@ian_ianoh10
ID: 1895226568857010176
calendar_today27-02-2025 21:37:27
526 Tweet
200 Followers
797 Following
5 hours ago
🔥The 9th Round of Easy Loan, Earn $40 Reward is in progress❗️ ⏰ Promotion Period: January 15th - Feburary 15th, 2025 👉 Register now and check more details at gate.io/campaigns/358
a month ago
TUTAPITA hii MATESO,kwani ni KESHO
Ama chakula imebaki ndio huitwa KIBAKI🤔🤔
Kukosa pesa si mzuri😔😔😔 naingia Bafu after 30min ndio nakumbuka sijabeba maji😒💔
Leo ni TUESDAY tutaonyeshwa NYONYOOO😜🤪🫶
Mechi nimepangia manzi yako Leo nikaa ya psg na Bayern
Mumamaz ananipigia na taxin Ishaa sundwaa
Heri niskize bongo kuliko kasongo🤦
Tumeishi kuuliza kanisa litajengwa na kina nani wantam akaamua kutujibu🤣🤣🤣
Bro to bro:ukigongewa deal na mgongwa,,achana na mgongi
Ogopa dem wa mirema,,,anakam kwako 4th floor Monday anamalizia ground floor Sunday nguo ni Ile Ile Tu kitu imechange ni hairstyle Tu😂😂
Mwanaume mzima Anatoa longi unapata amevaa kinyasa ya Chelsea ndani 🫣 kwanza ya like 10 yrs ago
Jaba ya Leo imeshika Hadi naskia medulla inadunda kama roho
Kanisa zimekua mingi🤔naskia makofi Kwa jirani na hakuna instruments
We Kaa hapo ukisema uko summertides tu,,nikuone DM ukiniomba Mia🤦
So umepiga simu yake ukaambiwa mteja apitakani🤔🤔Shika kamatawi boiz🤣🤣🤣🤭
Bro to bro:kelele ya mwanamke haivunji kitanda,,,,hit dat ding😜
Me kuachana na Jaba ni Story za Jaba 😵
But to be honest yaani nikifungua roho,,Leo naskia Tu fty😊
Na siku hizi g ukona pesa , kwani ujanja ni gani,, Me:utaweza kuruka ukuta na ng'ombe mbili za freshian??
High school kuna mamorio waliishi kuenda study Room wakati wa preps alafu results zikikam kumbafu zimeuma inje🤣🤣🤣