Mohamed Mchengerwa (@mchengerwa_m) 's Twitter Profile
Mohamed Mchengerwa

@mchengerwa_m

MINISTER OF CULTURE,ARTS AND SPORT IN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

ID: 830433174241026048

calendar_today11-02-2017 15:07:52

157 Tweet

3,3K Followers

127 Following

Mohamed Mchengerwa (@mchengerwa_m) 's Twitter Profile Photo

BUNGENI LEO Mchango wa Mhe. Mohamed Mchengerwa katika Wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI, amesisitiza ‘’Kazi ya Ujenzi wa TANZANIA MPYA, imefanikishwa na WIZARA nyingi, lakini kipekee, Ofisi ya Rais TAMISEMI,… instagram.com/p/B-wr21VlEkc/…

Mohamed Mchengerwa (@mchengerwa_m) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu Hasan, Anakuwa Rais wa Kwanza Nchini, Kushiriki moja kwa moja kwenye Tamasha la mziki wa Hip Hop,Rais wa Kwanza Mwanamke Nchini, Lakini pengine anakuwa Rais wa Kwanza Africa au Duniani kwenda moja kwa moja kwenye Tamasha hasa la mziki wa Kufoka Foka. Tunajivunia

Rais Samia Suluhu Hasan, Anakuwa Rais wa Kwanza Nchini, Kushiriki moja kwa moja kwenye Tamasha la mziki wa Hip Hop,Rais wa Kwanza Mwanamke Nchini, Lakini pengine anakuwa Rais wa Kwanza Africa au Duniani kwenda moja kwa moja kwenye Tamasha hasa la mziki wa Kufoka Foka.
Tunajivunia
Mohamed Mchengerwa (@mchengerwa_m) 's Twitter Profile Photo

Mwamko wa Kisiasa wa Maridhiano na Upendo, unaoasisiwa na Rais ⁦Samia Suluhu⁩ ,umepandisha kiwango cha Furaha Nchini Tz, Amani na maridhiano ,umeongeza matumaini ya wananchi kwa Serikali yao,uhuru na Demokrasia ni matunda ya urithi aliotuachia Baba wa Taifa,Mwl J.K.Nyerere

Mwamko wa Kisiasa wa Maridhiano na Upendo, unaoasisiwa na Rais ⁦<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>⁩ ,umepandisha kiwango cha Furaha Nchini Tz, Amani na maridhiano ,umeongeza matumaini ya wananchi kwa Serikali yao,uhuru na Demokrasia ni matunda ya urithi aliotuachia Baba wa Taifa,Mwl J.K.Nyerere
Mohamed Mchengerwa (@mchengerwa_m) 's Twitter Profile Photo

Viongozi wa Taifa letu(Waasisi)walitafuta kila namna ya kuitangaza Tz Nje ya Mipaka,Lakini aina ya Siasa Tulizodum nazo Tangu Uhuru,zilitufanya tumezwe na baadhi ya Vivutio Vya Nchi yetu kuonekana ni Vya Nchi za Jirani,Ubunifu katika Filam ya RT,Utafungua umiliki na kungarisha Tz

Viongozi wa Taifa letu(Waasisi)walitafuta kila namna ya kuitangaza Tz Nje ya Mipaka,Lakini aina ya Siasa Tulizodum nazo Tangu Uhuru,zilitufanya tumezwe na baadhi ya Vivutio Vya Nchi yetu kuonekana ni Vya Nchi za Jirani,Ubunifu katika Filam ya RT,Utafungua umiliki na kungarisha Tz