COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile
COSTECH

@costechtanzania

| Official Account of Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) | Get update of what’s Happening in Tanzania in Research,Technology & Innovation|

ID: 557923161

linkhttp://www.costech.or.tz calendar_today19-04-2012 16:17:47

3,3K Tweet

12,12K Followers

144 Following

COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

Huu ndio mwonekano wa litakalokuwa jengo jipya la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ‘STI Complex’ jijini Dodoma. Ujenzi huu ni sehemu ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), unaofadhiliwa na Benki ya Dunia (World Bank Tanzania ).

COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

Katika kikao cha 13 cha mwaka Global Research Council (GRC) kinachofanyika Riyadh, Saudi Arabia, Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH Dkt. Amos Nungu [Nungu, A.] amechaguliwa kuwa mjumbe wa Governing Board ya GRC.

Katika kikao cha 13 cha mwaka Global Research Council (GRC) kinachofanyika Riyadh, Saudi Arabia, Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH Dkt. Amos Nungu [<a href="/nungujr/">Nungu, A.</a>] amechaguliwa kuwa mjumbe wa Governing Board ya GRC.
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

SA, Tanzania research funders sign landmark MoU to deepen bilateral scientific cooperation The National Research Foundation (NRF) and the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) have signed a memorandum of understanding (MoU) aimed at strengthening and expanding

SA, Tanzania research funders sign landmark MoU to deepen bilateral scientific cooperation

The National Research Foundation (NRF) and the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) have signed a memorandum of understanding (MoU) aimed at strengthening and expanding
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

Samia Fund Info session: Turning Innovation into Market Opportunities through Samia Commercialisation Fund. 🗓️Wednesday, 4 June. ⏰15:00–16:00 Google Meet joining info Video call link: meet.google.com/umi-tvxg-xwh

Samia Fund Info session: Turning Innovation into Market Opportunities through Samia Commercialisation Fund.

🗓️Wednesday, 4 June.
⏰15:00–16:00
Google Meet joining info
Video call link: meet.google.com/umi-tvxg-xwh
Sahara Sparks (@sparksahara) 's Twitter Profile Photo

For 10 years, COSTECH has been vital to Sahara Sparks' journey—bridging innovators, policymakers & ecosystem players. As we celebrate a decade of impact, we thank COSTECH for shaping Tanzania’s innovation landscape with us. #SaharaSparks10 #ImpactRevisited

COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

COSTECH JOINS ICPERMED AS FIRST MEMBER FROM TANZANIA 28 May 2025 – ICPerMed warmly welcomes the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) as its newest member. COSTECH’s decision to join ICPerMed reflects a strong commitment to advancing science-driven,

COSTECH JOINS ICPERMED AS FIRST MEMBER FROM TANZANIA 

28 May 2025 – <a href="/ICPerMed/">ICPerMed</a> warmly welcomes the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) as its newest member.

COSTECH’s decision to join ICPerMed reflects a strong commitment to advancing science-driven,
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

MHE. SIMBACHAWENE AFUNGUA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amezitaka taasisi zote kutumia mifumo ya TEHAMA na kufungamanishwa na mifumo ya Serikali ili kuwawezesha

MHE. SIMBACHAWENE AFUNGUA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Waziri  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amezitaka taasisi zote kutumia mifumo ya TEHAMA  na kufungamanishwa na mifumo ya Serikali  ili kuwawezesha
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025 YAKIENDELEA JIJINI DODOMA! Zoezi hili linafanyika katika viwanja vya Chinangali Park kuanzia Juni 16 hadi Juni 23, 2025, likiwashirikisha washiriki kutoka wizara, idara, wakala na taasisi mbalimbali za Serikali. Kauli mbiu ya mwaka

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025 YAKIENDELEA JIJINI DODOMA!

Zoezi hili linafanyika katika viwanja vya Chinangali Park kuanzia Juni 16 hadi Juni 23, 2025, likiwashirikisha washiriki kutoka wizara, idara, wakala na taasisi mbalimbali za Serikali.

Kauli mbiu ya mwaka
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

#TANZIA🕯️ Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), anasikitika kutangaza kifo cha Dkt. Joseph William Maziku aliyekuwa Afisa Uratibu Utafiti Mkuu, kilichotokea tarehe 19-06-2025 katika hospitali ya Mloganzila. COSTECH inatoa pole kwa ndugu jamaa na

#TANZIA🕯️

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), anasikitika kutangaza kifo cha Dkt. Joseph William Maziku aliyekuwa Afisa Uratibu Utafiti Mkuu, kilichotokea tarehe 19-06-2025 katika hospitali ya Mloganzila.

COSTECH inatoa pole kwa ndugu jamaa na
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

COSTECH YAANDAA WARSHA YA KITAIFA KUHUSU UGONJWA WA FUNGASHADA WA MIGOMBA (BBTD) Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) iliandaa warsha ya siku moja ya mashauriano na wadau mbalimbali kujadili kwa kina tishio la ugonjwa wa Fungashada wa migomba (BBTD). Warsha hii

COSTECH YAANDAA WARSHA YA KITAIFA KUHUSU UGONJWA WA FUNGASHADA WA MIGOMBA (BBTD)

Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) iliandaa warsha ya siku moja ya mashauriano na wadau mbalimbali kujadili kwa kina tishio la ugonjwa wa Fungashada wa migomba (BBTD).

Warsha hii
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

“Ugonjwa wa Fungashada wa Migomba (BBTD) umeenea mikoa 11 Tanzania, Bila hatua za haraka, ndizi aina ya Mshale na Bukoba zinaweza kutoweka.” — Hamad Lyimo, Afisa Kilimo Mkuu, Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA). Wito umetolewa kutangaza Fungashada kuwa

“Ugonjwa wa Fungashada wa Migomba (BBTD) umeenea mikoa 11 Tanzania, Bila hatua za haraka, ndizi aina ya Mshale na Bukoba zinaweza kutoweka.” 

— Hamad Lyimo, Afisa Kilimo Mkuu, Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA).

Wito umetolewa kutangaza Fungashada kuwa
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

Dkt. Mpoki Shimwela kutoka Taasisi ya utafiti wa Kilimo (TARI) akieleza jinsi virusi vya BBTV vinavyoenezwa na binadamu kupitia miche isiyothibitishwa na njia nyingine ni mdudu aina ya Aphid, mdudu huyu hunyonya utomvu kutoka kwa mmea wa ndizi ulioathirika na virusi vya BBTD na

Dkt. Mpoki Shimwela kutoka Taasisi ya utafiti wa Kilimo (TARI) akieleza jinsi virusi vya BBTV vinavyoenezwa na binadamu kupitia miche isiyothibitishwa na njia nyingine ni mdudu aina ya Aphid, mdudu huyu hunyonya utomvu kutoka kwa mmea wa ndizi ulioathirika na virusi vya BBTD na
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

Washiriki wa warsha ya kitaifa kuhusu ugonjwa wa Fungashada unaoathiri migomba walipata fursa ya kutembelea baadhi ya mashamba yaliyoathirika na ugonjwa huo (BBTD), yaliyoko katika eneo la Kauzeni, mkoani Morogoro. Katika ziara hiyo ya tarehe 27/06/2025 washiriki walijionea

Washiriki wa warsha ya kitaifa kuhusu ugonjwa wa Fungashada unaoathiri migomba walipata fursa ya kutembelea baadhi ya mashamba yaliyoathirika na ugonjwa huo (BBTD), yaliyoko katika eneo la Kauzeni, mkoani Morogoro.

Katika ziara hiyo ya tarehe 27/06/2025 washiriki walijionea
Training Centre in Communication (TCC Africa) (@tccafrica) 's Twitter Profile Photo

#Ongoing this week. #ResearchCapacity ✅ Day 1 of our Knowledge Synthesis & #ScienceCommunication training has just wrapped up! Today’s session, facilitated by TCC Africa Trainer The Outa , focused on developing strong research proposals, improving scientific writing and

#Ongoing this week.
#ResearchCapacity

✅ Day 1 of our Knowledge Synthesis &amp; #ScienceCommunication training has just wrapped up!
Today’s session, facilitated by TCC Africa Trainer <a href="/nichouta/">The Outa</a> , focused on developing strong research proposals, improving scientific writing and
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

PROGRAMU YA SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP KUTEKELEZWA KWA AWAMU TATU, DKT. NUNGU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt. Amos Nungu ( Nungu, A. ), amesema Programu ya Samia Extended Scholarship (DS/AI+) inatekelezwa kwa hatua tatu, ambapo ya kwanza

PROGRAMU YA SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP KUTEKELEZWA KWA AWAMU TATU, DKT. NUNGU

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt. Amos Nungu ( <a href="/nungujr/">Nungu, A.</a> ), amesema Programu ya Samia Extended Scholarship (DS/AI+) inatekelezwa kwa hatua tatu, ambapo ya kwanza
COSTECH (@costechtanzania) 's Twitter Profile Photo

COSTECH SEHEMU YA SAFARI YA MAFANIKIO YA SAHARA SPARKS - DKT. NUNGU Dar es Salaam, Jumatano, Julai 16, 2025. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH), Dkt. Amos Nungu amesema COSTECH wamekuwa sehemu ya safari ya Sahara Sparks tangu mwanzo

COSTECH SEHEMU YA SAFARI YA MAFANIKIO YA SAHARA SPARKS - DKT. NUNGU

Dar es Salaam, Jumatano, Julai 16, 2025.

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH), Dkt. Amos Nungu amesema COSTECH wamekuwa sehemu ya safari ya <a href="/SparkSahara/">Sahara Sparks</a> tangu mwanzo