
Nuzulack J. Dausen
@nuzulack
CEO - @NuktaAfrica;
Journalist: Covering business, tech & data @NuktaTanzania, @Reuters & @JikoPoint | .
ID: 1362494473
https://www.clippings.me/nuzulack 18-04-2013 17:30:52
7,7K Tweet
4,4K Followers
1,1K Following




UNVEILING EAST AFRICA’S CLIMATE STRUGGLES 🌍 Extreme weather is fueling food insecurity across East Africa—floods, droughts, and rising costs are reshaping lives. 📖 Read more: shorturl.at/zfKI6 Ukweli Coalition Media Hub #ClimateCrisis #FoodInsecurity #ClimateAction





📣📣Usikose kushiriki mjadala muhimu kuhusu nafasi ya Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) katika mabadiliko ya tasnia ya habari. Tutajadili fursa, changamoto na mustakabali wa uandishi huru wa habari. Ni jioni hii saa 12:00 kupitia Jamii Forums!


"Hizi AI nyingi ziko kwenye majaribio, uhakiki wa data zake ni muhimu wa sababu tuna wajibu wa kuwapatia walaji takwimu sahihi kwa ajili ya kuboresha maisha yao,"- Nuzulack J. Dausen, Afisa Mtendaji Mkuu Nukta Africa #AIMedia #WPFD2025


"Miaka 10 ijayo, vyombo vingi vya habari vitakuwa vinatumia #AI katika mfumo mzima wa uchakataji na usambazaji wa habari. AI inaenda katika ngazi ya chini ya jamii, tuangalie fursa tutoke tunayo," Nuzulack J. Dausen, Afisa Mtendaji Mkuu Nukta Africa. #WPFD2025 #AIinMedia




ARUSHA: Mkurugenzi mtendaji wa Nukta Africa Nuzulack J. Dausen "Kutumia Akili Mnemba (AI) kunapunguza gharama na muda wa kutengeneza maudhui, lakini vyombo vya habari vinapaswa kujifunza mbinu za kupata kipato kupitia Akili Mnemba (AI)". #WorldPressFreedomDay #wpfd2025




Kutoka hasara ya zaidi ya Sh20 bilioni mwaka 2022 hadi faida ya Sh90.5 bilioni. Kampuni ya Vodacom Tanzania imetangaza faida baada ya kodi ya Sh90.5 bilioni ktk mwaka ulioishia Machi, 2025 ikichochewa zaidi na ongezeko la mapato ya huduma na kuminya matumizi.

