Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile
Salim Bimani

@salimbimani2

National Secretary for Publicity and Communications @actwazalendo Tanzania/Zanzibar.

ID: 872914170274033666

linkhttps://www.facebook.com/pg/Salim-A-Bimani-1203727296338571/about/ calendar_today08-06-2017 20:32:10

7,7K Tweet

24,24K Followers

1,1K Following

Jambo TV (@jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo, Mtutura Abdallah Mtutura, amedai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Chama Cha Mapinduzi kilitamani ACT Wazalendo kisusie uchaguzi, ili waweze kushinda kwa urahisi, lakini ACT imekataa na kuamua kuwakabili vilivyo. Akihutubia mkutano wa

ACTWazalendo (@actwazalendo) 's Twitter Profile Photo

Kesho Mei 03, 2025 kutakuwa na Mkutano wa Hadhara Jimbo la Kigoma Kaskazini. KC Mstaafu Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe na Mwenyekiti wa ACTWazalendo Mkoa wa Kigoma Ndugu Kiza Mayeye. watakuwepo na kuhutubia. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Kesho Mei 03, 2025 kutakuwa na Mkutano wa Hadhara Jimbo la Kigoma Kaskazini. KC Mstaafu Ndugu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> na Mwenyekiti wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Mkoa wa Kigoma Ndugu <a href="/kizamayeye_/">Kiza Mayeye.</a> watakuwepo na kuhutubia. 

#MuhuniHasusiwi 
#OperesheniLindaDemokrasia
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Kesho Mei 03, 2025 kutakuwa na Mkutano wa Hadhara Jimbo la Kigoma Kaskazini. KC Mstaafu Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe na Mwenyekiti wa ACTWazalendo Mkoa wa Kigoma Ndugu @kizamayeye_official watakuwepo na kuhutubia. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Kesho Mei 03, 2025 kutakuwa na Mkutano wa Hadhara Jimbo la Kigoma Kaskazini. KC Mstaafu Ndugu <a href="/zittokabwe/">Zitto MwamiRuyagwa Kabwe</a> na Mwenyekiti wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Mkoa wa Kigoma Ndugu @kizamayeye_official watakuwepo na kuhutubia. 

#MuhuniHasusiwi 
#OperesheniLindaDemokrasia
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Maadhimisho ya Miaka 11 ya ACTWazalendo Kitaifa yatafanyika Ofisi za Makao Makuu Jijini Dar es salaam. Mgeni rasmi ni KC Dorothy Semu #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Maadhimisho ya Miaka 11 ya <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Kitaifa yatafanyika Ofisi za Makao Makuu Jijini Dar es salaam. Mgeni rasmi ni KC <a href="/dorothysemu/">Dorothy Semu</a>

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Kesho tarehe 15 Mei 2025, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu atakutana na watiania wa Ubunge na Udiwani kutoka majimbo yote ya Mkoa wa Songwe. Kikao kitafanyika katika Jimbo la Vwawa. #OperesheniLindaDemokrasia #TaifaLaWote #MaslahiYaWote

Kesho tarehe 15 Mei 2025, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu atakutana na watiania wa Ubunge na Udiwani kutoka majimbo yote ya Mkoa wa Songwe. Kikao kitafanyika katika Jimbo la Vwawa. 

#OperesheniLindaDemokrasia 
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Kesho ni zamu ya Mbeya. Katibu Mkuu wa ACT Wazalemdo Ndugu Ado Shaibu atakutana na watiania wa Ubunge na Udiwani kutoka Majimbo yote ya Mkoa wa Mbeya. #OperesheniLindaDemokrasia #TaifaLaWote #MaslahiYaWote.

Kesho ni zamu ya Mbeya. Katibu Mkuu wa ACT Wazalemdo Ndugu Ado Shaibu atakutana na watiania wa Ubunge na Udiwani kutoka Majimbo yote ya Mkoa wa Mbeya. #OperesheniLindaDemokrasia #TaifaLaWote #MaslahiYaWote.
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Leo Mei 15, 2025 Makamu Mwenyekiti ACTWazalendo Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita amekutana na viongozi wa Ngome ya Wazee wa kata 20 za Manispaa ya Lindi. Makamu Mwenyekiti amewaeleza uamuzi wa chama kushiriki Uchaguzi wa 2025 kama sehemu ya utekelezaji wa operesheni Linda Demokrasia.

Leo Mei 15, 2025 Makamu Mwenyekiti <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Bara, Ndugu <a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a> amekutana na viongozi wa <a href="/NgomeyaWazee/">Ngome ya Wazee</a> wa kata 20 za Manispaa ya Lindi. 

Makamu Mwenyekiti amewaeleza uamuzi wa chama kushiriki Uchaguzi wa 2025 kama sehemu ya utekelezaji wa operesheni Linda Demokrasia.
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa chama cha ACT WAZALENDO Taifa Othman Masoud Othman ameingia Kisiwa katika Tumbatu Unguja kwa ajili kuangalia maendeleo ya chama na kutembelea wagonjwa pamoja na Jioni atamalizia Mkutano wa hadhara

Mwenyekiti wa chama cha ACT WAZALENDO Taifa Othman Masoud Othman ameingia Kisiwa katika Tumbatu   Unguja kwa ajili kuangalia maendeleo ya chama na kutembelea wagonjwa pamoja na  Jioni atamalizia Mkutano wa hadhara
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Kesho Makamu Mwenyekiti Bara ndugu Isihaka Mchinjita atazungumza na waandishi wa habari. Wote mnakaribishwa. #Taifalawote #Maslahiyawote #OpareshenilindaDemokrasia

Kesho Makamu Mwenyekiti Bara ndugu <a href="/MchinjitaIR/">Isihaka Mchinjita</a> atazungumza na waandishi wa habari. Wote mnakaribishwa.

#Taifalawote
#Maslahiyawote
#OpareshenilindaDemokrasia
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu wa ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu atafanya ziara ya siku mbili katika Jimbo la Same Mashariki; Mkoa wa Kilimanjaro. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Katibu Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> atafanya ziara ya siku mbili katika Jimbo la Same Mashariki; Mkoa wa Kilimanjaro.

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Hongera Sana KM Ado Shaibu ACTWazalendo Kwa kuwapokea kwa mamia Wanachama wa Chadema,CCM, CUF, wa Same Mashariki Kujiunga na Act Wazalendo Chama Makini chenye dhamira ya Kuwakomboa Watanzania.

Hongera Sana KM Ado Shaibu <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>  Kwa kuwapokea kwa mamia Wanachama wa Chadema,CCM, CUF, wa Same Mashariki Kujiunga na Act Wazalendo Chama Makini chenye dhamira ya Kuwakomboa Watanzania.
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Leo Mei 26, 2025 Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Ndugu @othmanmasoudothman amesema Tanzania inarudi katika utawala wa mabavu na kwamba falsafa ya maridhiano imekiukwa. Akihutubia wananchi huko Lamadi, Simiyu

Leo Mei 26, 2025 Mwenyekiti wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a> Taifa, Ndugu @othmanmasoudothman amesema Tanzania inarudi katika utawala wa mabavu na kwamba falsafa ya maridhiano imekiukwa. Akihutubia wananchi huko Lamadi, Simiyu
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

alisema viashiria kama utekaji, vipigo na udhalilishaji wa raia vinaonyesha kudorora kwa demokrasia kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Alisisitiza kuwa ACT-Wazalendo itashiriki uchaguzi huo ili kuzuia CCM kushiriki peke yake. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

alisema viashiria kama utekaji, vipigo na udhalilishaji wa raia vinaonyesha kudorora kwa demokrasia kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Alisisitiza kuwa ACT-Wazalendo itashiriki uchaguzi huo ili kuzuia CCM kushiriki peke yake. 

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia
Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa ACTWazalendo Othman Masoud Othman amekemea kauli ya Mbunge Maryam O. Said ya kutaka Martha Karua SC apigwe, akisema hakuchaguliwa kihalali—alitangazwa na kura 36 tu dhidi ya 5000 za mgombea wa ACT. “Hana uchungu na wananchi,” alisema. #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

MwanaHALISI Digital (@mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

Jana tarehe 28 Mei 2025, ACT Wazalendo imevuna wanachama wapya 210 katika Kata ya Kyang'ombe Jimbo la Rorya baada ya hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa, Othman Masoud Othman (OMO) ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Othman Masoud anaendelea na ziara yake

Salim Bimani (@salimbimani2) 's Twitter Profile Photo

Kesho Juni 03, 2025 Katibu Mkuu wa ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu atazungumza na waandishi wa habari. Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM Muda: 7:00 Mchana #MuhuniHasusiwi #OperesheniLindaDemokrasia

Kesho Juni 03, 2025 Katibu Mkuu wa <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>, Ndugu <a href="/AdoShaibu/">Ado Shaibu</a> atazungumza na waandishi wa habari.

Mahala: Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM
Muda: 7:00 Mchana

#MuhuniHasusiwi
#OperesheniLindaDemokrasia