200K TZS. WhatsApp 0745000555. #SummerCodeSurge #KodeUni #CSForAll

Johnbest Mwahaja (@johniezebest) 's Twitter Profile Photo

🌾 Jiunge na MazaoHub Jumamosi hii kwenye X Space. Pata majibu ya papo kwa papo kutoka kwa wataalamu wa MazaoHub BURE kabisa. 🗓 Tarehe: 28/06/2025 🕓 Muda: Saa 4 - Saa 5 asubuhi 📲 Bonyeza hapa kushiriki: x.com/i/spaces/1PlKQ… #MazaoHub #TechAndTouch #UganiBilaMipaka

SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

🌾 Jiunge na MazaoHub Jumamosi hii kwenye X Space. Pata majibu ya papo kwa papo kutoka kwa wataalamu wa MazaoHub BURE kabisa. 🗓 Tarehe: 28/06/2025 🕓 Muda: Saa 4 - Saa 5 asubuhi 📲 Bonyeza hapa kushiriki: x.com/i/spaces/1PlKQ… #MazaoHub #TechAndTouch #UganiBilaMipaka

SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

Kuna ugonjwa hatari wa Fungashada migomba (BBTD) unashambulia migomba hauna tiba wala chanjo ubaya migomba haikuwi wala kufa. Kilio kikubwa sana kwa wakulima, zaidi ya mikoa 11 nchini imeathirika na ulinzia Kigoma kwa Tanzania.

Used Point (@usedpointtz) 's Twitter Profile Photo

Dell latitude 5400🔥 Corei5 Ram 8GB SSD 256GB Base 1.8GHz, Turbo speed 3.0GHz📈 Generation 8✅ Kioo HD inch 14 Battery 3-4 Hrs🪫 650,000/= ☎️0788106694

Dell latitude 5400🔥
Corei5
Ram 8GB
SSD 256GB

Base 1.8GHz, Turbo speed 3.0GHz📈

Generation 8✅

Kioo HD inch 14
Battery 3-4 Hrs🪫

650,000/=
☎️0788106694
𝗣 𝗔 𝗕 𝗟 𝗢 🦁 (@kingpablotz) 's Twitter Profile Photo

Juzi nilipokea Simu... Mzazi mmoja kaniuliza: "Vipi kuhusu vijana wetu wa Cambridge na IB? Wao bado wapo likizo hadi mwezi ujao, kuna kitu chochote kinaendelea kwa ajili yao?" Jibu langu lilikuwa moja tu: "Ndiyo. Tarehe 7 hadi 18 Julai tunaingia awamu mpya ya Bootcamp

Juzi nilipokea Simu...

Mzazi mmoja kaniuliza:

"Vipi kuhusu vijana wetu wa Cambridge na IB? Wao bado wapo likizo hadi mwezi ujao, kuna kitu chochote kinaendelea kwa ajili yao?"

Jibu langu lilikuwa moja tu:

"Ndiyo. Tarehe 7 hadi 18 Julai tunaingia awamu mpya ya Bootcamp
Dullah_theKing🎧 (@dullahtheking2) 's Twitter Profile Photo

Naambiwa watoto wa "Cambridge na IB" likizo yao inamalizika Mwezi wa 8, Bado wana Muda wa kuongeza Ujuzi wa Kompyuta chini ya Wanetu wa KodeUni Fursa kama hizi hazijagi Mara mbili na usijiulize Mara mbili ukiwa kama Mzazi/Mlezi, Piga 0745000555 #SummerCodeSurge #KodeUni

Naambiwa watoto wa "Cambridge na IB" likizo yao inamalizika Mwezi wa 8, Bado wana Muda wa kuongeza Ujuzi wa Kompyuta chini ya Wanetu wa <a href="/KodeUniKids/">KodeUni</a> 

Fursa kama hizi hazijagi Mara mbili na usijiulize Mara mbili ukiwa kama Mzazi/Mlezi, Piga 0745000555

#SummerCodeSurge #KodeUni
SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

We’re hiring! KodeUni is looking for Coding Instructors in Dodoma (2) and Arusha (2). 📍 Teach kids (ages 5–18) Blockly & Python ✅ No teaching exp needed 📧 [email protected] 📱 WhatsApp: 0745 000 555 #KodeUni #KodeUniJobs #CodingForKids

We’re hiring!

<a href="/KodeUniKids/">KodeUni</a> is looking for Coding Instructors in Dodoma (2) and Arusha (2).

📍 Teach kids (ages 5–18) Blockly &amp; Python
✅ No teaching exp needed

📧 jobs@kodeuni.com
📱 WhatsApp: 0745 000 555

#KodeUni #KodeUniJobs #CodingForKids
Used Point (@usedpointtz) 's Twitter Profile Photo

Lenovo ThinkPad T15 Gen 2i with 11th Generation… Lenovo ThinkPad T15 Gen 2i✅ Corei7✅ Ram DDR4 32GB✅ SSD NVEM 512GB✅ 2.8GHz ~ 4.0GHz✅ GPU( Iris(R) Xe Graphics ) with 16GB✅ TouchScreen 11th generation✅ inch 15✅ Fingerprint✅ Face ID✅ PRICE: 1,250,000/= FRE DELIVERY

Lenovo ThinkPad T15 Gen 2i with 11th Generation…

Lenovo ThinkPad T15 Gen 2i✅

Corei7✅
Ram DDR4 32GB✅
SSD NVEM 512GB✅
2.8GHz ~ 4.0GHz✅ 
GPU( Iris(R) Xe Graphics ) with 16GB✅
TouchScreen
11th generation✅
 inch 15✅
Fingerprint✅
Face ID✅

PRICE: 1,250,000/=
FRE DELIVERY
MARLEY (@funjojr) 's Twitter Profile Photo

Kwa watoto wa Cambridge na IB KodeUni inaendelea na madarasa, muandikishe mwanao leo. Tarehe: Juni 23 - Julai 04 Umri: Miaka 5 – 18 Gharama: TZS 200,000 tu 🦁0745 000 555 #SummerCodeSurge #KodeUni #CSForAll

Kwa watoto wa Cambridge na IB

<a href="/KodeUniKids/">KodeUni</a> inaendelea na madarasa, muandikishe mwanao leo.

Tarehe: Juni 23 - Julai 04
Umri: Miaka 5 – 18
Gharama: TZS 200,000 tu
🦁0745 000 555

#SummerCodeSurge #KodeUni #CSForAll
SANUKAnaCHAPO (@chapo255) 's Twitter Profile Photo

WALEVI WA ILE BAR wanadai kuwa ALIKIBA ilibidi atoe ngoma wiki hii ila Ameghairisha badala yake atatoa ngoma wiki ijayo na Mbosso au msanii kutoka Ghana au Nigeria. Walevi waongo waongo sana!

WALEVI WA ILE BAR wanadai kuwa ALIKIBA ilibidi atoe ngoma wiki hii ila
Ameghairisha badala yake atatoa ngoma wiki ijayo na Mbosso au msanii kutoka Ghana au Nigeria.

Walevi waongo waongo sana!