Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile
Simon Mkina

@sibosiso

Servant of truth. seasoned investigative journo-editor, publisher, columnist, media critic, CEO, father, son, husband, patriotic Tanzanian. RT not endorsement

ID: 87944100

linkhttp://www.tampa.or.tz calendar_today06-11-2009 13:54:55

3,3K Tweet

2,2K Followers

1,1K Following

Maria Sarungi Tsehai (@mariastsehai) 's Twitter Profile Photo

Mngejua #NoReformNoElection inavyowanyima usingizi CCM msingeichukulia poa! Yaani kwa sasa focus ni #KatibaMpya na marekebisho makubwa ya mfumo kuhakikisha Uchaguzi Huru na wa Haki nje ya hapo - hakuna uchaguzi! Yaani fanyeni kama vile mnaendesha uchaguzi ila legitimacy yenu

Mngejua #NoReformNoElection inavyowanyima usingizi CCM msingeichukulia poa! Yaani kwa sasa focus ni #KatibaMpya na marekebisho makubwa ya mfumo kuhakikisha Uchaguzi Huru na wa Haki nje ya hapo - hakuna uchaguzi!
Yaani fanyeni kama vile mnaendesha uchaguzi ila legitimacy yenu
Mfanyakazi Online Media (@mfanyakazinews) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Watanzania waliokwama kwenye vita nchini Kongo (DRC) waomba msaada baada ya waasi wa kikundi cha M23 kinachoungwa mkono na Rwanda kuuteka mji wa DRC wa Goma

Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Heri kwa kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa. Miaka 51 iliyopita, kule Singida ulitua duniani... umeendelea kubarikiwa kwa uhai. Rudisha sifa na utukufu kwa Muumba. Kila heri kwako rafiki January Makamba

Heri kwa kumbukizi ya siku yako ya kuzaliwa. Miaka 51 iliyopita, kule Singida ulitua duniani... umeendelea kubarikiwa kwa uhai. Rudisha sifa na utukufu kwa Muumba. Kila heri kwako rafiki <a href="/JMakamba/">January Makamba</a>
Kassala (@vicent_kassala) 's Twitter Profile Photo

Tunaitaka Serikali mara moja iwasilishe bungeni bajeti ndogo ili kuziba pengo linalojitokeza kufuatia kusitishwa kwa misaada ya USAID. Wajibu wa serikali ni kuhudumia watu wake kupitia kodi inazokusanya. Tunataka kuona uwajibikaji huo. Dr Elizabeth Sanga Wasemaji wa Kisekta ACTWazalendo

Tunaitaka Serikali mara moja iwasilishe bungeni bajeti ndogo ili kuziba pengo linalojitokeza kufuatia kusitishwa kwa misaada ya USAID. Wajibu wa serikali ni kuhudumia watu wake kupitia kodi inazokusanya. Tunataka kuona uwajibikaji huo.
<a href="/DrBSanga/">Dr Elizabeth Sanga</a>
<a href="/ACTBarazaKivuli/">Wasemaji wa Kisekta</a> <a href="/ACTwazalendo/">ACTWazalendo</a>
Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Toleo la leo la gazeti lako la Pambazuko. Pata nakala yako BURE kwa kutuma ujumbe huu - HABARI kwenda namba 0744 768 263 kupitia WhatsApp, nawe utaanza kupata gazeti hili kila Jumatatu. Sambaza fursa hii kwa ndugu, jamaa na marafiko waajiunge kwa wingi. Ni haki yako kupata habari

Toleo la leo la gazeti lako la Pambazuko. Pata nakala yako BURE kwa kutuma ujumbe huu - HABARI kwenda namba 0744 768 263 kupitia WhatsApp, nawe utaanza kupata gazeti hili kila Jumatatu. Sambaza fursa hii kwa ndugu, jamaa na marafiko waajiunge kwa wingi. Ni haki yako kupata habari
Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Aksante Maria Sarungi Tsehai. Bado Watanzania wanapenda kupata ripoti ya mauaji ya Kibao. Wanataka kuona mamlaka zilizoagizwa na Samia Suluhu zinatekeleza amri aliyotoa kwao.

Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Kila mmoja wetu achangie alichonacho ili gazeti linalosambaza habari za kweli, uhakika, bila upendeleo -Pambazuko, liendelee kutenda kazi iliyotukuka. Pambazuko linalosambazwa BURE, limekuwa msaada mno kwa umma kutambua mengi yanayofichwa. Changia leo.

Kila mmoja wetu achangie alichonacho ili gazeti linalosambaza habari za kweli, uhakika, bila upendeleo -Pambazuko, liendelee kutenda kazi iliyotukuka.

Pambazuko linalosambazwa BURE,  limekuwa msaada mno kwa umma kutambua mengi yanayofichwa.

Changia leo.
Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Hakika Gazeti la Pambazuko limebeba mengi yenye kufungua ufahamu wa wasomaji ambao wana haki ya kupata habari BURE. Tuwatie shime kwa kuwachangia ili waendelee kutenda kazi iliyotukuka. Aksante sana kwa walioanza kuchangia. Kuwa mwanafamilia wa Pambazuko. Aksante Maria Sarungi Tsehai

Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Hello Martin Maranja Masese salama ndugu? Naona umechota habari ya gazeti la Pambazuko la leo kama ilivyoandikwa. Ukabeba na picha bila hata kusema umeitoa wapi. Ustaarabu na uungwana unapaswa kueleza kuwa habari na picha hii ni kwa mujibu wa gazeti la Pambazuko. Hujachelewa bado. Tenda.

Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Habari aliyoandika Martin Maranja Masese ameitoa hapa. Ustaarabu tu ungepaswa kumkumbusha kutaja gazeti la Pambazuko la leo kuwa ndiyo chanzo. Bado hajachelewa, ataje chanzo cha habari na picha aliyobandika kwenye ukurasa wa X.com

Habari aliyoandika <a href="/IAMartin_/">Martin Maranja Masese</a> ameitoa hapa. Ustaarabu tu ungepaswa kumkumbusha kutaja gazeti la Pambazuko la leo kuwa ndiyo chanzo. Bado hajachelewa, ataje chanzo cha habari na picha aliyobandika kwenye ukurasa wa X.com
Simon Mkina (@sibosiso) 's Twitter Profile Photo

Soma gazeti la umma. Soma Pambazuko linalokufikia wewe msomaji kila Jumatatu. Ni BURE kabisa. Unachotakiwa ni kujiunga kwa kuandika neno HABARI kwenye WhatsApp yako na kutuma kwenda namba 0744 768 263, nawe utakuwa umejiunga. Wahimize wengine pia kujiunga rifaly.com/newspaper/2036…