NGUCHIRO🇹🇿 (@nguchiro47) 's Twitter Profile
NGUCHIRO🇹🇿

@nguchiro47

ID: 1393992506166190081

calendar_today16-05-2021 18:13:18

37,37K Tweet

2,2K Followers

1,1K Following

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: "(Gwajima) Ni Kiongozi wa kanisa ila kanisa lina utaratibu wake, kanisa ni taasisi- maana yake kuna Mchungaji msaidizi. Kama Gwajima kuna makosa amefanya yanayotosha kufungiwa kanisa, maana yake katika maneno yake kuna uhalifu, sasa kama ni uhalifu maana yake anashtakiwa

Kigogo Media (@kigogo2014) 's Twitter Profile Photo

IFIKE MAHALI HUYU MWENDAWAZIMU AWAJIBISHWE .. IMETOSHA SASA... INASHANGAZA sana kuendelea kumuacha huyu mwendawazimu anaendeleaa na haya mambo na vyombo husika viko kimya. Amekwisha chochea vurugu sana ndani ya nchi hii na kuchochea uasi kwa muda mrefu sana ameshindwa

IFIKE MAHALI HUYU MWENDAWAZIMU AWAJIBISHWE ..  IMETOSHA SASA...

INASHANGAZA sana kuendelea kumuacha huyu mwendawazimu anaendeleaa na haya mambo na vyombo husika viko kimya.

Amekwisha chochea vurugu sana ndani ya nchi hii na kuchochea uasi kwa muda mrefu sana ameshindwa
Kigogo Media (@kigogo2014) 's Twitter Profile Photo

Una strike hukusu nini? Yaani unafanya mgomo wa nini ? Mgomo wa kula? Au mgoma wa kusali? Hizo mbinu hazijawahi kuwa na matokeo chanya Tanzania. Yaani watu waku strike wako wapi? Ay hawa hapa? 👇

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: "Kinachoniogopesha mimi ni umma unavyoshangaa mchungaji kukemea mauaji, yaani Askofu Gwajima anavyokuwa maarufu kwa kukemea mauaji. Yaani tumefika kwenye kuwa taifa ambalo kiongozi wa kidini akiongea wema inakuwa ni jambo la kwenda 'viral' (kusambaa kwa watu wengi), maana

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Tarehe 03 Juni 2025, Kamati Kuu ya chama chetu (CHADEMA) imekaa, kupokea na kujadili juu ya taarifa aliyoitoa Msajili wa Vyama vya Siasa kwa umma tarehe 27 Mei 2025 ikiwa ni msingi kutoka kwenye barua aliyoiandika kwa Katibu Mkuu tarehe 12 Mei 2025, katika barua aliyoiandika kwa

"Tarehe 03 Juni 2025, Kamati Kuu ya chama chetu (CHADEMA) imekaa, kupokea na kujadili juu ya taarifa aliyoitoa Msajili wa Vyama vya Siasa kwa umma tarehe 27 Mei 2025 ikiwa ni msingi kutoka kwenye barua aliyoiandika kwa Katibu Mkuu tarehe 12 Mei 2025, katika barua aliyoiandika kwa
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"CHADEMA imeamua kumpeleka Msajili wa Vyama vya Siasa Mahakamani kutokana na kwamba imejiridhisha pasipo na shaka kwamba Msajili wa Vyama vya Siasa hana mamlaka ya kutafsiri Katiba ya chama kwa namna anavyoona yeye tofauti na uhalisia" -Heche "Tunataka wanachama wetu na

"CHADEMA imeamua kumpeleka Msajili wa Vyama vya Siasa Mahakamani kutokana na kwamba imejiridhisha pasipo na shaka kwamba Msajili wa Vyama vya Siasa hana mamlaka ya kutafsiri Katiba ya chama kwa namna anavyoona yeye tofauti na uhalisia" -Heche

"Tunataka wanachama wetu na
Mwananchi Newspapers (@mwananchinews) 's Twitter Profile Photo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche amesema chama hicho kinakwenda mahakamani kwa sababu Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeamua kuzuia ruzuku ya chama hicho. Heche ameeleza hayo leo Jumatano Juni 4,2025 wakati akisoma maazimio ya kamati kuu ya chama hicho

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali hatua ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia kulifuta kanisa la Ufufuo na Uzima, likiuita uamuzi huo kuwa wa kidhalimu na unaokiuka uhuru wa kuabudu kama unavyolindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungumza

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali hatua ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia kulifuta kanisa la Ufufuo na Uzima, likiuita uamuzi huo kuwa wa kidhalimu na unaokiuka uhuru wa kuabudu kama unavyolindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akizungumza
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Tanzania chini ya Makamu Mwenyekiti wake John Heche John Heche imemteuwa aliyekuwa Katibu Mkuu wake John Mnyika MNYIKA John John kuwa kaimu Katibu Mkuu wa Chama hicho kuanzia sasa

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Kuhusu taarifa aliyoitoa Msajili wa Vyama vya Siasa ya kuzuia ruzuku ya chama (CHADEMA), tunaenda Mahakamani kwa sababu Msajili wa Vyama vya Siasa amechukua jukumu la kuzuia ruzuku ya chama chetu, sasa sheria anayoisimamia Msajili mwenyewe yaani Sheria ya Vyama Siasa, kifungu

"Kuhusu taarifa aliyoitoa Msajili wa Vyama vya Siasa ya kuzuia ruzuku ya chama (CHADEMA), tunaenda Mahakamani kwa sababu Msajili wa Vyama vya Siasa amechukua jukumu la kuzuia ruzuku ya chama chetu, sasa sheria anayoisimamia Msajili mwenyewe yaani Sheria ya Vyama Siasa, kifungu
Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

"Msajili wa Vyama vya Siasa hana mamlaka ya kubatilisha maamuzi halali ya vikao vya chama kwa mujibu wa Katiba ya chama chetu (CHADEMA) na sio chombo cha kupokea malalamiko yoyote ya chama na wanachama wa chama cha siasa" -Heche "Kwenye chama humu, mtu anaweza kugombea labda

"Msajili wa Vyama vya Siasa hana mamlaka ya kubatilisha maamuzi halali ya vikao vya chama kwa mujibu wa Katiba ya chama chetu (CHADEMA) na sio chombo cha kupokea malalamiko yoyote ya chama na wanachama wa chama cha siasa" -Heche

"Kwenye chama humu, mtu anaweza kugombea labda