Crown FM (@crownfmtz) 's Twitter Profile
Crown FM

@crownfmtz

ID: 1542778512259555328

calendar_today01-07-2022 07:54:34

27 Tweet

696 Followers

32 Following

Salim Kikeke (@salym) 's Twitter Profile Photo

#TBT ya NGUVU! Kutoka kushoto: Hayati Hafsa Mossi- Mtangazaji wa BBC,MB-AM 🇧🇮kabla ya kuuawa 2016. Anayefuata ni JOJ 🇹🇿- Mtangazaji wa BBC na baadaye Msemaji IOC- hapo Kati ni DMD Crown FM na @crowntvtz na Mtangaza nia ya Ubunge (Jimbo La MV) na mwisho kabisa ni Tido Mhando

#TBT ya NGUVU!
Kutoka kushoto: Hayati Hafsa Mossi- Mtangazaji wa BBC,MB-AM 🇧🇮kabla ya kuuawa 2016. Anayefuata ni JOJ 🇹🇿- Mtangazaji wa BBC na baadaye  Msemaji IOC- hapo Kati ni DMD  <a href="/crownfmtz/">Crown FM</a> na @crowntvtz  na Mtangaza nia ya Ubunge (Jimbo La MV)  na mwisho kabisa ni Tido Mhando
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo ACTWazalendo Ndugu Dorothy Semu amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo leo tarehe 22 Aprili 2025. Ndugu Dorothy amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Ndugu Dorothy Semu amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo leo tarehe 22 Aprili 2025.

Ndugu Dorothy amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

HUJAMBO? Malkia Imani Henrick Luvanga anakupitisha katika machache kati ya yale mengi yatakayosikika leo mubashara ndani ya #Kasri la Salim Kikeke Sikiliza KASRI kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12:00 Jioni hadi saa 3:00 Usiku, unaweza kutufuatilia kupitia 92.1 Mhz, Radio Box &

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Akijibu hoja ya wabunge kuhusu serikali kufanya tathimini ya kubaini ubora na ukubwa wa tatizo la upungufu wa matundu ya vyoo katika shule zote za msingi na sekondari, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali inatambua umuhimu wa kulinda afya za

Akijibu hoja ya wabunge kuhusu serikali kufanya tathimini ya kubaini ubora na ukubwa wa tatizo la upungufu wa matundu ya vyoo katika shule zote za msingi na sekondari, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali inatambua umuhimu wa kulinda afya za
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa maelekezo mahususi kwa wakuu wa mikoa na wa wilaya akiwataka kutokuwa watazamaji wa migogoro na walinzi wa misingi ya haki na amani. Mchengerwa ameyasema hayo wakati akihitimisha hoja ya mapato na matumizi ya

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa maelekezo mahususi kwa wakuu wa mikoa na wa wilaya akiwataka kutokuwa watazamaji wa migogoro na walinzi wa misingi ya haki na amani.

Mchengerwa ameyasema hayo wakati akihitimisha hoja ya mapato na matumizi ya
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

HUJAMBO? KASRI LIKO HEWANI TAYARI….. 🔥🔥 Malkia Imani Henrick Luvanga akiwa na Nassib Mkomwa wanakupitisha katika machache kati ya yale mengi yatakayosikika leo mubashara ndani ya #KASRILAKIKEKE Sikiliza KASRI kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 12:00 Jioni hadi saa 3:00

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Fuatilia Mahojiano kati ya Maxence M. Melo Mkurugenzi wa Jamii Africa Jamii Forums na Salim Kikeke kuangalia mwelekeo wa Tasnia ya Habari nchini Tanzania hasa wakati huu ambao kila Mtu ana uwezo wa kutengeneza Maudhui mtandaoni pamoja na uhuru wa habari nchini Tanzania.

Fuatilia Mahojiano kati ya <a href="/macdemelo/">Maxence M. Melo</a> Mkurugenzi wa Jamii Africa <a href="/JamiiForums/">Jamii Forums</a> na <a href="/Salym/">Salim Kikeke</a> kuangalia mwelekeo wa Tasnia ya Habari nchini Tanzania hasa wakati huu ambao kila Mtu ana uwezo wa kutengeneza Maudhui mtandaoni pamoja na uhuru wa habari nchini Tanzania.
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Taratibu za Mazishi ya Papa Francis zikoje? Father Chesco Msaga ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania akiwa kwenye #KasriLaKikeke kufuatia maombolezo ya Kifo cha Papa Francis anatueleza…. #KasriLaKikeke #HapaNiNyumbani #RIPPapaFrancis

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Kwenye #KIKAO leo #MFALME Salim Kikeke ameketi na Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia COSTECH Dkt. Amos Nungu kuangazia Ushirikiano wao na Benki ya CRDB Bank PLC kupitia @crdbbankfoundation utakavyo saidia Vijana wabunifu Nchini. Usikose

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

“Jitihada za kuimarisha usimamizi wa rasilimali zetu zimewezesha kuongezeka kwa kasi ya ukuaji wa shughuli za uchimbaji madini kutoka asilimia 10.8 mwaka 2022 hadi asilimia 11.3 mwaka 2023. Aidha, ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali uliongezeka kutoka shilingi 623,237,296,973.40

“Jitihada za kuimarisha usimamizi wa rasilimali zetu zimewezesha kuongezeka kwa kasi ya ukuaji wa shughuli za uchimbaji madini kutoka asilimia 10.8 mwaka 2022 hadi asilimia 11.3 mwaka 2023. 

Aidha, ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali uliongezeka kutoka shilingi 623,237,296,973.40
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

“Katika kipindi cha awamu ya sita sekta ya Madini imekuwa na mageuzi makubwa na kuchangia kiasi kikubwa katika pato la taifa ambapo limekuwa kutoka asilimia 7.3 mwaka 2021 hadi asilimia 10.1 mwaka 2024” Anthony Mavunde Waziri wa MADINI akiwasilisha Makadirio ya Bajeti ya Wizara

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Wizara ya Madini imeliomba Bunge kuridhia na kupitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi Bilioni 224,984,150,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026; Kwa mchanganuo ufuatao huku shilingi bilioni 124,604,788,000.00 sawa na asilimia 55.38

Wizara ya Madini imeliomba Bunge kuridhia na kupitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi Bilioni 224,984,150,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026; 

Kwa mchanganuo ufuatao huku shilingi bilioni 124,604,788,000.00 sawa na asilimia 55.38
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

“Hakuna inayomtambua Mgombea Binafsi”- Wakili Lwijiso Ndelwa akifafanua kuhusu Kanuni na Sheria za Uchaguzi Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Katika Mdahalo wa #CafeTalk na Waandishi wa Habari. #HapaNiNyumbani #CrownDigital

Management and Development for Health (@mdh_tanzania) 's Twitter Profile Photo

Management and Development for Health kwa kushirikiana na Servicedigital wamemgusa binti huyu Marry ambaye licha ya kuzaliwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ameweza kumkinga mtoto wake na maambukizi hayo. Afya yako ndiyo kipaumbele chetu. @myservice Crown FM @crowntvtz Repost From @crowntvtz

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

“Ukichukua Mkopo bila kumshirikisha Mumeo, huo ni Ukatili wa Kijinsia” Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC LHRC Fulgence Masawe

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Kundi la G-55 lililokuwa linaundwa na makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo, Jumatano Mei 07, 2025 limetangaza kuhama ndani ya chama hicho, na kwamba kwa sasa watatafuta jukwaa muafaka la kisiasa ambalo watalitumia kufanya Siasa. Akizungumza na wanahabari

Kundi la G-55 lililokuwa linaundwa na makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo, Jumatano Mei 07, 2025 limetangaza kuhama ndani ya chama hicho, na kwamba kwa sasa watatafuta jukwaa muafaka la kisiasa ambalo watalitumia kufanya Siasa.

Akizungumza na wanahabari
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

"Mheshimiwa Naibu Spika ili kutekeleza majukumu ya Wizara katika 2025/26 naomba bunge lako tukufu liridhie na kuidhinisha bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka 2025/26 yenye jumla ya Tsh. 519,660,073,000 kati ya fedha hizo mishahara ni Tsh

"Mheshimiwa Naibu Spika ili kutekeleza majukumu ya Wizara katika 2025/26 naomba bunge lako tukufu liridhie na kuidhinisha bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka 2025/26 yenye jumla ya Tsh. 519,660,073,000 kati ya fedha hizo mishahara ni Tsh