Sycilia Wakesho (@swakesho_) 's Twitter Profile
Sycilia Wakesho

@swakesho_

NewsAnchor/Editor NTV.Award winner journalist with a nose for inspirational /Educative stories; Instagram:@Swakesho_

ID: 2306429244

calendar_today23-01-2014 11:45:08

440 Tweet

1,1K Followers

1,1K Following

Sycilia Wakesho (@swakesho_) 's Twitter Profile Photo

Users reporting problems in accessing social media sites Facebook and Instagram, both owned by Meta; the company is yet to issue a statement on downtime. standardmedia.co.ke

FIDA-Kenya (@fidakenya) 's Twitter Profile Photo

Join us in congratulating our very own WakiliWambeti for her recognition as top 50 woman lawyer -Civil Society Practitioner during the recently concluded Nairobi Legal Awards 2024

Join us in congratulating our very own <a href="/Awireri/">WakiliWambeti</a> for her recognition as top 50 woman lawyer -Civil Society Practitioner during the recently concluded Nairobi Legal Awards 2024
Sycilia Wakesho (@swakesho_) 's Twitter Profile Photo

National Museums of Kenya dismisses reports of snakes 'escaping cages' as fake, says every exhibit is secure. standardmedia.co.ke

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Miaka 61 ya Uhuru,unajivunia nini kama MKenya?Miaka 61 baada ya Kenya kupata Uhuru ni nini serikali inastahili kufanya ili kuinua hali ya maisha ya WaKenya? #Factsfirst #KiooChaHoja Becky Muiruri Mulure Sycilia Wakesho

Miaka 61 ya Uhuru,unajivunia nini kama MKenya?Miaka 61 baada ya Kenya kupata Uhuru ni nini serikali inastahili kufanya ili kuinua hali ya maisha ya WaKenya?
#Factsfirst
#KiooChaHoja
<a href="/RebeccaMuiruri1/">Becky Muiruri Mulure</a> <a href="/swakesho_/">Sycilia Wakesho</a>
KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Alutalala Mukhwana: Tuliyonayo ni ahadi na matumaini kwa sababu tulimchagua Rais Ruto kwa sababu ya ahadi alizowapa wananchi.Wananchi wakamwamini wakampa uhuru, wakati amefika amefanya yeye kuwa mwenye kuanza safari aliyoaidi. Katika hiyo safari raia wameanza kuskia uchungu.

KTN News (@ktnnewske) 's Twitter Profile Photo

Alutalala Mukhwana: Upande wa kodi, si kwamba raia hawataki kutoa kodi lakini tunasema kwamba jamani usichonacho utakitoa vipi? Ni muhimu kwamba Rais anapoendelea na mpango wake na tuamini kwamba ako na mpango, anania njema maana akisimama kila wakati ni nia njema

benard_owino (@benard_owino_) 's Twitter Profile Photo

Omwamba 🇰🇪 Men LEARN Did you know that according to the National Police Service Act of 2011, assaulting a police officer especially on duty attracts a fine not exceeding Sh1 million, imprisonment for a term not exceeding 10 years or both.. before you act, elewa sheria.

Sycilia Wakesho (@swakesho_) 's Twitter Profile Photo

No matter the situation learn to control your emotions. Now the parents and siblings to the young man are the ones carrying the 🫠 #iannjoroge

Sycilia Wakesho (@swakesho_) 's Twitter Profile Photo

Treasury allocates Sh13.4b for conversion of intern teachers contracts to permanent and pensionable terms; Junior Secondary School teachers were on strike over employment terms. standardmedia.co.ke

Sycilia Wakesho (@swakesho_) 's Twitter Profile Photo

President William Ruto dismisses his entire Cabinet and AG Justin Muturi, retains Prime Cabinet Secretary and Foreign CS Musalia Mudavadi; PSs to run ministries. standardmedia.co.ke

NTV Kenya (@ntvkenya) 's Twitter Profile Photo

Michezo Ya Betika Bingwafest Mkondo wa mwisho wa michezo ya Betika BingwaFest msimu wa mwaka 2024/25 utafanyika kuanzia Ijumaa hii hadi Jumapili katika uwanja wa Nairobi Polo Club. #NTVMichezo Sycilia Wakesho

NTV Kenya (@ntvkenya) 's Twitter Profile Photo

Toleo la pili la gazeti la biashara BD kwa nembo "Legal Minds Classic" ya golf ilikamilika Ijumaa kwa mashindano ya kusisimua, yakiwaleta pamoja wanasheria, viongozi wa biashara, na takwimu nyingine maarufu. #NTVWikendi Sycilia Wakesho Fridah Mwaka Lofty Matambo

NTV Kenya (@ntvkenya) 's Twitter Profile Photo

Ruto: Muturi Akanyage Kubwa Kubwa! Rais Ruto amemfuta kazi Waziri Wa Huduma Za Umma Justin Muturi na kukamilisha miezi kadhaa ya mivutano baina ya Rais na waziri huyo. Ruto amemteua mbunge Geoffrey Ruku katika nafasi hiyo ya Muturi. #NTVJioni Sycilia Wakesho Ibrahim Karanja.

NTV Kenya (@ntvkenya) 's Twitter Profile Photo

Ugonjwa Wa Parkinson's: Wagonjwa wengi wanalalamikia ugumu katika kutambuliwa kwa ugonjwa huu kwa wakati unaofaa. Leo kwenye makala ya #AfyaYako tunaangazia ugonjwa huu wa kutetemeka. #NTVJioni Sycilia Wakesho

NTV Kenya (@ntvkenya) 's Twitter Profile Photo

Watu wanne wamepata majeraha baada ya jiko la kutengeneza chang'aa Kulipuka Kipkelion. Je,ni kipi umeshuhudia kuhusiana na chang'aa eneo unakotoka? #NTVMashinani Sycilia Wakesho

Watu wanne wamepata majeraha baada ya jiko la kutengeneza chang'aa Kulipuka Kipkelion. Je,ni kipi umeshuhudia kuhusiana na chang'aa eneo unakotoka?
#NTVMashinani  <a href="/swakesho_/">Sycilia Wakesho</a>
NTV Kenya (@ntvkenya) 's Twitter Profile Photo

DCP Walia Kuvurugwa na Serikali Chama cha DCP kimeishutumu serikali kwa vitisho vya kisiasa na hujuma baada ya mkutano wake huko Mbeere Kaskazini kuvurugwa siku ya Jumapili na kusababisha machafuko. polisi wanatuhumiwa kwa kurusha vitoza machozi kwenye umati wa watu