Mduda (@semgongolwa) 's Twitter Profile
Mduda

@semgongolwa

Content Producer

ID: 481925574

calendar_today03-02-2012 10:09:25

1,1K Tweet

479 Followers

890 Following

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Hapa ndipo Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi utakapofanyika kuanzia kesho hadi keshokutwa tarehe 19. Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, Dodoma, Tanzania. #CrownDigital #CCMKutanoMkuu

Mduda (@semgongolwa) 's Twitter Profile Photo

Mama ⁦Samia Suluhu⁩ Hongera kwa kazi kubwa unayofanya kuwainua wanawake Tanzania,Mama katika Ng’ombe uliopewa Muheza mimi ninaomba wawili majike ili waweze nisaidia kiuchumi.Eneo tayari ninayo Mkoani Iringa. Asante🙏🏿

Mama ⁦<a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a>⁩ Hongera kwa kazi kubwa unayofanya kuwainua wanawake Tanzania,Mama katika Ng’ombe uliopewa Muheza mimi ninaomba wawili majike ili waweze nisaidia kiuchumi.Eneo tayari ninayo Mkoani Iringa.
Asante🙏🏿
Mduda (@semgongolwa) 's Twitter Profile Photo

Tunatoa suluhisho la usafi wa Nyumba yako,Ofisi,Kiwanda na kwingineko kwa kufanya usafi utakaoacha eneo lako liko safi tupigie 0717061304.tuko tayari kukuhudumia.

Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Mtayarishaji wa Vipindi kutoka Crown Media Mackriner Siyovelwa Mduda Ameshinda tuzo ya Merk Foundation kwenye kipengele cha ‘More Than a Mother’ kwa upande Multimedia Afrika Mashariki ambayo iliangazia matatizo ya Afya ya Uzazi kwa Jamii. Tuzo hizi ni moja ya Tuzo kubwa

Mtayarishaji wa Vipindi kutoka Crown Media Mackriner Siyovelwa <a href="/semgongolwa/">Mduda</a> Ameshinda tuzo ya Merk Foundation kwenye kipengele cha ‘More Than a Mother’ kwa upande Multimedia Afrika Mashariki ambayo iliangazia matatizo ya Afya  ya Uzazi kwa Jamii.

Tuzo hizi ni moja ya Tuzo kubwa
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Naibu Mkurugenzi wa CROWN MEDIA Salim Kikeke Amepewa Tuzo Maalum kwa kutambua Mchango wake na jitihada kutanabaisha Lugha Adhimu ya Kiswahili Ndani na Nje ya Nchi. Tuzo hiyo imetolewa na Chama cha Wanafunzi na Wahitimu wa Kiswahili wa Vyuo Vikuu na vya Kati Tanzania (CHAWAKITA) kwenye

Naibu Mkurugenzi wa CROWN MEDIA <a href="/Salym/">Salim Kikeke</a> Amepewa Tuzo Maalum kwa kutambua Mchango wake na jitihada kutanabaisha Lugha Adhimu ya Kiswahili Ndani na Nje ya Nchi.

Tuzo hiyo imetolewa na Chama cha Wanafunzi na Wahitimu wa Kiswahili wa Vyuo Vikuu na vya Kati Tanzania (CHAWAKITA) kwenye
Crown Media (@crownmediatz) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongoza mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya yaliyofanyika nyumbani kwake Usangi Mkoani Kilimanjaro. Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro na Viongozi mbalimbali wa Serikali wameshiriki