Mwigulu Nchemba, PhD (@mwigulunchemba1) 's Twitter Profile
Mwigulu Nchemba, PhD

@mwigulunchemba1

Minister for Finance, Tanzania @mofurt | Economist | MNEC | MP | Proud Father |

ID: 1872561842

linkhttp://mof.go.tz calendar_today16-09-2013 18:14:06

4,4K Tweet

551,551K Followers

332 Following

Taifa Reports (@taifareports) 's Twitter Profile Photo

TATHMINI YA FITCH: UCHUMI WA TANZANIA WAZIDI KUAMINIKA KIMATAIFA Tanzania imethibitishwa tena na Fitch Ratings kuwa na kiwango cha ‘B+’ chenye Mtazamo Thabiti (Stable Outlook) — hatua inayodhihirisha imani ya kimataifa katika uthabiti wa uchumi wetu, usimamizi wa sera na mageuzi

TATHMINI YA FITCH: UCHUMI WA TANZANIA WAZIDI KUAMINIKA KIMATAIFA

Tanzania imethibitishwa tena na Fitch Ratings kuwa na kiwango cha ‘B+’ chenye Mtazamo Thabiti (Stable Outlook) — hatua inayodhihirisha imani ya kimataifa katika uthabiti wa uchumi wetu, usimamizi wa sera na mageuzi
Ministry of Finance Tanzania (@mofurt) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, PhD (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ukiongozwa na Gavana wa Benki hiyo, Bw. Emmanuel Tutuba, ambapo umeangazia mafanikio ya Benki hiyo katika kuendelea kuimarisha uchumi.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. <a href="/mwigulunchemba1/">Mwigulu Nchemba, PhD</a>  (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ukiongozwa na Gavana wa Benki hiyo, Bw. Emmanuel Tutuba, ambapo umeangazia mafanikio ya Benki hiyo katika kuendelea kuimarisha uchumi.
Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Iramba, Singida ▪️DC MWENDA AONGOZA HAFLA MAALUM YA KUWAAGA WAHESHIMIWA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA WALIOHITIMISHA KIPINDI CHA MIAKA MITANO Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mkoani Singida, Mhe. Suleiman Yusuph Mwenda, ameongoza hafla maalum ya kuwaaga Waheshimiwa

📍Iramba, Singida

▪️DC MWENDA AONGOZA HAFLA MAALUM YA KUWAAGA WAHESHIMIWA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRAMBA WALIOHITIMISHA KIPINDI CHA MIAKA MITANO

Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mkoani Singida, Mhe. Suleiman Yusuph Mwenda, ameongoza hafla maalum ya kuwaaga Waheshimiwa
Patricia Laverley (@patlaverley) 's Twitter Profile Photo

The African Development Bank Group recently concluded a pivotal visit to Tanzania, underscoring its profound commitment to the nation's development agenda. On June 14th, President Dr. Akinwumi Adesina experienced Tanzania's state-of-the-art Standard Gauge Railway (SGR) firsthand.

The African Development Bank Group recently concluded a pivotal visit to Tanzania, underscoring its profound commitment to the nation's development agenda. On June 14th, President Dr. Akinwumi Adesina experienced Tanzania's state-of-the-art Standard Gauge Railway (SGR) firsthand.
Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Singida ▪️MHE. DKT. NCHEMBA ASHIRIKI HARAMBE KUU KANISA LA KKKT KANDA YA KATI Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki Harambee Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kati na kufanikisha kukusanya fedha zaidi ya shilingi bilioni moja

📍Singida

▪️MHE. DKT. NCHEMBA ASHIRIKI HARAMBE KUU KANISA LA KKKT KANDA YA KATI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki Harambee Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya  Kati na kufanikisha kukusanya fedha zaidi ya shilingi bilioni moja
Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Dodoma 1:Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, alipowasili kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha wafanyakazi wa Wizara yake kilichofanyika katika Ukumbi wa

📍Dodoma

1:Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, alipowasili kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha wafanyakazi wa Wizara yake kilichofanyika katika Ukumbi wa
Thomas J. Kibwana (@thomasjkibwana) 's Twitter Profile Photo

📊 MAKUSANYO YA KODI NCHINI TANZANIA: (2015/16–2024/25) Kwa mujibu wa takwimu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), makusanyo ya kodi yamekuwa yakiongezeka kwa utaratibu katika kipindi cha miaka kumi iliyopita — na kufikia kiwango cha juu zaidi cha TSh trilioni 32.3 kwa mwaka

📊 MAKUSANYO YA KODI NCHINI TANZANIA: (2015/16–2024/25)

Kwa mujibu wa takwimu kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), makusanyo ya kodi yamekuwa yakiongezeka kwa utaratibu katika kipindi cha miaka kumi iliyopita — na kufikia kiwango cha juu zaidi cha TSh trilioni 32.3 kwa mwaka
Gilly Bonny Tv (@gillybonnytv) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewaagiza viongozi na watumishi wa Wizara hiyo kuendelea kufanya kazi kwa bidii, weledi na uaminifu ili kuendelea kusimamia uchumi wa nchi. Ametoa agizo hilo wakati wa Kikao cha watumishi wa Wizara hiyo ambacho kinatoa fursa

Haki Ngowi (@hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Arusha ▪️DKT. NCHEMBA AIPONGEZA TRA KWA UFANISI Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa kuna ongezeko kubwa la makusanyo ya kodi mara tu baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kuingia madarakani ambapo kwa mwaka wa fedha 2021/22, TRA ilikusanya shilingi

📍Arusha

▪️DKT. NCHEMBA AIPONGEZA TRA KWA UFANISI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa kuna ongezeko kubwa la makusanyo ya kodi mara tu baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kuingia madarakani ambapo kwa mwaka wa fedha 2021/22, TRA ilikusanya shilingi
Mwigulu Nchemba, PhD (@mwigulunchemba1) 's Twitter Profile Photo

Leo katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, nimeungana na Mwamnyeto Foundation kushiriki mechi ya hisani ya kurudisha kwa jamii kati ya Team Mwamnyeto na Dodoma Combine.

Leo katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma, nimeungana na Mwamnyeto Foundation kushiriki mechi ya hisani ya kurudisha kwa jamii kati ya Team Mwamnyeto na Dodoma Combine.