Joash Onsare (@joshonsare) 's Twitter Profile
Joash Onsare

@joshonsare

Swahili Editor, Anchor, Reporter @TV47News |
Media Trainer | Environmental enthusiast | Event MC …
ForBooking : [email protected]

ID: 2156388499

calendar_today26-10-2013 08:07:06

1,1K Tweet

1,1K Followers

2,2K Following

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

MASOMO YALIYOTIA FORA 2024 Mtihani wa KCSE ulijumuisha Somo 30. Watahaniwa waliboresha alama kwa somo 17. Watahiniwa waliangusha alama za somo 10. Somo la Hisabati lilifanywa bora zaidi kwa somo zote. #TV47Matukio Joash Onsare

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

UDANGANYIFU KATIKA KCSE 2024 Watahiniwa 840 walihusika katika udanganyifu wa KCSE 2024. Walimu na wataalamu aidha walihusika kuwasaidia katika udanganyifu. Waliohusika na udanganyifu matokeo yao yalighairiwa. #TV47Matukio Joash Onsare

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

UFADHILI WA SEKTA YA AFYA "Tunapaswa jiulize, je, tutakuwaje na sekta binafsi? Tutapunguza vipi gharama za kufanya biashara? Tutalipa vipi huduma hizi binafsi? Changamoto tuliyonayo kwa sasa ni ucheleweshaji wa malipo ya NHIF na SHIF." - Cynthia Munene, Afisa Mkuu Mtendaji,

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

MAANDAMANO YA WANAHABARI TURKANA Wanahabari waandamana Turkana baada ya vitisho. Waziri wa Elimu amewatishia wanahabari. Wanahabari wakashifu dhuluma na vitisho. Wanahabari waliangazia taarifa ya wanafunzi waliosomea chini ya mti. #TV47Matukio Joash Onsare

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

WASHUKIWA WA MAUAJI YA RICHARD KIZIMBANI Washukiwa watano wafikishwa mbele ya mahakama Nakuru. Wanashukiwa kuhusika kwenye mauaji ya Richard. #TV47Matukio Joash Onsare

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

KESI YA URATIBU WA MIPAKA Mahakama ya Upeo hii leo inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu uratibu wa mipaka. Uamuzi huo huenda ukaunda upya mipaka ya uchaguzi nchini. Jaji Mkuu anatarajiwa kufafanua iwapo IEBC inaweza kuendelea na uhakiki huo. Jumla ya maeneobunge 27 yako kwenye

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

SULUHISHO KWA MASKWOTA PWANI Nzai asisitiza kuharakishwa kwa kuwatafutia wakazi hati miliki. Karisa pia anarai matumizi bora ya mitandao. Rais aliahidi kutoa shilingi bilioni moja ili kuusuluhisha changamoto ya uskwota pwani. Baadhi ya wakazi walalamikiwa kuhangaishwa makwao.

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

KUKABILI DHULUMA ZA KIJINSIA KISII Washikadau waandaa vikao vya kuelimisha na kutoa uhamasisho kwa Jamii. Hofu ya ongezeko la visa vya dhuluma za kijinsia katika Jamii. #TV47Matukio Joash Onsare

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

Ndovu Wa Aina Ya ‘African Bush Elephants’ Elgeyo Marakwet Wako Katika Hatari Ya Kuangamia Kufuatia ongezeko la changamoto za mabadiliko ya tabianchi, ndovu zaidi ya elfu moja maarufu kama African Bush Elephants katika mbuga ya Rimoi katika Kaunti Ya Elgeyo Marakwet wako katika

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

African Bush Elephants Are In Danger Of Extinction From Human Activities Following the increasing challenge of climate change in the country, more than one thousand elephants popularly known as African Bush Elephants in Rimoi National Reserve in Elgeyo Marakwet County are in

Media Council of Kenya (@mediacouncilk) 's Twitter Profile Photo

Can radio save the planet? Our Director of Media Training and Development .Victor Bwire OGW will be discussing the crucial role of radio in the climate fight LIVE on .TV47's Morning Cafe Don't miss it! #WRD2025

Can radio save the planet? Our Director of Media Training and Development .<a href="/vicbwire/">Victor Bwire OGW</a> will be discussing the crucial role of radio in the climate fight LIVE on .<a href="/tv47news/">TV47</a>'s Morning Cafe
 Don't miss it! #WRD2025
tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

Raila Says President Ruto Supported Him Genuinely In His AUC Bid Raila Odinga now says that President Ruto supported him genuinely in his AUC bid. Raila while conceding defeat said that he walked his head high after losing to Djibouti’s Mohamoud Yusuf in the seventh round of the

tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

Je, Maoni yako ni yepi baada ya hospitali za kibinafsi kusitisha matumizi ya bima ya SHA? Ungana na Joash Onsare akiangazia Mustakabali wa Afya humu nchini. #TV47Matukio #DarubiniYaAfya Joash Onsare

Je, Maoni yako ni yepi baada ya hospitali za kibinafsi kusitisha matumizi ya bima ya SHA? 

Ungana na Joash Onsare akiangazia Mustakabali wa Afya humu nchini. 

#TV47Matukio #DarubiniYaAfya 
<a href="/joshonsare/">Joash Onsare</a>
Joash Onsare (@joshonsare) 's Twitter Profile Photo

Je, Maoni yako ni yepi baada ya hospitali za kibinafsi kusitisha matumizi ya bima ya SHA? Ungana na Joash Onsare akiangazia Mustakabali wa Afya humu nchini. hashtag #DarubiniYaAfya tv47ke

Je, Maoni yako ni yepi baada ya hospitali za kibinafsi kusitisha matumizi ya bima ya SHA? Ungana na Joash Onsare akiangazia Mustakabali wa Afya humu nchini. hashtag #DarubiniYaAfya <a href="/Tv47Newske/">tv47ke</a>
tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

17 Mountain Bongos Repatriated To Kenya 17 mountain bongos that were taken away during the struggle for independence have been welcomed back into the country. This is a third generation of the endangered species, taken away in the 1960s #TV47DailyReport #PowerAndPolitics

Joash Onsare (@joshonsare) 's Twitter Profile Photo

Rais William Ruto akutana na mchungaji wa kanisa la Jesus Winner Ministry, Edward Mwai katika ikulu ya Nairobi. Yalioangaziwa ni pamoja na Uajiri wa vijana Ughaibuni, Mchango wa milioni 20, nk.

Rais William Ruto akutana na mchungaji wa  kanisa la Jesus Winner Ministry, Edward Mwai katika ikulu ya Nairobi. 
Yalioangaziwa ni pamoja na Uajiri wa vijana Ughaibuni, Mchango wa milioni 20, nk.
Joash Onsare (@joshonsare) 's Twitter Profile Photo

Rais Ruto amemteua Profesa Makau Mutua kama mshauri mkuu wa masuala ya kikatibu katika afisi ya rais. Makau ni mwandani wa Kinara wa ODM Raila Odinga.

Rais Ruto amemteua Profesa Makau Mutua kama mshauri mkuu wa masuala ya kikatibu katika afisi ya rais. Makau ni mwandani wa Kinara wa ODM Raila Odinga.
Joash Onsare (@joshonsare) 's Twitter Profile Photo

HABARI ZA SASA *MBUNGE WA KASIPUL AMEULIWA* Mbunge wa Kasipul Charles Ong'ondo Were alifyatuliwa risasi na kuuliwa na mtu asiyejulikana katika mzunguko wa City Mortuary, Nairobi. Picha:Hisani

HABARI ZA SASA
*MBUNGE WA KASIPUL AMEULIWA*
Mbunge wa Kasipul Charles Ong'ondo Were alifyatuliwa risasi na kuuliwa na mtu asiyejulikana katika mzunguko wa City Mortuary, Nairobi.

Picha:Hisani
tv47ke (@tv47newske) 's Twitter Profile Photo

Ungana na Joash Onsare na Linda Alela, pamoja na jopo lao, katika #TV47Matukio kuanzia saa nne hadi saa nane, wanapoendelea na mjadala kuhusu Maandamano ya Gen-Z. Tazama TV47 Kenya, YouTube, Facebook na tv47.digital.

Ungana na Joash Onsare na Linda Alela, pamoja na jopo lao, katika #TV47Matukio kuanzia saa nne hadi saa nane, wanapoendelea na mjadala kuhusu Maandamano ya Gen-Z. Tazama TV47 Kenya, YouTube, Facebook na tv47.digital.