Najua haiwahusu but Leo nilikuwa kanisani Wasee walae niliguzwa na Kirundu wakuu nataka kuburn incest tena ile ya kanisa ni kama iliisha kapisa π₯π€£π€£
Nyinyi mnatambua Solomon Na David Kwa bible mnasahau Jonah ,huyu msee alikuwa mzii bana , imagine alitumwa Na God and nigga was like "mkuu hio labda ujifanyie" π