Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile
Mange Kimambi

@mangekimambi

Tuletee habari Tutakulipa. Download Mange Kimambi app on playstore and app store. Webapp: mangekimambi.app WhatsApp & telegram:+1 424 537 3057

ID: 48106612

linkhttp://mangekimambi.app calendar_today17-06-2009 20:39:06

6,6K Tweet

304,304K Followers

92 Following

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Wewe ku** kibuyu wewe. After all you have done, unatoa wapi nguvu ya kunitafuta tuongee??? After wewe na wapuuzi wenzio wa Njaa55 kuanzisha issue ya kwamba Lissu anafanya uhaini mpaka CCM wakambambikia kesi leo unanifata tuongeee? After the damage mmefanya we na wapumbavu wenzio

Wewe ku** kibuyu wewe. After all you have done, unatoa wapi nguvu ya kunitafuta tuongee??? After wewe na wapuuzi wenzio wa Njaa55 kuanzisha issue ya kwamba Lissu anafanya uhaini mpaka  CCM wakambambikia kesi leo unanifata tuongeee? After the damage mmefanya we na wapumbavu wenzio
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Jamani eeeh, nikichapwa risasi au lolote likinitokea huku Marekani msipoteze muda kutafuta alienitoa roho? ni serikali ya Tanzania iwajibike….. . . lol, hivi hii mijitu inatakaje? Itaka Watanzania wote tu accept kuw CCM ni Mungu wetu au?

Jamani eeeh, nikichapwa risasi au lolote likinitokea huku Marekani msipoteze muda kutafuta alienitoa roho? ni serikali ya Tanzania iwajibike…..
.
.
lol, hivi hii mijitu inatakaje? Itaka Watanzania wote tu accept kuw CCM ni Mungu wetu au?
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Breaking news from Mange Kimambi App…..Nay wa Mitego kahamia CCM rasmi. Amepewa 100M cash. Waliokuwa wanatengeza dili zima yani kuongea na Abdul wa Samia ni mameneja wake BIG na WAKUDABUA. Pesa zimeingizwa kwenye account YA nay tu basi Nay kaacha kupokea simu za mameneja,

Breaking news from Mange Kimambi App…..Nay wa Mitego kahamia CCM rasmi. Amepewa 100M cash. Waliokuwa wanatengeza dili zima yani kuongea na Abdul wa Samia ni mameneja wake BIG na WAKUDABUA. Pesa zimeingizwa kwenye account YA nay tu basi Nay kaacha kupokea simu za mameneja,
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Basi wasomaji wa kote kwenye subscription channel na kwenye Mange Kimambi App wote wameniamuru content hii ije kwenye public sababu ni public interest. . Hii ni list ya mwezi April 2025 ya transfer viwanja vinavyotakiwa kubadilishwa majina kwa wamiliki wapya. Yani mtu akininua

Basi wasomaji wa kote kwenye subscription channel na kwenye Mange Kimambi App  wote wameniamuru content hii ije kwenye public sababu ni public interest.
.

Hii ni list ya mwezi April 2025 ya transfer viwanja vinavyotakiwa kubadilishwa majina kwa wamiliki wapya. Yani mtu akininua
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

This is nothing but uhujumu uchumi, ufisadi, uonevu, rushwa, udhulumat etc. CCM inatuma barua hizi za kuomba pesa za uchaguzi kwa makampuni binafsi, hivi kuna kampuni itakayodhubutu kutokutoa michango? Hivi kuna kampuni itayo dhubutu kukataa kutoa michango kwa CCM?? Alafu

This is nothing but uhujumu uchumi, ufisadi, uonevu, rushwa, udhulumat etc. CCM inatuma barua hizi za kuomba pesa za uchaguzi kwa makampuni binafsi, hivi kuna kampuni itakayodhubutu kutokutoa michango? Hivi kuna kampuni itayo dhubutu kukataa kutoa michango kwa CCM?? Alafu
Think Different (@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

CRDB Bank PLC Bank of Tanzania huu ni uharifu unafanya na bank ya CRDB Hakuna uhalali wa CCM kuwa na ACCOUNT ambazo hazina majina ya CHAMA Hii ni kutakatisha fedha , Bank ya CRDB mnahusika vizuri sana na huu uchafu kusafisha fedha

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Haya mabosi zangu wametoa ruhusa iletwe huku. . Mwezi April Mkuu wa Polisi Tanzania alienda CRDB akadeposit 68M in cash. Hizi pesa zilitoka wapi? Alafu jiulize deposit 68M nyumbani alibakiza ngapi.? . Same month CRDB wamempa Mkuu wa polisi mkopo wa 1B. CRDB needs to be

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Hiyo pichani ni moja kati ya nyumba 8 anazojenga Wambura, Mkuu wa Polisi Tanzania, 2 zimakamiliki 6 zinaendelea kujengwa. Nyumba zipo Goba kwa Ulomi Saleko Kiwesi street. Ndani huko kwenye compound kuna Mercedes Benz kali na Labd Cruiser, zote za bilionea Wambura zimepaki humo

Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Kama unaumia na kinachoendelea Tanzania, Kama unaumia na utekaji, uuawaji na upigwaji wa wananchi, Kama unaumia na udhulumat unaofanywa na CCM . Kama unataka mabadiliko, tafafhali sasa hivi, dakika hii tuma pesa kuchangia tone tone. Ruzuku ya Chadema imefutwa kinyemelewa, CCM

Kama unaumia na kinachoendelea Tanzania, Kama unaumia na utekaji, uuawaji na upigwaji wa wananchi, Kama unaumia na udhulumat unaofanywa na CCM . Kama unataka mabadiliko, tafafhali sasa hivi, dakika hii tuma pesa kuchangia tone tone. Ruzuku ya Chadema imefutwa kinyemelewa, CCM
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

February mwaka huu niliwatumia Chadema 3M na leo nimewatumia 5M. Ahsanteni Watanzania mnalipia habari zangu. Mnaniwezesha kuchangia ukombozi wa nchi yetu. Na wewe tuma chochote hata elfu 1 moja itasaidia.

February mwaka huu niliwatumia Chadema 3M na leo nimewatumia 5M. 

Ahsanteni Watanzania mnalipia habari zangu. Mnaniwezesha kuchangia ukombozi wa nchi yetu. 

Na wewe tuma chochote hata elfu 1 moja itasaidia.
Mange Kimambi (@mangekimambi) 's Twitter Profile Photo

Hi guys, nimefanya maamuzi magumu. Nimeamua kusitisha ajira yangu ya umbea kwa muda wa miezi 5, nitarudi kwenye umbea November 1 2025. Kuanzia leo for 5 months straight nitafanya siasa tupu! I think wito wangu hapa duniani ni huu wa kufanya harakati, nashindwa kulala na kuishi

Hi guys, nimefanya maamuzi magumu. Nimeamua kusitisha ajira yangu ya umbea kwa muda wa miezi 5, nitarudi kwenye umbea November 1 2025. Kuanzia leo for 5 months straight nitafanya siasa tupu!

I think wito wangu hapa duniani ni huu wa kufanya harakati, nashindwa kulala na kuishi