MNYIKA John John (@jjmnyika) 's Twitter Profile
MNYIKA John John

@jjmnyika

CHADEMA Secretary General | MP, Kibamba constituency (2015-2020)| Former MP, Ubungo Constituency (2010-2015) | Deputy Secretary General-Mainland (2014-2019)

ID: 89898588

linkhttp://mnyika.blogspot.com calendar_today14-11-2009 08:18:07

16,16K Tweet

1,0M Followers

29,29K Following

MNYIKA John John (@jjmnyika) 's Twitter Profile Photo

#Mei28 ni mojawapo ya siku muhimu katika kuanzishwa kwa Chadema Tanzania . Siku ya kwanza ni siku ya Chadema kupata usajili kamili 21 Januari 1993, hii ndio Chama kimeichagua kuwa rasmi ya kuadhimisha kuzaliwa kwa #Chadema . Siku ya pili ni tarehe ya Mkutano Mkuu wa Kwanza kupitisha

MNYIKA John John (@jjmnyika) 's Twitter Profile Photo

Hotuba niliyotoa leo Arusha ni tunu kwa waasisi wa Chadema Tanzania na enzi kwa waliouwawa katika mapambano ya haki. Pia nimetoa mwito kwa wanaharakati na nimetoa ujumbe kwa Rais Samia Suluhu Uwanja wa Soko Kuu niliugeuza #BungeLaWananchi kuwezesha #SautiYaWatu kusikika na kura za

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

"Nimemsikia Rais akisema wanaharakati wakae mbali, mimi ninawaambia wanaharakati mahali pakumshika Rais Samia ni kurudi kwa haraka Mahakama ya Africa kukazia hukumu ili Tanzania ilazimishwe na Mahakama uchaguzi usiendelee." Mhe. MNYIKA John John

Brenda Rupia Jonas (@brendarupia) 's Twitter Profile Photo

“NO REFORMS, NO ELECTION!” Bunge la Wananchi wa Arusha limesema kwa sauti kuu na bila woga: Hatutaki uchaguzi bila mageuzi ya kweli ya kisiasa na kisheria. Chama Cha Mapinduzi , salamu ziwafikie huko Dodoma – kazi yetu ni kuwaambia Watanzania ukweli kuhusu nchi yao, na Watanzania

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

📍Karatu #Tanzania Another massive CHADEMA rally in a key rural town which is in the Northern Tourism belt The message of #NoReformsNoElection is resonating deeply what is missing is that little extra push and we are good to go 🔥 Yaani na limkutano lao la mbogamboga wananchi

📍Karatu #Tanzania
Another massive CHADEMA rally in a key rural town which is in the Northern Tourism belt 
The message of #NoReformsNoElection is resonating deeply what is missing is that little extra push and we are good to go 🔥
Yaani na limkutano lao la mbogamboga wananchi
Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

Mhe. MNYIKA John John akizungumza na wakazi wa Karatu leo tarehe 29 Mei 2025 ikiwa ni mwendelezo wa operesheni #NoReformsNoElection katika kanda ya Kaskazini.

Mhe. <a href="/jjmnyika/">MNYIKA John John</a> akizungumza na wakazi wa Karatu leo tarehe 29 Mei 2025 ikiwa ni mwendelezo wa operesheni #NoReformsNoElection katika kanda ya Kaskazini.
Chadema Diaspora (@chademadiaspora) 's Twitter Profile Photo

Mhe. MNYIKA John John akizungumza na wakazi wa Karatu leo tarehe 29 Mei 2025 ikiwa ni mwendelezo wa operesheni #NoReformsNoElection katika kanda ya Kaskazini.

Mhe. <a href="/jjmnyika/">MNYIKA John John</a> akizungumza na wakazi wa Karatu leo tarehe 29 Mei 2025 ikiwa ni mwendelezo wa operesheni #NoReformsNoElection katika kanda ya Kaskazini.
Joel Msuya (@joelymsuya) 's Twitter Profile Photo

Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA taifa Mhe. MNYIKA John John leo tarehe 29-05-2025 jimbo la KARATU kwenye mwendelezo wa operesheni #NoReformsNoElection inayoendelea katika kanda ya Kaskazini.

MNYIKA John John (@jjmnyika) 's Twitter Profile Photo

Hapa chini ni video link ya mkutano tuliohutubia Karatu: youtu.be/pF9cStmt4iw?si… Pamoja na hujuma za kunyimwa viwanja na kulazimika kuhamishia mkutano dakika za mwisho katika uwanja wa Ofisi za Chadema Tanzania ambavyo viko mbali na katikati ya mji mahudhurio na mwamko wenu umetuma

MNYIKA John John (@jjmnyika) 's Twitter Profile Photo

Live muda huu Mbulu Mjini. Mkurugenzi wa Halmashauri alifunga eneo la uwanja ambao ulishalipiwa tayari na Chadema Tanzania kwa kisingizio kuwa polisi wanafanya mazoezi. Wananchi wamekuwa na uvumilivu hatimaye geti limefunguliwa , #NguvuYaUmma imeingia uwanjani. Tumeanza kuhutubia

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

📍 Mbulu #Tanzania Massive turnout in this small town for CHADEMA rally People want Change #NoReformsNoElection is the message and it is gaining momemtum 🔥

📍 Mbulu #Tanzania
Massive turnout in this small town for CHADEMA rally 
People want Change
#NoReformsNoElection is the message and it is gaining momemtum 🔥
Amsterdam & Partners (@amsterdamllp) 's Twitter Profile Photo

Amsterdam & Partners LLP Files United Nations Petition on Behalf of Tanzanian Opposition Leader Tundu Lissu Washington, D.C., May 30, 2025 – Amsterdam & Partners LLP, international counsel to Tanzanian opposition leader Tindu Lissu, has submitted a formal submission to the

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

February mwaka huu niliwatumia Chadema 3M na leo nimewatumia 5M. Ahsanteni Watanzania mnalipia habari zangu. Mnaniwezesha kuchangia ukombozi wa nchi yetu. Na wewe tuma chochote hata elfu 1 moja itasaidia.

February mwaka huu niliwatumia Chadema 3M na leo nimewatumia 5M. 

Ahsanteni Watanzania mnalipia habari zangu. Mnaniwezesha kuchangia ukombozi wa nchi yetu. 

Na wewe tuma chochote hata elfu 1 moja itasaidia.
Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

"Vyama vilivyokubaliana na msimamo wa CCM, vilivyosaini maadili, vinavyotaka kubariki uchaguzi haramu, msivisikilize wala msiviunge mkono kabisa." Mhe. MNYIKA John John

Chadema Tanzania (@chadematz2) 's Twitter Profile Photo

Tunawashukuru watanzania kwa kuendelea kutuchangia. Kwa siku tatu tangu msajili atangaze kukifutia Chama ruzuku tarehe 28 - 30 Mei 2025 mmeweza kutuchangia kiasi cha Tsh. 30,244,700. Tunawaomba muendelee kukichangia Chama katika malipo ya moja kwa moja na kujiunga na malipo ya

Tunawashukuru watanzania kwa kuendelea kutuchangia.

Kwa siku tatu tangu msajili atangaze kukifutia Chama ruzuku tarehe 28 - 30 Mei 2025 mmeweza kutuchangia kiasi cha Tsh. 30,244,700.

Tunawaomba muendelee kukichangia Chama katika malipo ya moja kwa moja na kujiunga na malipo ya