Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile
Mdude Nyagali

@mdudenyagali

Political Activist in Tanzania focusing on Civil Rights and Good Governance. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. #Author- #FiveYearsOfPain. - To buy my Book, please click the link below.

ID: 1417391073253629953

linkhttps://bio.site/mdudenyagali calendar_today20-07-2021 07:49:19

7,7K Tweet

156,156K Followers

396 Following

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Wakili msomi kutoka Amnesty Kenya mpiganaji Law & behold - Law_lad! ni moja ya winga tegemeo kwenye timu ya kupigania haki za binadamu na utawala bora ukanda huu wa Africa mashariki. Baada wa serikali ya Samia Suluhu kupitia polisi kuteka na kutesa watu mahakama ya Kisutu, Roland amefika na

Wakili msomi kutoka <a href="/AmnestyKenya/">Amnesty Kenya</a> mpiganaji <a href="/RolandEbole/">Law & behold - Law_lad!</a> ni moja ya winga tegemeo kwenye timu ya kupigania haki za binadamu na utawala bora ukanda huu wa Africa mashariki. Baada wa serikali ya <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> kupitia polisi kuteka na kutesa watu mahakama ya Kisutu, Roland amefika na
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Narudia tena, yalifanyika makosa makubwa sana kumpa mamlaka ya ku- control bunduki mtu mwenye ubongo wa kuku. Madhara yake ni kwamba hata vitu vya kutumia akili yeye anatumia bunduki na nguvu tu. Uzuri huu ni mwaka wake wa mwisho.

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

KITABU CHA ANGUKO LA CCM KIKO JIKONI. Binafsi naamini mwaka huu kuna anguko kubwa la CCM. Ndio maana tangu January mwaka huu nilianza uandishi wa kitabu kinachosimulia anguko la CCM. Ndani ya kitabu hicho nasimulia siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka

KITABU CHA ANGUKO LA CCM KIKO JIKONI.

Binafsi naamini mwaka huu kuna anguko kubwa la CCM. Ndio maana tangu January mwaka huu nilianza uandishi wa kitabu kinachosimulia anguko la CCM. Ndani ya kitabu hicho nasimulia siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Kwa hiyo Rais Samia Suluhu umetufikisha hapa? Kulipizana kisasi? Kwanini unatengeneza taifa la namna hii? Unataka watu wafike hatua ya kujitoa mhanga? Kwani urais huu umelazimishwa? Si unaweza kuachia ngazi aje Rais mwingine anayeweza kujenga mshikamano na umoja katika taifa?

Kwa hiyo Rais <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> umetufikisha hapa? Kulipizana kisasi? Kwanini unatengeneza taifa la namna hii? Unataka watu wafike hatua ya kujitoa mhanga? Kwani urais huu umelazimishwa? Si unaweza kuachia ngazi aje Rais mwingine anayeweza kujenga mshikamano na umoja katika taifa?
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Njia pekee ya askari polisi waliohusika na haya mateso ya juzi mahakamani kukwepa kwenda jela ni kifo, lakini hakuna option nyingine itakayowafanya wakwepe kwenda jela.

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Polisi Police Force TZ tangu jana usiku wamefika nyumbani kwa Tundu Lissu kufanya upekuzi, ndugu wa Lissu wamewakatalia kwamba wakitaka kufanya upekuzi lazima mwenye nyumba awepo. Fikiria hawa ni askari ambao wanajua sheria na wamekaa chuo pale CCP na wameenda kozi mbalimbali, lakini

Polisi <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> tangu jana usiku wamefika nyumbani kwa Tundu Lissu kufanya upekuzi, ndugu wa Lissu wamewakatalia kwamba wakitaka kufanya upekuzi lazima mwenye nyumba awepo. Fikiria hawa ni askari ambao wanajua sheria na wamekaa chuo pale CCP na wameenda kozi mbalimbali, lakini
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Fikiria wazungu wenyewe wakoloni hawajawahi kuzuia ndugu wa Julius Nyerere kuhudhuria mahakamani alipokamatwa kwa kesi ya uchochezi mwaka 1958. Lakini pia wakoloni hao hawajawahi kufikiria kumpa kesi ya uhaini Nyerere. Hata makaburu wale wakatili kule Africa kusini hawajawahi

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

"๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ฝ๐—ฎ๐—น๐—ฒ ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฝ๐—ผ ๐—บ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐˜‚ & ๐—บ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ท๐—ถ, ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐˜€๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ". - Lamar Smith.

"๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐˜€๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ฝ๐—ฎ๐—น๐—ฒ ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฝ๐—ผ ๐—บ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐˜‚ &amp; ๐—บ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ท๐—ถ, ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐˜€๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ". -  Lamar Smith.
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Ikitokea tumepata serikali mpya nje ya chama cha mbogamboga jeshi la polisi lote linapaswa kufanyiwa overhaul. 1- Idara ya Field Force Unit - FFU ni ya kufuta kabisa waende nyumbani kwa sababu hawana kazi yoyote. Mara nyingi wanatumika vipindi vya uchaguzi kupiga mabomu na

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Ma- RPC na Ma-RCO mtakula sana vitanzi Samia akiondoka madarakani. Hivyo vikosi kazi vyenu (Task Force) mnavyounda kuteka watu wanaotoa maoni yao kuhusu serikali ipo siku mtalia na kusaga meno. Yani huyu mtoto tena mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili anatekwa na kupotezwa kisa

Ma- RPC na Ma-RCO mtakula sana vitanzi Samia akiondoka madarakani. Hivyo vikosi kazi vyenu (Task Force) mnavyounda kuteka watu wanaotoa maoni yao kuhusu serikali ipo siku mtalia na kusaga meno. 

Yani huyu mtoto tena mwanafunzi wa chuo mwaka wa pili anatekwa na kupotezwa kisa
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la polisi Police Force TZ mkoa wa Mbeya wanatafuta nyumba ninayoishi sijui wanataka kuja kutambika au kuniteka? Wamemuambia mmoja wa wanachama wetu kwamba tunaomba utuoneshe nyumba tu anayoishi Mdude tutakupa pesa. Alipowauliza ana kosa gani wamekwepa kusema. Yani wamefikia hatua

Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Utekaji na ukamataji holela wa wapinzani hauwezi kutunyamazisha kupaza sauti kwa unyama huu uliofanywa na polisi Police Force TZ . Mateso ambayo polisi mnatupa ni ya muda tu kwa kuwa mwaka huu kuna mabadiliko makubwa ya kiserikali. Tutakuwa na serikali mpya na kila askari kuanzia ngazi

Utekaji na ukamataji holela wa wapinzani  hauwezi kutunyamazisha kupaza sauti kwa unyama huu uliofanywa na polisi <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> . Mateso ambayo polisi mnatupa ni ya muda tu kwa kuwa mwaka huu kuna mabadiliko makubwa ya kiserikali. Tutakuwa na serikali mpya na kila askari kuanzia ngazi
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Tumefikia hatua hii? Padre Kitima mcha Mungu ambaye muda wote anashinda kanisani kawakosea nini hadi apigwe? Kwanini tusiamini kwamba Padre Kitima amepigwa kwa sababu za kisiasa? MENE MENE TEKELI NA PERESI. Kunakaribia kucha soon tunaenda kushinda.

Tumefikia hatua hii? Padre Kitima mcha Mungu ambaye muda wote anashinda kanisani kawakosea nini hadi apigwe? Kwanini tusiamini kwamba Padre Kitima amepigwa kwa sababu za kisiasa? MENE MENE TEKELI NA PERESI. Kunakaribia kucha soon tunaenda kushinda.
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Nani mwenye ujasiri wa kufanya tukio hili la kuvamia na kumpiga father Kitima tena mbele ya watu kwenye maeneo ya TEC Kurasini? Unajua siku zote ukimuona mbuzi juu ya mti ujue kapandishwa. Ni nani huyu yuko nyuma ya hili tukio la kumvamia na kumpiga father Kitima? Kwanini apigwe

Nani mwenye ujasiri wa kufanya tukio hili la kuvamia na kumpiga father Kitima tena mbele ya watu kwenye maeneo ya TEC Kurasini? Unajua siku zote ukimuona mbuzi juu ya mti ujue kapandishwa. Ni nani huyu yuko nyuma ya hili tukio la kumvamia na kumpiga father Kitima? Kwanini apigwe
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la polisi Police Force TZ limekaa kishabiki sana. Ukisoma hii press release waliyoitoa kwa umma wanadai father Kitima ameshambuliwa akiwa anapata kinywaji. Kantini hiyo ya TEC kuna vyakula pia lakini kwanini wameandika alienda kupata kinywaji na sio chakula? Lengo lao ni nini hapa?

Jeshi la polisi <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> limekaa kishabiki sana. Ukisoma hii press release waliyoitoa kwa umma wanadai father Kitima ameshambuliwa akiwa anapata kinywaji. Kantini hiyo ya TEC kuna vyakula pia lakini kwanini wameandika alienda kupata kinywaji na sio chakula? Lengo lao ni nini hapa?
Christian Kattner ๐Ÿ–ค ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ (@kattner_c) 's Twitter Profile Photo

Friends of Tundu Antiphas Lissu met on the sidelines of the Congress of the European People's Party @epp in Valencia and demanded his immediate and unconditional release. Tundu has now been detained for almost 3 weeks on baseless charges. #FreeTunduLissuNow

Friends of <a href="/TunduALissu/">Tundu Antiphas Lissu</a> met on the sidelines of the Congress of the European People's Party @epp in Valencia and demanded his immediate and unconditional release. Tundu has now been detained for almost 3 weeks on baseless charges. #FreeTunduLissuNow
Mdude Nyagali (@mdudenyagali) 's Twitter Profile Photo

Kama polisi wanapotosha ni wazi kwamba wamepata taarifa hii kupitia chanzo kingine na sio kanisa ambalo lilikuwa na watu katika ofisi hizo za TEC. Sasa Muliro na Police Force TZ mtuambie taarifa za father Kitima kupata kinywaji na kwenda maliwato mmezitoa wapi? Je chanzo chenu

Kama polisi wanapotosha ni wazi kwamba wamepata taarifa hii kupitia chanzo kingine na sio kanisa ambalo lilikuwa na watu katika ofisi hizo za TEC. Sasa Muliro na <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> mtuambie taarifa za father Kitima kupata kinywaji na kwenda maliwato mmezitoa wapi? 

Je chanzo chenu