
Jokate Mwegelo
@jokatem
Visionary | Leader | Former District Commissioner - UR Tanzania, Presidentβs Office | Secretary General Youth Wing @ccm_tanzania member of @clubdemadrid
ID: 383368286
01-10-2011 19:13:19
45,45K Tweet
1,2M Followers
1,1K Following


Heri ya siku yako ya kuzaliwa Jojo Jokate Mwegelo .Binafsi nakupongeza kwa mambo mengi sana,mbali na kuwa mwanamke wa kwanza kuwa katibu mkuu wa UVCCM Taifa,umekuwa kioo kwa mabinti wengi nchini,umekuwa kielelezo cha kwa nini vijana na wanawake wanapaswa kuaminiwa kwenye nafasi mbali









Uwekezaji wa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu kwenye kuendeleza vijana wa Kitanzania kupitia sekta ya Elimu ni dhahiri. Huyu ni mwanafunzi wa Shule ya Sekondari inayomilikiwa na Serikali ya Kiranyi iliyoko Arumeru mkoa wa Arusha. Vijana wetu







