Nuzulack J. Dausen (@nuzulack) 's Twitter Profile
Nuzulack J. Dausen

@nuzulack

CEO - @NuktaAfrica;
Journalist: Covering business, tech & data @NuktaTanzania, @Reuters & @JikoPoint | .

ID: 1362494473

linkhttps://www.clippings.me/nuzulack calendar_today18-04-2013 17:30:52

7,7K Tweet

4,4K Followers

1,1K Following

NuktaFakti (@nuktafakti) 's Twitter Profile Photo

Haya apa majibu ya Chemshabongo iliyopita juu ya usahihi wa kuvumbua ukweli kuwa ni picha ipi kati ya A na B ni halisi. Je, majibu yako yalikuwa sahihi ? #VumbuaUkweli na Nukta Fakti

Haya apa majibu ya Chemshabongo iliyopita juu ya usahihi wa kuvumbua ukweli kuwa ni picha ipi kati ya A na B ni halisi.

Je, majibu yako yalikuwa sahihi ?
#VumbuaUkweli na Nukta Fakti
GIJN Africa (@gijnafrica) 's Twitter Profile Photo

Experts say the fact that any reporter, anywhere, can easily grab an image of any place via open source platforms for ever-more story topics represents a game-changer for watchdog journalists, including those in less-resourced newsrooms. đź”— Dive deeper: twp.ai/1RK1aY

Daniel Samson (@danielchanger) 's Twitter Profile Photo

UNVEILING EAST AFRICA’S CLIMATE STRUGGLES 🌍 Extreme weather is fueling food insecurity across East Africa—floods, droughts, and rising costs are reshaping lives. 📖 Read more: shorturl.at/zfKI6 Ukweli Coalition Media Hub #ClimateCrisis #FoodInsecurity #ClimateAction

Jamii Forums (@jamiiforums) 's Twitter Profile Photo

Ni kwa namna gani matumizi ya AI katika Sekta ya Habari yanaweza kuhakiki usahihi ukweli wa taarifa na kugundua Habari za uongo? Kufahamu haya na mengine, usikose kujiunga nasi katika Mjadala maalum na Wataalamu, Jumanne hii kuanzia Saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia Xspaces ya

Ni kwa namna gani matumizi ya AI katika Sekta ya Habari yanaweza kuhakiki usahihi ukweli wa taarifa na kugundua Habari za uongo?

Kufahamu haya na mengine, usikose kujiunga nasi katika Mjadala maalum na Wataalamu, Jumanne hii kuanzia Saa 12 jioni hadi 2 usiku, kupitia Xspaces ya
Nuzulack J. Dausen (@nuzulack) 's Twitter Profile Photo

Have you upgraded your skills this year? Here is another chance from @NuktaAfricato gain one of the most needed skills in the labour market today.

World Press Freedom Day (2025) (@wpfd_tz) 's Twitter Profile Photo

📣📣Usikose kushiriki mjadala muhimu kuhusu nafasi ya Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) katika mabadiliko ya tasnia ya habari. Tutajadili fursa, changamoto na mustakabali wa uandishi huru wa habari. Ni jioni hii saa 12:00 kupitia Jamii Forums!

📣📣Usikose kushiriki mjadala muhimu kuhusu nafasi ya Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) katika mabadiliko ya tasnia ya habari. Tutajadili fursa, changamoto na mustakabali wa uandishi huru wa habari.

Ni jioni hii saa 12:00 kupitia <a href="/JamiiForums/">Jamii Forums</a>!
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

"Hizi AI nyingi ziko kwenye majaribio, uhakiki wa data zake ni muhimu wa sababu tuna wajibu wa kuwapatia walaji takwimu sahihi kwa ajili ya kuboresha maisha yao,"- Nuzulack J. Dausen, Afisa Mtendaji Mkuu Nukta Africa #AIMedia #WPFD2025

"Hizi AI nyingi ziko kwenye majaribio, uhakiki wa data zake ni muhimu wa sababu tuna wajibu wa kuwapatia walaji takwimu sahihi kwa ajili ya kuboresha maisha yao,"- <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a>, Afisa Mtendaji Mkuu <a href="/NuktaAfrica/">Nukta Africa</a> 
#AIMedia #WPFD2025
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

"Miaka 10 ijayo, vyombo vingi vya habari vitakuwa vinatumia #AI katika mfumo mzima wa uchakataji na usambazaji wa habari. AI inaenda katika ngazi ya chini ya jamii, tuangalie fursa tutoke tunayo," Nuzulack J. Dausen, Afisa Mtendaji Mkuu Nukta Africa. #WPFD2025 #AIinMedia

"Miaka 10 ijayo, vyombo vingi vya habari vitakuwa vinatumia #AI katika mfumo mzima wa uchakataji na usambazaji wa habari. AI inaenda katika ngazi ya chini ya jamii, tuangalie fursa tutoke tunayo," <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a>, Afisa Mtendaji Mkuu <a href="/NuktaAfrica/">Nukta Africa</a>.
#WPFD2025 #AIinMedia
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

FURSA! Mafunzo ya Uchambuzi na Uwasilishaji wa Takwimu za Miradi ya Serikali Ingia hapa kwa maelezo zaidi >>> shorturl.at/gkWTW #data #dataviz

Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

As we celebrate this remarkable day, May the spirit of unity and togetherness continue to inspire progress, peace, and prosperity for our great nation. Happy Union Day! #happyunionday

As we celebrate this remarkable day, May the spirit of unity and togetherness continue to inspire progress, peace, and prosperity for our great nation.

Happy Union Day!

#happyunionday
Nukta Africa (@nuktaafrica) 's Twitter Profile Photo

ARUSHA: Mkurugenzi mtendaji wa Nukta Africa Nuzulack J. Dausen "Kutumia Akili Mnemba (AI) kunapunguza gharama na muda wa kutengeneza maudhui, lakini vyombo vya habari vinapaswa kujifunza mbinu za kupata kipato kupitia Akili Mnemba (AI)". #WorldPressFreedomDay #wpfd2025

ARUSHA: Mkurugenzi mtendaji wa Nukta Africa <a href="/nuzulack/">Nuzulack J. Dausen</a> 
"Kutumia Akili Mnemba (AI) kunapunguza gharama na muda wa kutengeneza maudhui, lakini vyombo vya habari vinapaswa kujifunza mbinu za kupata kipato kupitia Akili Mnemba (AI)".

#WorldPressFreedomDay #wpfd2025
NuktaFakti (@nuktafakti) 's Twitter Profile Photo

"Baadhi ya watu wanatumia vibaya vyanzo vya taarifa, kwaiyo Ili tuweze kukabiliana na hili lazima tutoe elimu na ujuzi Kwa umma na waandishi wa habari namna nzuri na njia sahihi ya kuchambua taarifa." amesema Dausen, Mkurugenzi Mkuu, Nukta Africa.

"Baadhi ya watu wanatumia vibaya vyanzo vya taarifa, kwaiyo Ili tuweze kukabiliana na hili lazima tutoe elimu na ujuzi Kwa umma na waandishi wa habari namna nzuri na njia sahihi ya kuchambua taarifa." amesema Dausen, Mkurugenzi Mkuu, Nukta Africa.
Nuzulack J. Dausen (@nuzulack) 's Twitter Profile Photo

Tanzania's central bank report shows credit to agricultural activities retained the highest growth rate at 36.3% due to the "Bank's policy measures to promote low-cost credit for agriculture" and other government initiatives aimed at boosting agricultural productivity. Mining...?

Tanzania's central bank report shows credit to agricultural activities retained the highest growth rate at 36.3% due to the "Bank's policy measures to promote low-cost credit for agriculture" and other government initiatives aimed at boosting agricultural productivity. Mining...?
Nuzulack J. Dausen (@nuzulack) 's Twitter Profile Photo

Kutoka hasara ya zaidi ya Sh20 bilioni mwaka 2022 hadi faida ya Sh90.5 bilioni. Kampuni ya Vodacom Tanzania imetangaza faida baada ya kodi ya Sh90.5 bilioni ktk mwaka ulioishia Machi, 2025 ikichochewa zaidi na ongezeko la mapato ya huduma na kuminya matumizi.

NuktaFakti (@nuktafakti) 's Twitter Profile Photo

Chukua hatua hizi kuhakiki taarifa kabla ya kuamini na kuchukua jukumu la kusambaza. #ThibitishaKablaYaKusambaza #PingaUzushi #VumbuaUkweli Na Nukta Fakti

Nuzulack J. Dausen (@nuzulack) 's Twitter Profile Photo

Tanzania kuna vijana wengi wanaozalisha bidhaa na huduma za kibunifu. Wiki iliyopita nilishuhudia baadhi wakionyesha ubunifu wao wakati wa tamasha la Innovation Week Tanzania na Future Ready Summit, Dar es Salaam. Iwapo tukiwaunga mkono kununua bidhaa na huduma zao, watatoboa.

Tanzania kuna vijana wengi wanaozalisha bidhaa na huduma za kibunifu. Wiki iliyopita nilishuhudia baadhi wakionyesha ubunifu wao wakati wa tamasha la Innovation Week Tanzania na Future Ready Summit, Dar es Salaam. 
Iwapo tukiwaunga mkono kununua bidhaa na huduma zao, watatoboa.