Temidayo (@thisistemidayo) 's Twitter Profile
Temidayo

@thisistemidayo

Importante @hade_travel

ID: 2920448416

linkhttps://tos.buzzsprout.com calendar_today13-12-2014 22:05:31

70,70K Tweet

19,19K Followers

1,1K Following

Arafat Ally Haji (@arafat__ah) 's Twitter Profile Photo

Huku ndio tulipotoka na Young Africans SC haikuwa rahisi, ila kwa sababu ya mapenzi ya dhati na klabu yetu ilitulazimu kuipa nguvu timu walau kwa kidogo tulichokuwa nacho na kutafuta wadhamini hadi leo kila mwanayanga anatembea kifua mbele. Hii ilikuwa mwaka 2018 viwanja vya Gymkana.

Temidayo (@thisistemidayo) 's Twitter Profile Photo

Ratiba ya Wakeraji hadi Ligi Ianze. Remija atakua roving Lubasha atakua anatokea Pembeni Madenge atakua anapiga kushoto kulia Humphrey atakua anaenda kama Mchambuzi Johnbest atakua anapita kati kati Temidayo yeye atapiga namba zote Hans Rafael atatulia Dimbani Ali Kamwe ni muda

Temidayo (@thisistemidayo) 's Twitter Profile Photo

Ukifikiria Yanga inamsajili 1. Feisal Salum Abdallah Faila Sufi Bin Zidane 2. Imeongeza Kiungo Mkabaji kama Rodri 3. Jonathan Sowah anasaini 4. Koh Koh anapona 5. Tunasajili Mpanzu aje awe anapishana na Maxi akihisi kuchoka😀😆 Unaona kabisa msimu ujao itakua balaaa zito😂

Temidayo (@thisistemidayo) 's Twitter Profile Photo

BREAKING: Mpanzu is reportedly unhappy after promises made to him remain unfulfilled. A transfer to Young Africans SC is now on. He wants to win trophies and only team he can see that is Yanga SC.

Kenny Mmari Snr. (@kennedymmari) 's Twitter Profile Photo

Biashara Asubuhi, Mahesabu Jioni. Leo, Jumamosi ya tarehe 28 Juni 2025, saa mbili kamili asubuhi, nimekuwa mtia nia wa kwanza kufika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Siha, Mkoa wa Kilimanjaro, kuchukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Siha. Hatua hii

Biashara Asubuhi, Mahesabu Jioni.

Leo, Jumamosi ya tarehe 28 Juni 2025, saa mbili kamili asubuhi, nimekuwa mtia nia wa kwanza kufika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Siha, Mkoa wa Kilimanjaro, kuchukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Siha.

Hatua hii