Kitila Mkumbo (PhD) (@kitilam) 's Twitter Profile
Kitila Mkumbo (PhD)

@kitilam

Husband to Prosista, Dad to Aggrey, Calvin and Abigail, TZ raia, mwananchi, MP, Minister. Tweets mine!

ID: 1912949292

linkhttps://kitilamkumbo.co.tz/ calendar_today28-09-2013 03:29:13

4,4K Tweet

146,146K Followers

819 Following

Tanzania Investment Centre (@investtanzania) 's Twitter Profile Photo

Leo Machi, 26 , 2025, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, amesisitiza dhamira ya serikali ya kuhakikisha kuwa uwezeshaji wa wawekezaji nchini unafanyika kwa ufanisi kupitia Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC). Aidha, ameeleza umuhimu wa

Tanzania Investment Centre (@investtanzania) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezeji ametoa wito kwa watumishi wa umma kujishughulisha na shughuli za kibiashara… msikilize zaidi akizungumza hapa!

The Economist (@theeconomist) 's Twitter Profile Photo

American investors are wary of China. But a recovering economy, a truce between the government and business, and a swell of interest in technological innovation have begun to revive interest econ.st/4hPKFNe Illustration: Satoshi Kambayashi

American investors are wary of China. But a recovering economy, a truce between the government and business, and a swell of interest in technological innovation have begun to revive interest econ.st/4hPKFNe

Illustration: Satoshi Kambayashi
Mwita C. Mwita (@mwitah_tz) 's Twitter Profile Photo

The World Bank has released its inaugural Business Ready 2024 (B-READY) report, assessing the business and investment environments of 50 economies globally. This new flagship publication replaces the discontinued Doing Business project, offering an enhanced framework for

President's Office - Planning and Investment (@ofisiya_rais_mu) 's Twitter Profile Photo

SERIKALI KUJENGA MAENDELEO YENYE KUZINGATIA HAKI NA USAWA- Prof. MKUMBO Aprili 08, 2025-Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb), amesema Serikali itaendelea kusimamia haki, usawa na uwajibikaji kama nguzo kuu za maendeleo.

SERIKALI KUJENGA MAENDELEO YENYE KUZINGATIA HAKI NA USAWA- Prof. MKUMBO

Aprili 08, 2025-Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb), amesema Serikali itaendelea kusimamia haki, usawa na uwajibikaji kama nguzo kuu za maendeleo.
President's Office - Planning and Investment (@ofisiya_rais_mu) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi, (OR-MU) Mhe. Prof Kitila Mkumbo (PhD) (Mb.), amekutana na Kufanya Mazungumzo na Mhe. Emilly Burns, Balozi wa Canada nchini Tanzania leo April 25, Jijini Dodoma. Mazungumzo yao yalihusu kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Uwekezaji na Uchumi baina ya mataifa hayo mawili.

Waziri wa Nchi, (OR-MU) Mhe. Prof <a href="/kitilam/">Kitila Mkumbo (PhD)</a> (Mb.),  amekutana na Kufanya Mazungumzo na  Mhe. Emilly Burns, Balozi wa Canada nchini Tanzania leo April 25, Jijini Dodoma. Mazungumzo yao yalihusu kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Uwekezaji na Uchumi baina ya mataifa hayo mawili.
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Nchi, (OR-MU) Mhe. Prof Kitila Mkumbo (PhD), amekutana na Kufanya Mazungumzo na Mhe. Emilly Burns, Balozi wa Canada nchini Tanzania leo April 25, 2025, Jijini Dodoma. Mazungumzo yao yalihusu kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Uwekezaji na Uchumi baina ya mataifa hayo mawili.

Waziri wa Nchi, (OR-MU) Mhe. Prof <a href="/kitilam/">Kitila Mkumbo (PhD)</a>, amekutana na Kufanya Mazungumzo na  Mhe. Emilly Burns, Balozi wa Canada nchini Tanzania leo April 25, 2025, Jijini Dodoma. Mazungumzo yao yalihusu kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Uwekezaji na Uchumi baina ya mataifa hayo mawili.
HakiElimu (@hakielimu) 's Twitter Profile Photo

Tumepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Profesa Matha Qorro, mmoja wa wanachama waanzilishi wa shirika letu. Profesa Qorro alikuwa mwanazuoni mashuhuri na mwenye mchango mkubwa katika sekta ya elimu nchini. Atakumbukwa daima kwa ujasiri, msimamo thabiti, na mchango

Tumepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Profesa Matha Qorro, mmoja wa wanachama waanzilishi wa shirika letu.

Profesa Qorro alikuwa mwanazuoni mashuhuri na mwenye mchango mkubwa katika sekta ya elimu nchini. Atakumbukwa daima kwa ujasiri, msimamo thabiti, na mchango
Stephen M. Wasira BA, MPA , MA (@smwasira) 's Twitter Profile Photo

Kama M/Mwenyekiti CCM (Bara), nimepokea kwa masikitiko taarifa ya tukio la kihalifu dhidi ya Pr. Dkt. Kitima katika ofisi za Baraza la Maaskofu. Natoa pole zangu na kulaani kitendo hiki. Polisi wafanye uchunguzi wa kina, kuwabaini wahusika na kuwachukulia hatua kali za kisheria.

Ambassador Tone Tinnes (@norambtz) 's Twitter Profile Photo

Gratulerer med dagen! 🇳🇴 Thank you to our Tanzanian partners and Hon. Dr. Kitila Mkumbo for joining our May 17 reception in Dar. As we mark Norway’s Constitution Day, we celebrate strong, growing ties with Tanzania—founded on partnership, peace, and shared values. #17mai 🇳🇴🤝🇹🇿

Gratulerer med dagen! 🇳🇴

Thank you to our Tanzanian partners and Hon. Dr. Kitila Mkumbo for joining our May 17 reception in Dar. As we mark Norway’s Constitution Day, we celebrate strong, growing ties with Tanzania—founded on partnership, peace, and shared values.
#17mai 🇳🇴🤝🇹🇿
Samia Suluhu (@suluhusamia) 's Twitter Profile Photo

Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Dodoma, Mei 30, 2025 Siku ya pili ya mkutano wetu jijini Dodoma ambapo kwa pamoja tumezindua Ilani ya CCM 2025-2030. Ilani hii imeandaliwa kwa weledi mkubwa kwa manufaa ya Taifa letu, ikilenga zaidi katika kuchochea

Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Dodoma ▪️WAZIRI PROF. MKUMBO AKUTANA NA MKURUGENZI WA GATSBY, WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Juni 3, 2025, alikutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Gatsby, Bw. Justin

📍Dodoma

▪️WAZIRI PROF. MKUMBO AKUTANA NA MKURUGENZI WA GATSBY, WAJADILI KUIMARISHA USHIRIKIANO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Juni 3, 2025, alikutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Gatsby, Bw. Justin
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿 (@k_mjege) 's Twitter Profile Photo

Katikati ya upendeleo na mambo mengine yasiyoeleweka humu duniani, bado watu wenye uwezo, sifa stahiki na bidii wana nafasi ya kutoboa. Usichoke kujijengea uwezo na kuzitafuta sifa sahihi.

Katikati ya upendeleo na mambo mengine yasiyoeleweka humu duniani, bado watu wenye uwezo, sifa stahiki na bidii wana nafasi ya kutoboa. Usichoke kujijengea uwezo na kuzitafuta sifa sahihi.
UK in Tanzania (@ukintanzania) 's Twitter Profile Photo

As we reflect on last week’s King’s Birthday Party, we want to extend a heartfelt thank you to all our generous sponsors & incredible vendors, both old & new, for making the evening truly special. The night wouldn’t have been the same without your support & hard work!