@south_kuzimu
ID: 1649017479404875777
calendar_today20-04-2023 11:50:23
2,2K Tweet
574 Followers
522 Following
a month ago
Ukimdharau mwanamke aliyelewa, pia hupaswi kumheshimu mwanaume aliyelewa, japo kumbuka kuna vitu huwa unapost humu ni vya hovyo afadhali ya mlevi.
Tactico la gender?.
Uchaggani kupata demu local kazi sanaa😎.
Mambo.
Ukimwonaa.
Wanapodi tipper za Mchina zinaua kiuno, vipi kuhusu tipper za Scania Godygodie .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Mungu walaze pema waliosemwa wakajiua.
Ndio maana harufu ya maziwa sana.
Mbona sijawahi kumwona Elon Musk kwenye harusi?.
Hakujawahi kuwa na utapeli kama wa smart kitochi.
Umaarufu ni pombe gani?. Mataptap kabisa yani.
Unamwita darling au wife mama-mamito, unapata habari za wanafki kuna walafi wanamla hadi jicho.
Husband material ndio tunatoka kanisani.
Hersi ana degree moja tuu kumbe.
Nashangaa wanaoamini FA ni rapper mkali.
Yote kwa yote Israel Mbonyi anaimba mnoo.
Wallah we dada unaonekana una stress sanaa, japo mimi sio nabii kama Yeremia au Isaya.
Bado mills 200 za ABV 38 nikae sawa, sema nimekuja mvisit mzee na hapendi.
Haya.