Julius Joseph Massabo. (@juliusmassabo) 's Twitter Profile
Julius Joseph Massabo.

@juliusmassabo

#MuhambweDreamer

ID: 563662353

calendar_today26-04-2012 09:23:31

64,64K Tweet

10,10K Followers

344 Following

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Tumezindua Operesheni Maji Maji ambayo ni kampeni maalumu ya siku 30 kuwaamsha Watanzania kurejesha thamani ya kura zao kama sehemu ya kampeni yetu ya OPERESHENI LINDA DEMOKRASIA. Sasa ni ziara ya Oktoba, #LindaKura

Tumezindua Operesheni Maji Maji ambayo ni kampeni maalumu ya siku 30 kuwaamsha Watanzania kurejesha thamani ya kura zao kama sehemu ya kampeni yetu ya OPERESHENI LINDA DEMOKRASIA. Sasa ni ziara ya Oktoba, #LindaKura
Julius Joseph Massabo. (@juliusmassabo) 's Twitter Profile Photo

Wote tumeona madhara ya kujaza wasanii na social media influenza kwenye events za chama Dodoma, Baada ya shughuli wanaenda kulewa na wabunge wanawanunulia pombe wakirudi Dar na wao wanajiona wanafit for the Office ndio haya mauzauza ya Uchukuaji fomu sasa.

Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

“Twende tukalinde kura, ndio maana tunasema Oktoba Linda Kura. Inawezekana katika majimbo 272 tusipate yote, lakini hatutakosa majimbo 30, 40, 50 ambayo yataenda kuligeuza lile Bunge na kuondoa ukibogoyo wa Bunge,” amesema Zitto.

MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo Dorothy Semu, amekutana na viongozi na watiania ubunge na udiwani katika Jimbo la Kibondo kata ya muhambwe kwa mazungumzo, ikiwa ni sehemu ya ziara ya viongozi wa chama katika Mkoa wa Kigoma.

Kiongozi  wa  Chama cha ACT - Wazalendo Dorothy Semu, amekutana na viongozi na watiania ubunge na udiwani katika Jimbo la Kibondo kata ya muhambwe kwa mazungumzo, ikiwa ni sehemu ya ziara ya viongozi wa chama katika Mkoa wa Kigoma.
Julius Joseph Massabo. (@juliusmassabo) 's Twitter Profile Photo

Leo ilikua zamu ya #Uhambweni kufikiwa na Operation Maji maji #OktobaLindaKura tumezungumza na watu wetu na kuwaeleza kwann #MhuniHasusiwi na tumekubaliana kwa sauti moja kua october tunawajibu wa kurejesha heshima ya kura za Wananchi ALUTA CONTINUA💪🏻

Leo ilikua zamu ya #Uhambweni kufikiwa na Operation Maji maji #OktobaLindaKura tumezungumza na watu wetu na kuwaeleza kwann #MhuniHasusiwi na tumekubaliana kwa sauti moja kua october tunawajibu wa kurejesha heshima ya kura za Wananchi ALUTA CONTINUA💪🏻
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Uzi Operesheni Maji Maji Picha na matukio ya Msafara wa KC Dorothy Semu. Julai 03, 2025. Kiongozi wa Chama akiingia uwanjani tayari kwa kuzungumza kwa wakazi wa Jimbo la Kibondo, Mkoani Kigoma. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

Uzi
Operesheni Maji Maji

Picha na matukio ya Msafara wa KC <a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a>. Julai 03, 2025.

Kiongozi wa Chama akiingia uwanjani tayari kwa kuzungumza kwa wakazi wa Jimbo la Kibondo, Mkoani Kigoma. 

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Dorothy Semu shangwe Ayo Ngome ya vijana_Official Abdul Nondo 🇹🇿 Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria, Peter Madeleka; Naibu Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara, Julius Joseph Massabo. na Naibu Waziri Kivuli wa TEHAMA, NTOBI wakizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Kibondo Mkoani Kigoma. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

<a href="/SemuDorothy/">Dorothy Semu</a> <a href="/ayo_shangwe/">shangwe Ayo</a> <a href="/NgomeyaVijana/">Ngome ya vijana_Official</a> <a href="/abdulnondo2/">Abdul Nondo 🇹🇿</a> Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria, <a href="/PMadeleka/">Peter Madeleka</a>; Naibu Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara, <a href="/juliusmassabo/">Julius Joseph Massabo.</a> na Naibu Waziri Kivuli wa TEHAMA, <a href="/Ntobi_/">NTOBI</a> wakizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Kibondo Mkoani Kigoma. 

Oktoba #LindaKura
#MuhuniHasusiwi
ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

📍Jimbo la Muhambwe Kigoma "Viongozi wetu wako barabarani nchi nzima kuhakikisha hatuwasusii uchaguzi CCM." Waziri Kivuli wa Viwanda na Biashara Julius Joseph Massabo. Oktoba #LindaKura #MuhuniHasusiwi

MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa Jeshi la Polisi lisingejitokeza hadharani kama video iliyoonesha kijana Eneck Mhangwa, akishambuliwa mpaka kufariki .

Joseph Kalimbwe (@joseph_kalimbwe) 's Twitter Profile Photo

This family gave the President accommodation in their house, pictured, in 2017. Nice story coming up on them. Rural Zambian family in Mulobezi who, when everyone avoided to publicly associate with opposition leader Hichilema, they believed their guest would one day be President !

This family gave the President accommodation in their house, pictured, in 2017. Nice story coming up on them. Rural Zambian family in Mulobezi who, when everyone avoided to publicly associate with opposition leader Hichilema, they believed their guest would one day be President !
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) 's Twitter Profile Photo

Tabora - Maana ya Operesheni Maji Maji Inyonga - Umasikini kuongezeka, Ibara ya 9(i) ya Katiba ya JMT Namanyere - Haki ya kuishi, ibara ya 14 ya Katiba ya JMT Oktoba, #LindaKura

Tabora - Maana ya Operesheni Maji Maji
Inyonga - Umasikini kuongezeka, Ibara ya 9(i) ya Katiba ya JMT
Namanyere - Haki ya kuishi, ibara ya 14 ya Katiba ya JMT 

Oktoba, #LindaKura
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Kazi ya kulinda demokrasia katika taifa letu inaendelea bila kusita. Sauti ya mwananchi lazima iheshimiwe, na kura yake lazima ilindwe kwa gharama yoyote. Mapambano haya ya kizalendo—tunayoyaita Operesheni Majimaji ya kisasa—inaendelea kila kona ya nchi hadi haki itendeke, hadi

Kazi ya kulinda demokrasia katika taifa letu inaendelea bila kusita. Sauti ya mwananchi lazima iheshimiwe, na kura yake lazima ilindwe kwa gharama yoyote.

Mapambano haya ya kizalendo—tunayoyaita Operesheni Majimaji ya kisasa—inaendelea kila kona ya nchi hadi haki itendeke, hadi
Julius Joseph Massabo. (@juliusmassabo) 's Twitter Profile Photo

Tangu ACT Wazalendo tuzindua OP Majimaji #OktobaLindaKura zimeanza kutengenezwa narratives ambazo zina malengo fulani, Si tulikubaliana Kuzuia uchaguzi usifanyike kabisa sasa haya mambo mengine yanatoka wapi? Anyway wenzetu watakuja kusanuka kua #MhuniHasusiwi itakua late sana.

Tangu ACT Wazalendo tuzindua OP Majimaji #OktobaLindaKura zimeanza kutengenezwa narratives ambazo zina malengo fulani, Si tulikubaliana Kuzuia uchaguzi usifanyike kabisa sasa haya mambo mengine yanatoka wapi? Anyway wenzetu watakuja kusanuka kua #MhuniHasusiwi itakua late sana.
MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo, Janeth Rithe amesema kuwa chama hicho hakitarejea nyuma kwa kususia uchaguzi.

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Operesheni Majimaji Jimbo la Temeke Ni nchi nzima! Majimbo yote kufikiwa iwe kwa mikutano ya hadhara ama kwa vikao vya ndani. Madhumuni ni kuwandaa viongozi na wanachama wetu kuelekea uchaguzi mkuu. Shekhe Ponda na Ruqayya Mahmoud Nassir leo walikuwa TEMEKE Oktoba #LindaKura

Operesheni Majimaji Jimbo la Temeke

Ni nchi nzima! Majimbo yote kufikiwa iwe kwa mikutano ya hadhara ama kwa vikao vya ndani. Madhumuni ni kuwandaa viongozi na wanachama wetu kuelekea uchaguzi mkuu.

Shekhe Ponda na <a href="/RuqayyaNassir/">Ruqayya Mahmoud Nassir</a> leo walikuwa TEMEKE

Oktoba #LindaKura
NTOBI (@ntobi_) 's Twitter Profile Photo

Shinyanga imekuwa Zambarau. Na nikawaomba viongozi wangu, tutambe na zambarau kwenye barabara za Kata ya Ngokolo zilipo ofisi mpya za kisasa za ACTWazalendo #TheFutureIspurple 🔥 #MuhuniHasusiwi ✊🏾

Shinyanga imekuwa  Zambarau.

Na nikawaomba viongozi wangu, tutambe na zambarau  kwenye barabara za Kata ya Ngokolo zilipo ofisi mpya za kisasa za <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> 

#TheFutureIspurple 🔥
#MuhuniHasusiwi ✊🏾