Dar es Salaam Institute of Technology - DIT (@dar_dit) 's Twitter Profile
Dar es Salaam Institute of Technology - DIT

@dar_dit

ID: 1184036095488614400

calendar_today15-10-2019 09:19:50

211 Tweet

445 Followers

45 Following

Dar es Salaam Institute of Technology - DIT (@dar_dit) 's Twitter Profile Photo

Naibu Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT),Taaluma,Utafiti na Ushauri wa Kitaalam Prof.Ezekiel Amri amewataka wanafunzi wapya waliochaguliwa kujiunga na masomo kufuata sheria na taratibu zilizopo ili waweze kufikia malengo yao

Naibu Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT),Taaluma,Utafiti na Ushauri wa Kitaalam Prof.Ezekiel Amri amewataka wanafunzi wapya waliochaguliwa kujiunga na masomo kufuata sheria na taratibu zilizopo ili waweze kufikia malengo yao
Dar es Salaam Institute of Technology - DIT (@dar_dit) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Elimu,Utafiti na Ubunifu Mheshimiwa Martina Hirayama toka nchini Uswis ametembelea Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT),na kuona jinsi Taasisi hiyo imejizatiti kwenye masuala ya Teknolojia,Ufundi na Ubunifu

Waziri wa Elimu,Utafiti na Ubunifu Mheshimiwa Martina Hirayama toka nchini Uswis ametembelea Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT),na kuona jinsi Taasisi hiyo imejizatiti kwenye masuala ya Teknolojia,Ufundi na Ubunifu
Dar es Salaam Institute of Technology - DIT (@dar_dit) 's Twitter Profile Photo

Mahafali ya 18 ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam Duru ya pili Kampasi ya Mwanza wahitimu waaswa kutumia ujuzi wao kutatua changamoto za jamii

Mahafali ya 18 ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam Duru ya pili Kampasi ya Mwanza wahitimu waaswa kutumia ujuzi wao kutatua changamoto za jamii
Dar es Salaam Institute of Technology - DIT (@dar_dit) 's Twitter Profile Photo

Tuna uhakika na wahitimu wetu kuwa wanaajirika,wana uwezo wa kujiajiri kabisa,ameyasema Profesa Ndomba (kulia) ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya DIT

Tuna uhakika na wahitimu wetu kuwa wanaajirika,wana uwezo wa kujiajiri kabisa,ameyasema Profesa Ndomba (kulia) ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya DIT
Dar es Salaam Institute of Technology - DIT (@dar_dit) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan ajionea namna DIT ilivyojipanga katika kuzalisha vijana mahiri watakaoisaidia nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan ajionea namna DIT ilivyojipanga katika kuzalisha vijana mahiri watakaoisaidia nchi.