suleiman yeri (@suleimanyeri) 's Twitter Profile
suleiman yeri

@suleimanyeri

Journalist, News Anchor @ktnnewske Liverpool FC @LFC die hard. Views are my own.

ID: 264693242

linkhttps://www.tiktok.com/@suleimanyeri?_t=8iivbyTF9cn&_r=1 calendar_today12-03-2011 09:14:20

5,5K Tweet

7,7K Followers

1,1K Following

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Huku mgomo wa madaktari ukiendelea katika kaunti kadhaa humu nchini, muungano wa wauguzi umetishia kujiunga nao katika mgomo ili kuwajibisha serikali kutatua changamoto zinazowakumba nyanjani. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Aliyekuwa gavana wa Meru Kawira Mwangaza apambana na polisi waliokuwa wakimzuia kuendesha mkutano katika soko la Igoji, eneobunge la Imenti Kusini. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Wizara ya Maendeleo ya Kijamii ya Mandera yajiungua na ulimwengu kusherekea siku ya kimataifa ya kina mama kwa kuwazawidi kina mama waliojifungua katika hospitali ya rufaa ya Mandera. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Mwakilishi wa wanawake wa Nairobi Esther Passaris ajumuika na wanawake wa mtaa wa shauri moyo kuadhimisha siku ya kina mama. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa Embakasi Kaskazini, James Gakuya atoa shinikizo kwa Naibu Rais Kithure Kindiki kujiuzulu akisema hakuingia ofisini kihalali. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Wito watolewa kwa jamii inayoishi na changamoto ya ulemavu katika Kaunti ya Kisumu kujisajili kwenye shirika linalosimamia maswala ya walemavu humu nchini. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Wavuvi kutoka kaunti ya Kilifi wadai kwamba uhaba wa samaki unaoshuhudiwa sasa unatokana na matumizi mabaya na utupaji ovyo wa taka za plastiki katika bahari ya Hindi. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Zaidi ya nafasi elfu kumi za ajira zimebuniwa katika Kaunti ya Kilifi kupitia juhudi za serikali ya kaunti hiyo za kufufua sekta ya utalii. #Yanayojiri suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Njuguna Mwangi:Rais anapaswa kutilia maanani utoaji wa huduma na kuepuka kujihusisha na siasa, bali ahakikishe kuwa ametekeleza ahadi alizotoa kwa wananchi kwa miaka miwili iliyosalia. #Yanayojiri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Dr.Daniel Kanchory:Kauli ya Rigathi Gachagua ilikuwa onyo kwa serikali kufuata sheria wanapoliunda upya kundi la IEBC, na kuepuka kufanya jambo lolote litakaloipeleka nchi katika hali kama ile ya mwaka wa 2017. #Yanayojiri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Ghasia zashuhudiwa nyumbani kwa George Natembeya baada ya maafisa wa EACC kufanya oparesheni nyumbani kwake Kitale leo asubuhi. #MbiuYaKTN suleiman yeri

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Wataalamu wa teknolojia wahoji kuwa teknolojia ya Akili-Unde(AI) yatarajiwa kuwa na mchango mkubwa katika mageuzi ya utendakazi barani Afrika. #KTNLeo suleiman yeri