Oscar Nickson Nkembo (@oscarnickson20) 's Twitter Profile
Oscar Nickson Nkembo

@oscarnickson20

Tanzanian 🇹🇿 Professional Journalist / Sports Caster & Football Commentator

ID: 851010187813150720

calendar_today09-04-2017 09:53:34

3,3K Tweet

1,1K Followers

1,1K Following

Samatime Car Dealers Co Ltd (@samatimemagari) 's Twitter Profile Photo

🚨Yes Mwaka 1991 ndo Mitsubishi RVR anazaliwa huko Japan. . Ilipofika 2002 uzalishaji ukasimama wenyewe wanaita [production halt]. . Huu ni usimamishaji wa uzalishaji kutokana na kushuka kwa mauzo na kutopokea order mpya. . Najua umejiuliza kwanini uzalishaji ulisimama, sababu👇

🚨Yes Mwaka 1991 ndo Mitsubishi RVR anazaliwa huko Japan.
.
Ilipofika 2002 uzalishaji ukasimama wenyewe wanaita [production halt].
.
Huu ni usimamishaji wa uzalishaji kutokana na kushuka kwa mauzo na kutopokea order mpya.
.
Najua umejiuliza kwanini uzalishaji ulisimama, sababu👇
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (@gcla1895) 's Twitter Profile Photo

Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali inashiriki Maonesho ya “Wakulima Festival” yanayoendelea katika viwanja vya Jojo Satilya Halmashauri ya Mbeya vijijini kuanzia Aprili 24 - 30, 2025. tembelea banda letu upate elimu jinsi ambavyo mkulima anaweza kutumia maabara zetu kuongeza tija katika kilimo.

<a href="/Gcla1895/">Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali</a> inashiriki Maonesho ya “Wakulima Festival” yanayoendelea katika viwanja vya Jojo Satilya Halmashauri ya Mbeya vijijini kuanzia Aprili 24 - 30, 2025. tembelea banda letu upate elimu jinsi ambavyo mkulima anaweza kutumia maabara zetu kuongeza tija katika kilimo.
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (@gcla1895) 's Twitter Profile Photo

Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wakulima kuzitumia maabara zilizopo Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kufanya uchunguzi wa udongo ili kujua aina gani ya zao la kulima katika eneo husika hali ambayo itasaidia kuongeza uzalishaji na kipato.

Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wakulima kuzitumia maabara zilizopo <a href="/Gcla1895/">Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali</a> kufanya uchunguzi wa udongo ili kujua aina gani ya zao la kulima katika eneo husika hali ambayo itasaidia kuongeza uzalishaji na kipato.
Oscar Nickson Nkembo (@oscarnickson20) 's Twitter Profile Photo

Ni muda wetu @officialmbeyacityfc Kila laheri nitakuwa CCM -Sokoine leo kuwaunga Mkono 💜💜💜💜 @officialmbeyacityfc @addykalinjila_ @gwamakamwankota255

Ni muda wetu @officialmbeyacityfc Kila laheri nitakuwa CCM -Sokoine leo kuwaunga Mkono 💜💜💜💜

@officialmbeyacityfc @addykalinjila_ @gwamakamwankota255
Oscar Nickson Nkembo (@oscarnickson20) 's Twitter Profile Photo

Mara ya mwisho Tulikutana Bongo FM kwenye Show namba moja ya Michezo Sports Venue , Baada ya Miezi 10 tumekutana tena aisee na Ndugu yangu Robert Mihayo Jandika @takwimu_za_michezo , Wakati mzuri sana aisee @takwimu_za_michezo Oscar Nickson Nkembo

Mara ya mwisho Tulikutana <a href="/bongotzfm/">Bongo FM</a> kwenye Show namba moja ya Michezo Sports Venue , Baada ya Miezi 10 tumekutana tena aisee na Ndugu yangu Robert Mihayo Jandika @takwimu_za_michezo , Wakati mzuri sana aisee 

@takwimu_za_michezo <a href="/oscarnickson20/">Oscar Nickson Nkembo</a>
Oscar Nickson Nkembo (@oscarnickson20) 's Twitter Profile Photo

ni kweli hatujabeba Europa mimi nimefurahi tofauti na wengi kwasababu kutobeba kunaipa management uhalisia wa kikosi chetu na kuwajibika kufanyia kazi mapendekezo ya Ruben Amorim laiti tungechukua ubingwa ungetusahaulisha uhalisia wetu , Matokeo haya ni mazuri kuliko ushindi

Oscar Nickson Nkembo (@oscarnickson20) 's Twitter Profile Photo

Whatsap inashida gani mbona sielewi inanivuruga nimeona kuna jamaa tunaheshimiana Kapost vitu vya ajabu sio Kawaida status zinapandiana vibaya WhatsApp

Pope Leo XIV (@pontifex) 's Twitter Profile Photo

Bara la Afrika linatoa ushuhuda mkubwa kwa ulimwengu mzima. Asante kwa kuishi imani yenu katika Yesu Kristo. Ni jinsi gani ilivyo muhimu kwamba kila mbatizwa ajisikie kuitwa na Mungu kuwa ishara ya matumaini katika Ulimwengu wa leo.

David Ornstein (@david_ornstein) 's Twitter Profile Photo

🚨 Manchester United have now met terms of £62.5m release clause in Matheus Cunha contract at Wolverhampton Wanderers - so #WWFC have given #MUFC permission to conclude deal with 26yo Brazil int’l forward, conduct medical & complete transfer The Athletic | Football nytimes.com/athletic/62986…

David Ornstein (@david_ornstein) 's Twitter Profile Photo

🚨 EXCLUSIVE: Manchester United make improved bid to sign Bryan Mbeumo from Brentford. New offer for 26yo forward worth £65m fixed + £5m add-ons. #MUFC awaiting #BrentfordFC response as they work to close deal for Cameroon int’l & top target The Athletic | Football nytimes.com/athletic/64569…