
Baraka Fundo
@fundo_baraka
Pharmacist | Scholar. Opinions expressed here are solely my own and not my employer's.
ID: 1118247172821090307
16-04-2019 20:17:56
5,5K Tweet
2,2K Followers
3,3K Following








Insights on management of acute biliary pancreatitis in pregnancy, in the light of existing evidence and safety. Aga Khan University acrobat.adobe.com/id/urn:aaid:scâŠ



Wabobezi Richard Mabala (---) Onesmo Mushi celestine lugha ya kufundishia kwenye mtaala wa Kikoloni wa elimu ya msingi ilikuwa ipi??

Baraka Fundo Richard Mabala celestine Kipindi cha utawala wa Mjerumani, Kiswahili kilikuwa lugha ya kufundishia. Mwingereza alipochukua nchi hali ikabadilika, Kiswahili kikatumika kwenye miaka mitano tu ya mwanzo elimu ya msingi kisha iliyobakia yote ikahamia kwenye English medium; urithi tulionao mpaka leo. Hata


celestine Baraka Fundo (---) Onesmo Mushi usisahau kwamba hawa ni zao la mchujo mkali kwenda kwenye shule chache. Sisi leo tunaongelea elimu ya wote hadi kidato cha nne. Hivyo elimu iwe ya wote





Emmanuel Mwita Trump kama jirani bwana Tollu wananyanyasa sana viongozi wenzao kwa sababu wanajua viongozi wengi sasa wa Afrika sio political intellectuals. Mtu kama Nyerere ukimjia kwa jeuri atakurudia kwa hoja na jeuri ya kiuanazuoni vilevile mpaka umuheshimu hata kama unampa msaada.

Joel Ntile Emmanuel Mwita When intellectualism meritocracy stopped being the core value in (Africa) politics, it is now evidently that we no longer recognize our personal values let alone national sense of pride.